Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hili jambo nililiona siku nyingi za nyuma nikaamua kulikaushia ila ngoja tu leo niliseme. Ukipitia profile za wachezaji wote wa Simba katika website ya timu, Moses Phiri ndiye mchezaji ambaye ana taarifa fupi na chache kuliko mchezaji yoyote.

Wakati wachezaji wengine katika profile zao wamewekewa position wanazocheza, wengi wamewekewa mataifa wanayotoka na hadi wengine hadi nickname zao, Phiri amewekewa tu namba yake ya jezi. Labda pale Simba hakuna anayejua anaitwa "General" na labda position yake haijulikani ndiyo maana game ya juzi aliingizwa achukue namba ya Kapombe na acheze kama beki wakati timu inahitaji sana goli.

Sitapost profile za wachezaji wengine ila unaweza tembelea ukurasa ukajionea mwenyewe.

Screen Shot 2023-10-26 at 2.47.06 PM.png
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Unapotuma post hiyo hiyo kila mahali hiyo ni spam na siyo ustaarabu. Hii post nilishakujibu
 
Vitu vingine hata havihitaji Kuumiza akili.

Hafiti kwenye Mfumo WA Simba kuanzia Zoran Mark na Robertino.

KWAAKILI YAKO TU YA KAWAIDA KAMA ANGEKUWA MCHEZAJI MZURI ANGEKOSA NAMBA MBELE YA MAKOCHA WOTE??????????

Mnasumbua na UPUMBAVU.
Hakuna KOCHA Mzuri ANAYEWEZA kumuweka Mchezaji mzuri Benchi.

SHAME.
 
Vitu vingine hata havihitaji Kuumiza akili.

Hafiti kwenye Mfumo WA Simba kuanzia Zoran Mark na Robertino.

KWAAKILI YAKO TU YA KAWAIDA KAMA ANGEKUWA MCHEZAJI MZURI ANGEKOSA NAMBA MBELE YA MAKOCHA WOTE??????????

Mnasumbua na UPUMBAVU.
Hakuna KOCHA Mzuri ANAYEWEZA kumuweka Mchezaji mzuri Benchi.

SHAME.
CHIZI KAROGWA TENA
 
Sasa kama ana MADHAIFU YOTE HAYO, ni kwanini bado Simba wanaendelea kuwa nae?? Naona umeandika madhaifu mengi sana kuliko uimara, ila still Simba inaendelea kum-hold. Why??

Kama yote hayo ni ya kwako binafsi kma shabiki wa Simba NITAKUELEWA. Ila kma mpaka uongozi wa Simba yenyewe unajua mapungufu yote hayo na bado inashindwa kumuachia na inaendelea kumlipa mshahara wa bure, BASI SIMBA WATAKUWA WAPUUZI.
 
Sasa kama ana MADHAIFU YOTE HAYO, ni kwanini bado Simba wanaendelea kuwa nae?? Naona umeandika madhaifu mengi sana kuliko uimara, ila still Simba inaendelea kum-hold. Why??

Kama yote hayo ni ya kwako binafsi kma shabiki wa Simba NITAKUELEWA. Ila kma mpaka uongozi wa Simba yenyewe unajua mapungufu yote hayo na bado inashindwa kumuachia na inaendelea kumlipa mshahara wa bure, BASI SIMBA WATAKUWA WAPUUZI.

Mpira ni Mchezo WA wazi kabisa.
Mchezaji Mzuri unamuonana MDAKA PANZI unamuona Haina haja ya mjadala.

UWE NA KIPA METACHA na DIARA
Huwezi kumtumia Metacha kwa sababu anazidiwa UBORA kabisa na Diara.

Phili ALIPATA Fluke na nafasi ya Kucheza kabla Baleke hajasajiliwa
Ni kama. Metacha alivyokuwa anadaka kabla ya Diara kusajiliwa.

WAPUMBAVU wawe wanahoji kwanini Metacha hachezi.


WATU WENGINE NI WAPUMBAVU KUPITA KIASI
 
Sasa kama ana MADHAIFU YOTE HAYO, ni kwanini bado Simba wanaendelea kuwa nae?? Naona umeandika madhaifu mengi sana kuliko uimara, ila still Simba inaendelea kum-hold. Why??

Kama yote hayo ni ya kwako binafsi kma shabiki wa Simba NITAKUELEWA. Ila kma mpaka uongozi wa Simba yenyewe unajua mapungufu yote hayo na bado inashindwa kumuachia na inaendelea kumlipa mshahara wa bure, BASI SIMBA WATAKUWA WAPUUZI.

VIONGOZI WA Simba Wana changamoto sana kimpira.
Wengi ni VIONGOZI lakini hawana interest na MPILA

Wapo After money.

 
Mpira ni Mchezo WA wazi kabisa.
Mchezaji Mzuri unamuonana MDAKA PANZI unamuona Haina haja ya mjadala.

UWE NA KIPA METACHA na DIARA
Huwezi kumtumia Metacha kwa sababu anazidiwa UBORA kabisa na Diara.

Phili ALIPATA Fluke na nafasi ya Kucheza kabla Baleke hajasajiliwa
Ni kama. Metacha alivyokuwa anadaka kabla ya Diara kusajiliwa.

WAPUMBAVU wawe wanahoji kwanini Metacha hachezi.


WATU WENGINE NI WAPUMBAVU KUPITA KIASI
Mkuu umechafukwa
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
Phiri ni namba 9 ila anaweza kucheza pia kama namba 10 na na kama false nine pia anaweza na sio kusema kama ulivyo eleza hapo.

Phiri ana fit vzr kwenye mifumo inayokuwa na washambuliaji wawili mfano 4-4-2.

Phiri hana upinzani wa namba na saido wala chama, unazungumzia mpira upi ww?
 
Ww ni kichaa, phiri ni namba 9 ila anaweza kucheza pia kama namba 10 na na kama false nine pia anaweza na sio kusema kama ulivyo eleza hapo.

Phiri ana fit vzr kwenye mifumo inayokuwa na washambuliaji wawili mfano 4-4-2.

Phiri hana upinzani wa namba na saido wala chama, unazungumzia mpira upi ww?

Asante kwa Kuniita KICHAA.
 
Phiri ni namba 9 ila anaweza kucheza pia kama namba 10 na na kama false nine pia anaweza na sio kusema kama ulivyo eleza hapo.

Phiri ana fit vzr kwenye mifumo inayokuwa na washambuliaji wawili mfano 4-4-2.

Phiri hana upinzani wa namba na saido wala chama, unazungumzia mpira upi ww?
Huyu mzee anajifanyaga anajua kumbe anajiaibisha tu Phiri na chama kweli?

Mimi yanga lakini huyu anazingua sana
 
Back
Top Bottom