Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

Onana na Phiri wote hawachezi, sema wewe unataka nani asicheze ili huyu Phiri aanze?


Hawa wote wanatakiwa waondoshwe Simba.

1. AYOUB.
2. Onana.
3. Kramo.
4. Miquisson.
5 .phili.
6. Saido umri na kimo.
 
Nitajie Mchezaji Bora WA Dunia aliyekua ANACHEZA NAFASI zaidi ya Tatu.

Wachezaji wote wanaocheza Nafasi zaidi ya Tatu mala nyingi WAMEKUWA wakitokea Benchi kwenda kuziba gape tu panapokuwa na shida.

1. John O'Shea hajawahi kuwa Regural starter Wala mchezaji wa kutumainiwa man u.

2. Raphael hajawahi kuwa mchezaji wa kuaminiwa man u.

3. Cancelo hajawahi kuwa mchezaji wa kuaminiwa man City Hadi kupoteana.

4. Kwa Tanzania ni Nyoni nae HAKUWA mchezaji tegemeo Simba zaidi walimtumia beki wa kati na kiungo tu....

Wachezaji wa KISASA wanafundishwa kucheza position Moja tu. Au mbili kwa nadra sana


Huwezi ukawa fundi UMEME, fundi tyres, welding, Kupaua.
HAKUNAGA KITU KAMA HICHO.
Nimeshakuvua kinyago chako, tumeshakujua wewe ni Boko. Siku ukija kupewa hiyo timu lazima uishushe daraja maana IQ yako ni ndogo mno na ni mbishi.

Unajaribu kuchukua kila ubora wa Phiri na kuugeuza udhaifu. Mchezaji hajipangii mwenyewe acheze wapi, akipangwa position akaimudu huo unakuwaje udhaifu? Yaani mchezaji akifeli kuperform wewe unaona ndiyo bora. Mtu mwenye akili zake hawezi kusema haya, hata AI ina akili kukuzidi.
 
Nimeshakuvua kinyago chako, tumeshakujua wewe ni Boko. Siku ukija kupewa hiyo timu lazima uishushe daraja maana IQ yako ni ndogo mno na ni mbishi.

Unajaribu kuchukua kila ubora wa Phiri na kuugeuza udhaifu. Mchezaji hajipangii mwenyewe acheze wapi, akipangwa position akaimudu huo unakuwaje udhaifu? Yaani mchezaji akifeli kuperform wewe unaona ndiyo bora. Mtu mwenye akili zake hawezi kusema haya, hata AI ina akili kukuzidi.


U Meshindwa kujibu hoja na unataka kuwezana na Mimi.

IM OUT.
 
Phili ni No 10 pia ni second straiker na pia False No 9.

Wapinzani wake WAKUBWA ndani ya Simba ni
Jean Baleke, Clatus Chama na Saido ntibazonkiza.

Tangu Enzi za Zolan Mark
Hata Robertinho.
Hawa ni Professional Coaches wote wanamuweka Benchi.

(Jiulize kwanini MAKOCHA wote wawili wakuweke Benchi).

Phiri ni Mshambuliaji WA pili
(Second straiker)
Au false No 9
Uwe na mshambuliaji kamili kama Baleke HALAFU uende na Phiri hili halikubaliki na HAIWEZEKANI.

UDHAIFU WAKE.
1. Anapoteza sana Mipira.

2. Hawezi ku Link up team kutoka chini.

3. Hafai kuwa hata Target man.

4. Anakuwa Off position ya No 10.

5.Mfupi WA kimo na Hana low center of gravity Compare to Saido, KIBU Miquissone na mzamiru.

6.Anaanguka kupita kiasi na ni mwepesi.

7. Huwa anapoteana kwenye michezo mikubwa eg wakati WA Mgunda alicheza Simba na Yanga Ya 1-1 wafungaji Azizi ki na Okrah. Hakuonekana hata kwa Dakika 1

8. Majeraha ya mara kwa mara.


NB.
NILIWAAMBIA mchezaji mzuri Huwa HAUMII (si injury prone otherwise Afanyiwe Upasuaji utakao muweka Nje kwa muda mrefu?)
Phiri anasingizia majeraha tu

UIMARA.
1.Analijua sana Goli
2. Kasi.
3. Uwezo WA kutumia Miguu yote.

JUZI kaingia Dk 89
Anapata kigugumizi na Kutaka kuichomesha Simba mbele ya Alahly.

Phiri si MCHEZAJI MZURI.
Kama Ningukuwa kwenye kamati ya UFUNDI ama usajili, Moja ya Wachezaji wa Kupunguzwa ni Moses phiri.

NIKIONA mtu anamtetea Phiri
najua huyo mtu hamna kitu na hajuhi Mpira.
So kati ya Bocco na Phiri yupi ana unafuu?
 
So kati ya Bocco na Phiri yupi ana unafuu?

Nakujibu ki FALSAFA


KIUFUNDI Mugalu anaweza akacheza MICHEZO yoote......

Lakini Kagere hawezi kucheza Kila Mchezo kiufundi ANACHEZA michezo mochache sana.

🙏
 
Tatizo laja hachelewi kujaa upepo, ukichanganya na kujifanya kujua sana ndio tatizo kabisaa.
Na hana analojua huyo unakuta kila uzi anacopy litext lake reeeefu sijui anayawekaga wapi?
 
Back
Top Bottom