Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunakuwaga matajiri kutegemeana na uzi Unasemaje
kama leo wengi tunasoma namba ila baade kidogo tutakuwa matajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunakuwaga matajiri kutegemeana na uzi Unasemaje
Kumbe, hapo sawa🤣🤣😂😂😂😂😂😂 tunakuwaga matajiri kutegemeana na uzi Unasemaje
Wewe taratibu bwana unatoa siri ya kambi,hata hiyo supu sasa hivi itapanda kwani hujui mbuzi wanahitajika sana vitani na warusi yani vodka +mbuzi choma = kipigo heavyKipindi tunaawambia muandae makazi mema vijijini mlikuwa mnatuona wajinga huku wa mikoani!. Mimi n tembea kwa mguu mpaka ofisini hiyo buku nakunywa supu ya mbuzi tena tamu
Wamegoma wanadai nini?Kwa mara ya kwanza leo nimetembea zaidi ya kilomita 6 asubuhi kutoka nyumbani Kigamboni kuja mjini. Njia pekee ya usafiri ni bajaji na zipo chache, watu wanapanda virikuu. Gari za mizigo zimegeuzwa daladala Kweli hata kama ni vita ya ukraine hii sasa inaanza kuwa too much. Hapa nawaza nitamwambia nini bosi maana haelewi kapiga simu kama 8 tayari
View attachment 2213603
Poleni mi nna ka starlet yani natafuta mtu nimuuzie milion 1.5 nitaftie mtejaLeo zipo ila ndio nauli mia 5 🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi ziligoma jana.. jioni wakaanza kuruhusu
Nauli jero… tulishazoea 400 unabakiwa na mia ya kula pipi kali [emoji1787][emoji1787]
Uwage una ni drop maeneo yangu pendwaa nawee lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole Sana..kesho nistue mapema nikupe lift kwenye kibaby walker change..muhimu kufika
Waziri mwenyewe ni Makmba na Mwigulu?1 Litre of Petrol
1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5
Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162
Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta[emoji1787] Tanzania nchi yaanguu..!
Wote wapiga dili.Hakuna mtu hapo mwenye uchungu na life ya mtaaWaziri mwenyewe ni Makmba na Mwigulu?
😂😂😂😂Wewe tuUwage una ni drop maeneo yangu pendwaa nawee lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]