Shigongo adai Diamond anaelekea shimoni, awataja mameneja wake kama chanzo

Shigongo adai Diamond anaelekea shimoni, awataja mameneja wake kama chanzo

hakiiiii kama kuna teja anaweza kucheza kwa zile nguvu anazotumia Naseeb mi naomba nipewe unga ili nikapalilie mashamba ya mpunga!
Yanawapatia nguvu ambazo zinawamaliza, usimfananishe na mateja ambao wanapitisha siku 3 kwa chipsi za kushare,yeye ana kila kitu.hata kwenye ngono wana nguvu ajabu ila last stage anakua biskuti,ule mwili aliokua nao mond kwani ndio anao sasaivi! Ule mkono kile kifua hujayaona magoti yake yalivyokwisha
 
Ss ndio kaandika nn?nway basi ilo shimo ataliruka ili asitumbukie
 
Yanawapatia nguvu ambazo zinawamaliza, usimfananishe na mateja ambao wanapitisha siku 3 kwa chipsi za kushare,yeye ana kila kitu.hata kwenye ngono wana nguvu ajabu ila last stage anakua biskuti,ule mwili aliokua nao mond kwani ndio anao sasaivi! Ule mkono kile kifua hujayaona magoti yake yalivyokwisha
[emoji34] [emoji15] HE!!!!
 
Ndio akili zetu wabongo za kimasikini, kumsubiria mtu ashuke alafu iweje, diamond kaza hata bakhresa walimtabiria atashuka kaanza na mikate, mandazi mara unga leo bakhresa ana bidhaa zaidi ya kumi sokoni, diamond platnumz kushuka kimziki atashuka muda wake ukifika na hata akifa kimziki bado kiuchumi atakuwa stable, leo hii ana label, studio na amefungua wasafi.com kwa ajili ya kuuza nyimbo online (idea kama ikifanikiwa, diamond atameki ela ndefu vibaya sana), perfume na bado Kuna bidhaa nyingi atauza kwa kutumia jina lake. Alafu mbona kila siku mnatabiria diamond kushuka kwani wasanii wengine hamuwaoni, manake tokea 2013 mlianza kutabiri lkn mpaka leo dogo yupo juu, alafu msipende kujipa unabii kwa kutabiri maanguko ya wenzenu wakati ww hujui unaanguka lini na huyo shigongo ana stress mitandao ya jamii inampa stress kwani siku hizi habari zake za kwenye magazeti watu washazisoma mitandaoni na ndio maana mauzo ya magazeti ya udaku yamepungua sana na msishangae nae akashindwa kuiendesha kampuni yake.
 
Nawaza au hao mameneja ndo wanamsainisha mkataba kutangaza rangi za kijani jamaa anajaribu mshauri asije tumbukia kwenye hilo shimo....naendelea waza bado
 
Mtu anayemiliki magazeti ya rangirangi kama yale mnachulia serious kweli?
 
Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram.

17494084_1668575770114675_4247248564368965632_n.jpg


Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika:

Nampenda Diamond sana, tena sana (sina uhakika kama analifahamu hili). I am too proud of him! Ni fighter (mpiganaji), from Tandale to Beverly Hills with Neyo kwenye Video ya Wimbo wa Mary You ambao nimemaliza kuuangalia kwenye YouTube hakika si kitu kidogo.

Nafahamu kwa sababu nimeanzia chini sana kimaisha. Nikimkumbuka Diamond tangu siku ya kwanza nilipomuona hakika nina kila sababu ya kumuita is the true sign of Tanzania. Bila elimu ya kubwa, bila connection, bila fedha ameweza kuvuka vizingiti vyote hadi hapo alipo. Hakika ni mfano wa kuigwa kwa kila kijana wa nchi hii na duniani kote.

BRAVO! LAKINI ninayo machache ya kusema na ninaomba wale wepesi wa kutukana wanivumilie nitoe ushauri wangu kwa Diamond kama mzazi, kaka na Mtanzania mwenzake. Huko ANAKOELEKEA DIAMOND KUNA SHIMO, ASIPORUKA ATATUMBUKIA NA HUO NDIYO UTAKUWA MWISHO WAKE.

Kwenye shimo hili Diamond anapelekwa na watu watatu, nao ni NASEEB ABDUL, BABU TALE NA SALAAM. Nimemtaja Naseeb kwa sababu Diamond na Naseeb ni watu wawili tofauti.



source : gpl
huyu naye aache umbeya wake

sijui magazeti yake huwa yana doda bila kumtaja diamond
 
la kuuza nyimbo zake kwa pesa,yaan bila pesa watu washindwe kusikiliza au kuona video zake...
Hili ni shimo...bado hatujafika huko..
namshangaa sana huyu shigongo....babutale alikuwa na diamond longtime kiasi fulani amechangia kukuwa kwa diamond maana amemanage hadi hapo alipofika.
 
mimi mwenyewe nashangaa wale kina salaam hawana kazi nyingine za kufanya zaidi ya kufuatana na diamond kila show..

huku ni kumuongezea gharama.. bora awe anasafiri na dancers tu na watu wa kazi..

babu tale nasikia ni meneja wa tip top na madii mbona anakazania kwa diamond tu

salam nasikia mi meneja wa ay mbona huwa amfati fati ay kama diamond.. wanamnyonya mtoto wa watu
Mkuu ali ngum sasa ivi lazima salaam ajiweke pale, mbali na kuwa meneje ni mshamba pia na ukuda mwingi.
 
Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram.

17494084_1668575770114675_4247248564368965632_n.jpg


Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika:

Nampenda Diamond sana, tena sana (sina uhakika kama analifahamu hili). I am too proud of him! Ni fighter (mpiganaji), from Tandale to Beverly Hills with Neyo kwenye Video ya Wimbo wa Mary You ambao nimemaliza kuuangalia kwenye YouTube hakika si kitu kidogo.

Nafahamu kwa sababu nimeanzia chini sana kimaisha. Nikimkumbuka Diamond tangu siku ya kwanza nilipomuona hakika nina kila sababu ya kumuita is the true sign of Tanzania. Bila elimu ya kubwa, bila connection, bila fedha ameweza kuvuka vizingiti vyote hadi hapo alipo. Hakika ni mfano wa kuigwa kwa kila kijana wa nchi hii na duniani kote.

BRAVO! LAKINI ninayo machache ya kusema na ninaomba wale wepesi wa kutukana wanivumilie nitoe ushauri wangu kwa Diamond kama mzazi, kaka na Mtanzania mwenzake. Huko ANAKOELEKEA DIAMOND KUNA SHIMO, ASIPORUKA ATATUMBUKIA NA HUO NDIYO UTAKUWA MWISHO WAKE.

Kwenye shimo hili Diamond anapelekwa na watu watatu, nao ni NASEEB ABDUL, BABU TALE NA SALAAM. Nimemtaja Naseeb kwa sababu Diamond na Naseeb ni watu wawili tofauti.



source : gpl
Eric hana jipya coz hataki zungumzia walikomtoa diamond coz hata mond hajawah lalama I think boss paparaz ajikite kwenye street university education kama imemshinda arudi kolomije akawasaidie kujikwamua kwa kugawa his tiths
 
Diamond ni mraibu na hali yake ni mbaya sana, kama umeona interview yake aliyozungumzia suala la harmorapa-alikua kwenye arosto wazoefu wakimwona wataelewa, ni kama Chris Brown anavyochungulia kaburi kutokana na madawa ya kulevya, aliitwa wakati wa watuhumiwa wa madawa walipoitwa lkini alihijiwa kwa siri na watanzania wakadanganywa kua ni kosa la barabarani. He's in bad shape, Zari
Pia ni kambi moja na wasukuma
Mhhhhhhhhhhhh!
 
of course diamond is on the peak of his success
 
Salaam Mendez na Tale ni Wajanja wa mjini Nafikiri ni muda wa Diamond kuangalia meneja ambae Yupo karibu nae sio hawa Wapiga dili, Diamond ameshapata connection za kutosha awache hao kina Tale na mendez mana hao jamaa ni tiara fata upepo, mendez yuko mguu ndani nje kwa ay Tale nae ivo ivo lwa Tip top
kumbuka hao ndio wamemfikisha hapo
 
Na ishu yoyote ukiona shigongo anazungumzia negative kaa ukijua interests zake zimeingiliwa.
 
Back
Top Bottom