magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Tutafika lini?la kuuza nyimbo zake kwa pesa,yaan bila pesa watu washindwe kusikiliza au kuona video zake...
Hili ni shimo...bado hatujafika huko..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafika lini?la kuuza nyimbo zake kwa pesa,yaan bila pesa watu washindwe kusikiliza au kuona video zake...
Hili ni shimo...bado hatujafika huko..
Yanawapatia nguvu ambazo zinawamaliza, usimfananishe na mateja ambao wanapitisha siku 3 kwa chipsi za kushare,yeye ana kila kitu.hata kwenye ngono wana nguvu ajabu ila last stage anakua biskuti,ule mwili aliokua nao mond kwani ndio anao sasaivi! Ule mkono kile kifua hujayaona magoti yake yalivyokwishahakiiiii kama kuna teja anaweza kucheza kwa zile nguvu anazotumia Naseeb mi naomba nipewe unga ili nikapalilie mashamba ya mpunga!
[emoji34] [emoji15] HE!!!!Yanawapatia nguvu ambazo zinawamaliza, usimfananishe na mateja ambao wanapitisha siku 3 kwa chipsi za kushare,yeye ana kila kitu.hata kwenye ngono wana nguvu ajabu ila last stage anakua biskuti,ule mwili aliokua nao mond kwani ndio anao sasaivi! Ule mkono kile kifua hujayaona magoti yake yalivyokwisha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] duh!...hakiiiii kama kuna teja anaweza kucheza kwa zile nguvu anazotumia Naseeb mi naomba nipewe unga ili nikapalilie mashamba ya mpunga!
huyu naye aache umbeya wakeMmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram.
![]()
Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika:
Nampenda Diamond sana, tena sana (sina uhakika kama analifahamu hili). I am too proud of him! Ni fighter (mpiganaji), from Tandale to Beverly Hills with Neyo kwenye Video ya Wimbo wa Mary You ambao nimemaliza kuuangalia kwenye YouTube hakika si kitu kidogo.
Nafahamu kwa sababu nimeanzia chini sana kimaisha. Nikimkumbuka Diamond tangu siku ya kwanza nilipomuona hakika nina kila sababu ya kumuita is the true sign of Tanzania. Bila elimu ya kubwa, bila connection, bila fedha ameweza kuvuka vizingiti vyote hadi hapo alipo. Hakika ni mfano wa kuigwa kwa kila kijana wa nchi hii na duniani kote.
BRAVO! LAKINI ninayo machache ya kusema na ninaomba wale wepesi wa kutukana wanivumilie nitoe ushauri wangu kwa Diamond kama mzazi, kaka na Mtanzania mwenzake. Huko ANAKOELEKEA DIAMOND KUNA SHIMO, ASIPORUKA ATATUMBUKIA NA HUO NDIYO UTAKUWA MWISHO WAKE.
Kwenye shimo hili Diamond anapelekwa na watu watatu, nao ni NASEEB ABDUL, BABU TALE NA SALAAM. Nimemtaja Naseeb kwa sababu Diamond na Naseeb ni watu wawili tofauti.
source : gpl
namshangaa sana huyu shigongo....babutale alikuwa na diamond longtime kiasi fulani amechangia kukuwa kwa diamond maana amemanage hadi hapo alipofika.la kuuza nyimbo zake kwa pesa,yaan bila pesa watu washindwe kusikiliza au kuona video zake...
Hili ni shimo...bado hatujafika huko..
Mkuu ali ngum sasa ivi lazima salaam ajiweke pale, mbali na kuwa meneje ni mshamba pia na ukuda mwingi.mimi mwenyewe nashangaa wale kina salaam hawana kazi nyingine za kufanya zaidi ya kufuatana na diamond kila show..
huku ni kumuongezea gharama.. bora awe anasafiri na dancers tu na watu wa kazi..
babu tale nasikia ni meneja wa tip top na madii mbona anakazania kwa diamond tu
salam nasikia mi meneja wa ay mbona huwa amfati fati ay kama diamond.. wanamnyonya mtoto wa watu
Eric hana jipya coz hataki zungumzia walikomtoa diamond coz hata mond hajawah lalama I think boss paparaz ajikite kwenye street university education kama imemshinda arudi kolomije akawasaidie kujikwamua kwa kugawa his tithsMmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram.
![]()
Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika:
Nampenda Diamond sana, tena sana (sina uhakika kama analifahamu hili). I am too proud of him! Ni fighter (mpiganaji), from Tandale to Beverly Hills with Neyo kwenye Video ya Wimbo wa Mary You ambao nimemaliza kuuangalia kwenye YouTube hakika si kitu kidogo.
Nafahamu kwa sababu nimeanzia chini sana kimaisha. Nikimkumbuka Diamond tangu siku ya kwanza nilipomuona hakika nina kila sababu ya kumuita is the true sign of Tanzania. Bila elimu ya kubwa, bila connection, bila fedha ameweza kuvuka vizingiti vyote hadi hapo alipo. Hakika ni mfano wa kuigwa kwa kila kijana wa nchi hii na duniani kote.
BRAVO! LAKINI ninayo machache ya kusema na ninaomba wale wepesi wa kutukana wanivumilie nitoe ushauri wangu kwa Diamond kama mzazi, kaka na Mtanzania mwenzake. Huko ANAKOELEKEA DIAMOND KUNA SHIMO, ASIPORUKA ATATUMBUKIA NA HUO NDIYO UTAKUWA MWISHO WAKE.
Kwenye shimo hili Diamond anapelekwa na watu watatu, nao ni NASEEB ABDUL, BABU TALE NA SALAAM. Nimemtaja Naseeb kwa sababu Diamond na Naseeb ni watu wawili tofauti.
source : gpl
Mhhhhhhhhhhhh!Diamond ni mraibu na hali yake ni mbaya sana, kama umeona interview yake aliyozungumzia suala la harmorapa-alikua kwenye arosto wazoefu wakimwona wataelewa, ni kama Chris Brown anavyochungulia kaburi kutokana na madawa ya kulevya, aliitwa wakati wa watuhumiwa wa madawa walipoitwa lkini alihijiwa kwa siri na watanzania wakadanganywa kua ni kosa la barabarani. He's in bad shape, Zari
Pia ni kambi moja na wasukuma
kumbuka hao ndio wamemfikisha hapoSalaam Mendez na Tale ni Wajanja wa mjini Nafikiri ni muda wa Diamond kuangalia meneja ambae Yupo karibu nae sio hawa Wapiga dili, Diamond ameshapata connection za kutosha awache hao kina Tale na mendez mana hao jamaa ni tiara fata upepo, mendez yuko mguu ndani nje kwa ay Tale nae ivo ivo lwa Tip top