Shigongo amuonya Diamond, amlaumu kutoza pesa nyingi shows za ndani...

Shigongo amuonya Diamond, amlaumu kutoza pesa nyingi shows za ndani...

Ivi tatizo kuwa diamond au #tusipangiane# kuharibu brand ya mtu sio kitu rahisi hivo kaanzia mbaaaaali mara ooh mdogo wangu ooh ushauri mifi kabisa kiki zingine zinatia kinyaa shigongo kumbe mweupe kichwani kiasi hicho bora utumwe india kutibiwa sio kwa akili hizo kafie mbele mmezoe kuwanyonya wasanii umbwa nyie in manji's voice kama hula hela tulia waachie wenye hela za kununua show kama Vodacom[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 

65e5a74444e0cedb04f00e790cf652c1.gif
 
Shigongo anakosea sana kama umeshindwa bei wapo wanaoweza. Hata kina wizkid ndio kinachowabeba within Nigeria huwezi kukuta wizkidayo kaenda kupiga show mwembeyanga ya promota anayebeep
 
Bahat nzur nmesoma maon yote kabla ya mm kuchangia,,,labda tujiulize bila kuweka ushabiki kwanza nadhan tutapata jibu..

Milion 100 yes ni nying ila sio nyingi sana kwa brand kama dimond kwa sasa,, swali hapa je wapi?? Tanzania au nje ya tanzania? Kama nje ya tanzania sawa lakn km ni hapa shigongo ndio akipoegemea hoja yake...

Shigongo hajasema hana hadhi hyo ya milion mia,hapana kasema kwa nyumban ni kias kikubwa ambacho ni bora waandae matamasha yale ya buku tatu kama walivyokua wanafanya mwanzo lakin sio promota anamchukua then ategemee kupata faida..

Shigingo ni mmoja wa wafanyabiashara wa kubwa pia,,anajua masuala ya biashara kuliko wengi wetu tunaopakua nyimbo za dimond bure kule u tube,kuna ubaya gan kumshauri?

Siku zote masikini ndio wanaofanya matajiri wang'are zaid maana sisi ndio mtaji wao,,sasa km sisi ndio mtaji wao hawawez kuweka gharama za bidhaa zao mpka tushindwe kununua mwsho watafeli hata wao....

Shigongo ana hoja tena halisi kabsa,,ila siku zote tumeumbwa kupinga na hili sishangai kupingwa,,,ila muda utasema,,,
Amenikumbusha akichomshauri Mbatia kua kuingiza NCCR kwenye ukawa utaimaliza NCCR na watu wake,,,leo kiko wap?? Nccr chali kifo cha mende lakin huku bado mnaikaushia ile...ha ha ha
Ngoja nikwambie kitu mkuu,Huwezi kufanya show ya mil 10 Tanzania halafu ukategemea utalipwa mil200 Ulaya au Naijeria!!

Mapromota wanaangalia bei za shows zako kuanzia nchini kwako kwanza!!

Muziki unathaminiwa zaidi kwenu,halafu baadae ndio unatoka nje ya mipaka!!sasa ukishuka thamani huku kwenu unategemea watu wa nje watakuthamini?!
Unaposema msanii anakua ni pamoja na bei za Shows kupanda!!

Shigongo ni moja ya watu walioiangusha Bongo movie!!sasa anataka kuhamia kwenye muziki,wadau na mashabiki tumekataa!!

Halafu leo yuko na diamond,kesho atataka Alikiba nae ashushe bei za show zake,USIMTETEE kwa sababu ametajwa Diamond usiyempenda!!
Huyu jamaa ni Jini mkata kamba,hapaswi kutetewa
Wasanii wana majina makubwa lakini mpaka leo wanaishi maisha ya kupanga,wanapanda daladala,hata wakiumwa hawawezi kujitibu mpaka tufanye donation[emoji22]!

Tumechoka kuzika maskini wenye majina makubwa kwasababu ya Uteja
 
Hahaha we jamaa bhana
Ukweli ni kuwa wafanyabiashara kama Shigongo wameshapitwa uwezo wa kummudu Diamond. Mbona wenzake voda wananunua shoo kwa hela hiyo hiyo halafu wananchi wanalipia buku kumi? Njia ya biashara ya Diamond ya sasa sio ya kutegemea viingilio ni ya kutegemea matangazo ya corporate. Brand inanunua shoo Diamond anapiga hata bure! Shigongo anadhani JayZ alilipwa kutokana na kiingilio chetu?
huna hoja ya msingi. nadhani ungesoma ushauri wa shigingo kwanza ndipo utoe maoni. haya maoni yako hayana tofauti na watoa maoni ya wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015. tatizo wabongo mihemko mingi kuliko kutafiti.
 
Eric Shigongo, mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers amelalamika kitendo cha Diamond kuwatoza mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje.

View attachment 489308

Shigongo ni mmoja wa waandaji wakubwa wa matamasha kupitia ukumbi wake wa Dar Live na huenda miaka ya hivi karibuni ameshindwa kuzimudu gharama za kumchukua kutumbuiza.

Kupitia Instagram, haya ndio mambo aliyoandika:

Kama nilivyosema wakati naanza kwamba ninampenda sana Diamond kwa sababu amekuwa mtu wa kujituma,aliyeng’ang’ania kutoka kwenye umasikini mpaka kuwa na mafanikio aliyokuwa nayo.

Ieleweke kwamba sipo kwa ajili ya kumsema, kumponda, hapana, nipo kwa ajili ya kumshauri kama mdogo wangu, rafiki yangu kwa hiyo naomba nisieleweke vibaya.Diamond Platnumz kwao ni Tanzania, ni mwanamuziki wa Kitanzania na hata wapenzi wake wengi wanaomsapoti kwa nguvu nyingi ni Watanzania ambao asilimia kubwa vipato vyao ni vya chini mno. Wengi wanatamani kumuona akifanya shoo katika ardhi yake ya nyumbani, lakini badala yake wamekuwa wakimuona mara nyingi akifanya shoo Marekani, Ulaya, Nigeria,Afrika Kusini, kwenye Mashindano ya Afcon na sehemu nyingine nyingi ambazo ni nje ya Tanzania, mahali alipozaliwa na kuthaminiwa, mahali ambapo aliweza kujijazia mashabiki wengi.

Mashabiki zake wanahitaji shoo, kumsoma kwamba amejenga nyumba, amenunua au amepata watoto na Zari si kitu ambacho mashabiki wanakihitaji zaidi kutoka kwake, wanachohitaji ni kuona shoo zake kwa wingi kama kilivyokuwa kipindi cha Moyo Wangu, Kamwambie na nyimbo nyingine.

Ni kweli ana jina kubwa, ana mashabiki wengi, amepambana sana kufika alipokuwa lakini kwa upande mwingine anatakiwa kuangalia gharama za shoo zake hasa anapofanya nchini Tanzania,kwa watu ambao walimfanya leo kujulikana zaidi kama Diamond na si Naseeb Abdul.

Leo, Diamond anafanya shoo kwa dola 55,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 100. Hii inamaanisha kwamba kwa mtu kama mimi,nikimchukua Diamond kwa gharama hiyo inamaana kwamba nitataka niingize kiasi kikubwa kama faida, kwa hiyo badala ya kufanya shoo Dar Live, Diamond Jubilee au sehemu nyingine, nitaihamishia shoo yangu Mlimani City na kufanya kiingilio cha shilingi elfu hamsini.

Swali la kujiuliza, je, yule bodaboda anayepiga sana nyimbo za Diamond ataweza kuingia kwa kiingilio cha shilingi elfu hamsini? Yule kijana anayatafuta riziki kwa kuingiza nyimbo za Diamond kwenye simu za wateja ataweza kuingia kwa gharama hiyo? Je, yule kijana wa Tandale, Temeke, Mbagala mwenye fulana kubwa iliyoandikwa WCB ataweza kuingia kwa gharama hiyo? Jibu rahisi ni kwamba hatoweza.

Ni lazima afikirie ajue kwamba gharama anazotoza sehemu nyingine ziwe tofauti na Tanzania, au azifanyie gharama hizo kampuni kubwa za mitandao ya simu na vinywaji lakini si mtu binafsi.

Mara nyingi amekuwa akisema huko nje analipwa zaidi ya milioni mia moja, je, ni halali hata kwa Watanzania wenzake waliomfanya kuwa hapo alipo kuwatoza kiasi hicho cha fedha huku huyo anayemchukua akitarajia shoo yake iingiwe na watu wa hali ya chini wenye kiu ya kumuona?

Labda Naseeb Abdul mwenyewe ndiye aliyelazimisha ada hii, kama si yeye bali ni mameneja wake (Salam na Tale) basi wanamshauri vibaya na matokeo yake kutofanya shoo nyumbani kwake (Tanzania) kutamfanya apoteze kupendwa na mashabiki sababu ya umbali alioutengeneza.

Ikumbukwe kwamba watu hununua bidhaa ya mtu wanayempenda, mtu akichukiwa na bidhaa zake hususiwa.Diamond na WCB ni biashara ya Naseeb Abdul, hivyo basi Naseeb Abdul hatakiwi kuthamini sana fedha na kusahau mashabiki zake waliomfanya kuwa hapo alipo.

Kifike kipindi awaeleze mameneja wake “HAPANA! TANZANIA NI NYUMBANI NA HAWA NI NDUGU ZANGU”

Basi kama waandaaji watashindwa kumudu gharama zake sababu Naseeb ni mfanyabiashara kama mimi, basi afanye shoo ya kujitolea (Charity show) kama tuliyofanya naye huko Tandale huko Mwanza, Kigoma, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro kwenye viwanja kwa kiingilio cha shilingi 3000 na kisha fedha hizo azipeleke kusaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu na hiyo itamfanya kupendwa na mashabiki na kumfanya kwenda juu kimuziki.

TOFAUTI NA HAPA, MBELE YAKE KUNA SHIMO, UKIMYA WAKE BILA SHOO NYUMBANI UTAMZAMISHA!!
mbona shigongo ana hoja ya msingi sana tena ni ushauri kama kaka kwa mdogo wake. Povu la Babu Tale lilitokana na nini hapo? au anahisi kibarua chake hatarini!?
 
Shigongo got a point,credibility to the loyal fans (Chibu's hugest fan base ipo hapa TZ).

Got no words zaid ya ayo niliyoyasema.
Tciao
 
huna hoja ya msingi. nadhani ungesoma ushauri wa shigingo kwanza ndipo utoe maoni. haya maoni yako hayana tofauti na watoa maoni ya wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu wa 2015. tatizo wabongo mihemko mingi kuliko kutafiti.
Were ndo umejibu kimuhemko
Hivi unadhani Diamond akifanya show za kiingilio cha 3000 au 5000
Huko nje Nani atakubali kutoa dola 75,000 kumlipa iyo pesa?
Diamond ndo msanii ghali zaidi East Africa maana yake hata uko nje wakimtaka wakicheki profile lake lazima wajipange
 
Shigongo got a point,credibility to the loyal fans (Chibu's hugest fan base ipo hapa TZ).

Got no words zaid ya ayo niliyoyasema.
Tciao
Mkuu hivi chibu akianza kufanya show za 5000 hapa bongo hivi Nani unadhani atatoa pesa ndefu akafanye show Nigeria au Zimbabwe
 
Mkuu hivi chibu akianza kufanya show za 5000 hapa bongo hivi Nani unadhani atatoa pesa ndefu akafanye show Nigeria au Zimbabwe
Sisi watu wa Entertainment we know how to maneuver ayo mambo. There's two approach ya Entertainmet i.e Domestic and International.
Mind in yo head...promota wa ndani ndie anayekufungulia njia na kujua chocho zote,he brands u like no one biznes...international Promoters are there for always said 'events' and endorsements.

Players know their games son.!!
 
Eric Shigongo, mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers amelalamika kitendo cha Diamond kuwatoza mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje.

View attachment 489308

Shigongo ni mmoja wa waandaji wakubwa wa matamasha kupitia ukumbi wake wa Dar Live na huenda miaka ya hivi karibuni ameshindwa kuzimudu gharama za kumchukua kutumbuiza.

Kupitia Instagram, haya ndio mambo aliyoandika:

Kama nilivyosema wakati naanza kwamba ninampenda sana Diamond kwa sababu amekuwa mtu wa kujituma,aliyeng’ang’ania kutoka kwenye umasikini mpaka kuwa na mafanikio aliyokuwa nayo.

Ieleweke kwamba sipo kwa ajili ya kumsema, kumponda, hapana, nipo kwa ajili ya kumshauri kama mdogo wangu, rafiki yangu kwa hiyo naomba nisieleweke vibaya.Diamond Platnumz kwao ni Tanzania, ni mwanamuziki wa Kitanzania na hata wapenzi wake wengi wanaomsapoti kwa nguvu nyingi ni Watanzania ambao asilimia kubwa vipato vyao ni vya chini mno. Wengi wanatamani kumuona akifanya shoo katika ardhi yake ya nyumbani, lakini badala yake wamekuwa wakimuona mara nyingi akifanya shoo Marekani, Ulaya, Nigeria,Afrika Kusini, kwenye Mashindano ya Afcon na sehemu nyingine nyingi ambazo ni nje ya Tanzania, mahali alipozaliwa na kuthaminiwa, mahali ambapo aliweza kujijazia mashabiki wengi.

Mashabiki zake wanahitaji shoo, kumsoma kwamba amejenga nyumba, amenunua au amepata watoto na Zari si kitu ambacho mashabiki wanakihitaji zaidi kutoka kwake, wanachohitaji ni kuona shoo zake kwa wingi kama kilivyokuwa kipindi cha Moyo Wangu, Kamwambie na nyimbo nyingine.

Ni kweli ana jina kubwa, ana mashabiki wengi, amepambana sana kufika alipokuwa lakini kwa upande mwingine anatakiwa kuangalia gharama za shoo zake hasa anapofanya nchini Tanzania,kwa watu ambao walimfanya leo kujulikana zaidi kama Diamond na si Naseeb Abdul.

Leo, Diamond anafanya shoo kwa dola 55,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 100. Hii inamaanisha kwamba kwa mtu kama mimi,nikimchukua Diamond kwa gharama hiyo inamaana kwamba nitataka niingize kiasi kikubwa kama faida, kwa hiyo badala ya kufanya shoo Dar Live, Diamond Jubilee au sehemu nyingine, nitaihamishia shoo yangu Mlimani City na kufanya kiingilio cha shilingi elfu hamsini.

Swali la kujiuliza, je, yule bodaboda anayepiga sana nyimbo za Diamond ataweza kuingia kwa kiingilio cha shilingi elfu hamsini? Yule kijana anayatafuta riziki kwa kuingiza nyimbo za Diamond kwenye simu za wateja ataweza kuingia kwa gharama hiyo? Je, yule kijana wa Tandale, Temeke, Mbagala mwenye fulana kubwa iliyoandikwa WCB ataweza kuingia kwa gharama hiyo? Jibu rahisi ni kwamba hatoweza.

Ni lazima afikirie ajue kwamba gharama anazotoza sehemu nyingine ziwe tofauti na Tanzania, au azifanyie gharama hizo kampuni kubwa za mitandao ya simu na vinywaji lakini si mtu binafsi.

Mara nyingi amekuwa akisema huko nje analipwa zaidi ya milioni mia moja, je, ni halali hata kwa Watanzania wenzake waliomfanya kuwa hapo alipo kuwatoza kiasi hicho cha fedha huku huyo anayemchukua akitarajia shoo yake iingiwe na watu wa hali ya chini wenye kiu ya kumuona?

Labda Naseeb Abdul mwenyewe ndiye aliyelazimisha ada hii, kama si yeye bali ni mameneja wake (Salam na Tale) basi wanamshauri vibaya na matokeo yake kutofanya shoo nyumbani kwake (Tanzania) kutamfanya apoteze kupendwa na mashabiki sababu ya umbali alioutengeneza.

Ikumbukwe kwamba watu hununua bidhaa ya mtu wanayempenda, mtu akichukiwa na bidhaa zake hususiwa.Diamond na WCB ni biashara ya Naseeb Abdul, hivyo basi Naseeb Abdul hatakiwi kuthamini sana fedha na kusahau mashabiki zake waliomfanya kuwa hapo alipo.

Kifike kipindi awaeleze mameneja wake “HAPANA! TANZANIA NI NYUMBANI NA HAWA NI NDUGU ZANGU”

Basi kama waandaaji watashindwa kumudu gharama zake sababu Naseeb ni mfanyabiashara kama mimi, basi afanye shoo ya kujitolea (Charity show) kama tuliyofanya naye huko Tandale huko Mwanza, Kigoma, Mbeya, Arusha, Kilimanjaro kwenye viwanja kwa kiingilio cha shilingi 3000 na kisha fedha hizo azipeleke kusaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu na hiyo itamfanya kupendwa na mashabiki na kumfanya kwenda juu kimuziki.

TOFAUTI NA HAPA, MBELE YAKE KUNA SHIMO, UKIMYA WAKE BILA SHOO NYUMBANI UTAMZAMISHA!!
Natamani uzi huu DIAMOND (yeye kama yeye mwenyewe asome na si watu wake wa karibu) ausome.
Kuna maneno yamesemwa umu yanaweza kumpa maisha mengine zaid ya haya sasa hv ambayo anayo.

Home kwanza
Loyal Fans kwanza
Die hard fans kwanza
Local Promoters kwanza
Kumbi za ndani na majukwaa ya ndan kwanza

Tciao.!
 
Sisi watu wa Entertainment we know how to maneuver ayo mambo. There's two approach ya Entertainmet i.e Domestic and International.
Mind in yo head...promota wa ndani ndie anayekufungulia njia na kujua chocho zote,he brands u like no one biznes...international Promoters are there for always said 'events' and endorsements.

Players know their games son.!!
We unadhani hao mapromota wa nje hawafanyi research?
Kwa taarifa yako huwa wanafanya research zao kujua kula kitu kijua gharama zako wakikuaproach huwezi kuwapiga
 
Sisi watu wa Entertainment we know how to maneuver ayo mambo. There's two approach ya Entertainmet i.e Domestic and International.
Mind in yo head...promota wa ndani ndie anayekufungulia njia na kujua chocho zote,he brands u like no one biznes...international Promoters are there for always said 'events' and endorsements.

Players know their games son.!!
We unadhani hao mapromota wa nje hawafanyi research?
Kwa taarifa yako huwa wanafanya research zao kujua kula kitu kijua gharama zako wakikuaproach huwezi kuwapiga
 
Pamoja na Diamond kuvuma sana, hawezi fanya shoo ya kiingilio kikubwa watu wakaingia hapa Bongo.Ni mzuri lakini hatoi mzuka sana kwa watu waliomzoea.
 
Nyie mnaodai mziki umekua na Diamond yupo sawa,mnaweza lipia hata kiingilio cha elfu 50000 kwenye as diamond?
 
Teh Teh...kwa lipi? Sema Shigongo amechoka kufikiri tuu anafikiri ataweza kumuharibia Diamond kwa hizi makala? hiyo hela wapo wanaweza kutoa na kumpa Diamond kama yeye hawezi aache...kuna watu wanaweza andaa show kwa kiingilio cha 30,000/, 100,000/= 200,000/= na wakampa hiyo hela Diamond na wakapata na faida...
Mjinga gani hapa Bongo alipie show ya diamond kiingilio cha 100000?
 
Back
Top Bottom