Shikamoo Kamikaze

[emoji121]
SASA NDUGU KAMIKAZE
ND'O STAILI GANI HII YA KUWEKA TANGAZO LA BIASHARA KWA I.D YA KIKE!

KWELI #MAN_FONGO AMEFANYA GAME IWE NGUMU!

DAAAAAAAAAAAAAAAH!!!!
 
mleta mada umetisha,
yaani hii ndo umeona utusogezee, wakati mama zetu kule morogoro nyanya zinaozea barabarani,. si ungeipigia serikali kelele kwa kuweka post afadhali huruma iwepo
 
mleta mada umetisha,
yaani hii ndo umeona utusogezee, wakati mama zetu kule morogoro nyanya zinaozea barabarani,. si ungeipigia serikali kelele kwa kuweka post afadhali huruma iwepo
Ehheheheh mtukufu raisi yupo kwaajili ya wanyongee
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
 
Me I have a crush on this lady cjui ana miaka mingap nampenda tangu anaigiza ITV yani naona hazeeki Monalisa my Crush [emoji16] [emoji8] [emoji8] View attachment 393940
Huyu mwanamke nilianza kumpenda tangu sijabalehe mpaka sasa. Monalisa napenda zaidi rangi yake na namna anavyoongeaga na kale kamdomo kake kazuriii

Dah...anaitwa "Yvonne Cherry" nafikiri.
 
Haahahahahahaa naona umeamua kufunguka huyu kweli ni mzuri na ana mvuto!huyu ana vyote cc me and I @
Yeah sure, huyu kila kundi yupo kwa wazuri na wenye mvuto , Anavutia Sana ila kimziki naona yupo kimya halafu huwez amin Kama anaimba mziki mgumu sasa[emoji7] [emoji7]
 
Lakini kidgo nilie ulivyosema diamond ana mdomo kama chapati [emoji22][emoji22][emoji22]na anavyojitahdi kuu sexisha jamaniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…