Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,

[emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu

View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709

We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]

halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

View attachment 393710
[emoji121]
SASA NDUGU KAMIKAZE
ND'O STAILI GANI HII YA KUWEKA TANGAZO LA BIASHARA KWA I.D YA KIKE!

KWELI #MAN_FONGO AMEFANYA GAME IWE NGUMU!

DAAAAAAAAAAAAAAAH!!!!
 
mleta mada umetisha,
yaani hii ndo umeona utusogezee, wakati mama zetu kule morogoro nyanya zinaozea barabarani,. si ungeipigia serikali kelele kwa kuweka post afadhali huruma iwepo
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,

[emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu

View attachment 393706View attachment 393707View attachment 393708View attachment 393709

We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie[emoji23][emoji23][emoji23]

halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

View attachment 393710
 
[emoji121]
SASA NDUGU KAMIKAZE
ND'O STAILI GANI HII YA KUWEKA TANGAZO LA BIASHARA KWA I.D YA KIKE!

KWELI #MAN_FONGO AMEFANYA GAME IWE NGUMU!

DAAAAAAAAAAAAAAAH!!!!
1473106891276.png
 
grow up old woman....you think life is just man with pretty face & six parts whatever he has mjinga sana wew mwanamke nimekudharau kuliko
 
Me I have a crush on this lady cjui ana miaka mingap nampenda tangu anaigiza ITV yani naona hazeeki Monalisa my Crush [emoji16] [emoji8] [emoji8] View attachment 393940
Huyu mwanamke nilianza kumpenda tangu sijabalehe mpaka sasa. Monalisa napenda zaidi rangi yake na namna anavyoongeaga na kale kamdomo kake kazuriii

Dah...anaitwa "Yvonne Cherry" nafikiri.
 
Haahahahahahaa naona umeamua kufunguka huyu kweli ni mzuri na ana mvuto!huyu ana vyote cc me and I @
Yeah sure, huyu kila kundi yupo kwa wazuri na wenye mvuto , Anavutia Sana ila kimziki naona yupo kimya halafu huwez amin Kama anaimba mziki mgumu sasa[emoji7] [emoji7]
 
Lakini kidgo nilie ulivyosema diamond ana mdomo kama chapati [emoji22][emoji22][emoji22]na anavyojitahdi kuu sexisha jamaniiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom