Shikamoo kilimo

Shikamoo kilimo

Anzia tu hapo mkindo Morogoro, achilia mbali mabonde kibao yaliyojaa Tanzania, kuna sehemu ndani ya hii nchi maji hayakauki...
Mkindo ni wilaya gani Kwa moro? Na vp bei ya kukodi hiyo heka?
 
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
Puliz Picha broo tupo zama za livee
 
Kuna ule uzi ulileta mwanzo, wadau wakakuuliza umelima wapi ? Ni zao gani unapanga kulima? Ili ushauriwe humu ndani kuna wazoefu wa kila nyanja,,,, ukakaza fuvu hata hukujibu,,,, kula chuma hicho, next time toa taarifa inayoeleweka ili watu wajue pa kukushauri !
Huyu si mkulima huyu ni like yule mada wa iringa mlima vitunguu saiv yupo segee
 
Yes. Niliwekeza 10m kwa kulima eka 30.
Ingeenda poa ningevuna na kupata wastani wa 1m kwa eka.
Hiyo si pdf, ni real figure niliishuhudia misimu miwili iliyopita.
Means total ningevuna 30m ndani ya miezi sita.
Usijari, mwakani utapata hiyo utakayo.
 
Pole kaka, kilimo ninachokiamini ni Cha kumwagilia tu..Huwezi niambia nilime kwa kutegemea mvua..never..
Pole sana brother.
 
Natokaga nje usiku wa manane kukagua anga kama mawingu yametanda. Sikia tu ila usiombe ya kukute.
Pole sana Mkuu, Yani kilimo cha bongo ni Gusa achia ukiona wezako wamepata msimu huu weww ukilima msimu unao fuatia imekula kwako
 
Pole sana Mkuu, Yani kilimo cha bongo ni Gusa achia ukiona wezako wamepata msimu huu weww ukilima msimu unao fuatia imekula kwako
Hii kitu ndio iliyonitokea.
Msimu uliopita mvua zilinyesha kwelikweli na watu walivuna kwelikweli.
Nami niliingia tamaa msimu huu nilijidhatiti nikawekeza pesa mpaka ikatimia hiyo. Kumbe ndio naenda kuizika!
 
Hii kitu ndio iliyonitokea.
Msimu uliopita mvua zilinyesha kwelikweli na watu walivuna kwelikweli.
Nami niliingia tamaa msimu huu nilijidhatiti nikawekeza pesa mpaka ikatimia hiyo. Kumbe ndio naenda kuizika!
Daah pole Kaka tuombe uzima Mapambano bado yanaendelea
 
Kwamba ningeanza na pesa kidogo mvua ndio ingenyesha? Stupid.
In any business it is better to sfart small,that gives you an opportunity to get familiar with challenges and other setbacks before deciding for further expansion
 
Ni vizuri kuzingatia utabiri wa Hali ya Hewa!
Lakini usijali jiandae na msimu unaokuja.
 
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.

Nenda tararibu kwenye Miradi au biashara mpya, 10 m ni nyingi sana
 
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
TMA ilishakupa majibu usisikitike Wala kukata tamaa
 
Kwa hiyo hela hapo alitakiwa alime hekari zisizozid tano achimbe kisima, anunue pump na pipe za kusupply maji, kwa kua eneo ni virgin land hukukua sana na ulazima wa mbolea na madawa mengine baada ya hapo kila mwaka angekua anaongeza eneo kulingana na faida anayopata. Asingerud hapa kulia lia
Gharama za kuchimba kisima zipoje?
 
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!.
Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year.
Ila kila nikikaa machale yananicheza.
Page pendwa yangu ikawa tma.
Yes bila hiyana nikasoma kua mvua zitanyesha chini ya wastani.
Refer hapa.
Basi nikajipa moyo. Nikaendelea na process za kulima na kisha ilinyesha mvua kidogo. Tukazika mbegu shamba lote.
Ekari 30.
Tuliweka camp nikiambatana na wafanyakazi wangu wa mkataba wa 3.
Vibarua hawakukauka shambani kwangu.
Kwakweli kazi ilifanyika kwa ustadi wote.
Sikutaka kurudi mjini mpaka nione hatima ya pesa yangu ninayoizika siku hadi siku.
Huku nikipewa matumaini na wakulima wenzangu kua mvua ziko karibuni.
Siku zinakatika jua linazidi kudhoofisha mimea yangu.
Inasikitisha sana kushuhudia mimea inanifia machoni mwangu.
Nimekata tamaa.
Inasikitisha sana.
Pole sana ndugu changamoto zipo na zimekuja kwaajili yakutuongezea uimara na kujifunza zaidi, nakuomba sana usikate tamaa kabisa, kaa chini angalia wapi ulijikwaa basi ukimtumainia Mungu na kuongeza juhudi na maarifa utafikia malengo. Mungu akubariki sana.
Naomba kujua ulichimba kisima cha maji.?
Tulia kwanza na uchanganyue mradi wako upya utaanza na nguvu mpya.
 
Back
Top Bottom