Mashuzi unazalisha wewe hapo baada ya kushiba Leo.
Simple. Currency ya Tanzania is StrongWe mchumi uchwara, kwa nini mafuta Kenya bei ni juu ya Tz!?
Biriani!? Naamini utakunya KeKi.aLhamduliLlah kila siku nashiba na mashuzi kama kawa.
Wewe unazalisha nini zaidi ya mashuzi ya maharage au dagaa, tena ya njaa.
Shuzi la biriani ya Eid utafananisha na mashuzi ya hewa na ugali kwa dagaa?
Tena siyo keki ya kawaida.Biriani!? Naamini utakunya KeKi.
Mkuu, mie ni mdau...naelewa nnachokiongea.Mahaba kwa kenya yamezidi uwezo wako wa kufikiri.
Economics siyo maeno matupu bali ni mathematics. Hebu tuambie Trade balace kati ya Kenya na Tanzania
Anzia hapa kwanza:
Kenya Records a KSh 9.15 Billion Trade Deficit with Tanzania
Kenya had a trade deficit with Tanzania hit KSh 9.15 Billion at the end of the third quarter of 2021, official figures show, the first time imports from Tanzania have […]kenyanwallstreet.com
Ujue nini!? Hii ni kwa sababu Tanzania tuna visima vya mafuta kwa hiyo mafuta yetu TU tunachimba wenyewe. Hii ndiyo sababu.Simple. Currency ya Tanzania is Strong
Makaa ya mawe kutoka Mkako, yanasafirishwa balaa, ila cha ajabu Songea enyewe inadidimia kila iitwapo leo.Nje ya mada ,Majamaa yanachukua makaa ya mawe kutoka songea yanapita iringa dom to Kenya,matokeo njia ya iringa dom inateketea.najiuliza pale mpakani yanalipwaje?
Je sisi hatuwezi alika mwekezaji aje achimbe na kusafirisha hayo makaa ya mawe,?Songea nayo inateketea kwa mavumbi.
TISS usalama wa raiavwaachie polisi wao wajikite na USTAWI WA NCHI.
Sasa unataka nani akulipie bill mzee. Pambana. Hakuna kulegea legea. Uchumi unapimwa pia kwa inflation na siyo exchange rate.Mkuu, mie ni mdau...naelewa nnachokiongea.
We kula kiyoyozi tu ofcn Samia atalipia bili usiwaze!.
Nenda kasome uchumi mdogo wangu. Watu wanasoma miaka zaidi ya 3 uswachukulie poa.Ujue nini!? Hii ni kwa sababu Tanzania tuna visima vya mafuta kwa hiyo mafuta yetu TU tunachimba wenyewe. Hii ndiyo sababu.
Unayajua madhara ya vikwazo vya uchumi wewe au unaropoka tu? Nchi ambayo hata kiberiti au stick za meno unaagiza usiombe upigwe economic sanctions utaishi duniani kama jehanamu!! Yaani kabisa bila aibu unadiriki kusema vikwazo vya kiuchumi ni Jambo jepesi?Kisingizio chepesi sana hili. Ni kama kujaribu kujificha kwenye kivuli cha mchicha.
Waache siasa wazalishe na kuuza nje zaidi.waache kuzalisha chawa wazalishe bidhaa tena zenya ubora na ushindani kwenye masoko ya duniaNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Taifa limejaa wajingaStress nyingine za kujitakia, kama hilo limekuudhi usiende Kenya, usinunue bidhaa kutoka Kenya, achana na lolote la Kenya kwa muda hadi shilingi ikae sawa against ksh.
Hapo bado hata Uganda watatupitaNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
MwiguluHamia Malawi, alisikikika Waziri mmoja akisema
Hiko sicho nilichoandika.Unayajua madhara ya vikwazo vya uchumi wewe au unaropoka tu? Nchi ambayo hata kiberiti au stick za meno unaagiza usiombe upigwe economic sanctions utaishi duniani kama jehanamu!! Yaani kabisa bila aibu unadiriki kusema vikwazo vya kiuchumi ni Jambo jepesi?
SawaHiko sicho nilichoandika.
Hayana maana hayo, uchumi wa kenya sio sawa na wa japan lakini angalia thamani za hela zao zilivyopishanaNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Wapo busy kumsifia mazaNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.