Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji


Ni kweli huyu tumuombee. Maana hajitambui. Sasa huyu ndo naye anataka kugombea ubunge ? si itakuwa aibu tu huko Bungeni .AIBU TUPU
 
Sir maatope katika ubora wake hiyo show itakua imeacha historia antwerpen belgium
 
Miziwa yenyewe mibayaa.... halafu juu kavaa nywele za bandia aonekane mzungu wakatiyukokwa wazungu... kumbe ndio maana waafrika wanadharauliwa sana ulaya..
 
Mhhhh kwa kweli sijaona 'chuchu' hapo....labda uyape jina jingine!
 
Huyu shishi beibe anashindwa kuboost mtindi wake kweli?
 
Sasa Mbona Huo Uchi Hapo Siuoni? Hebu Ipige Tena Picha Yako Vizuri Na Utuonyeshe Huo Utupu Wake Na Siyo KUZOZA Tu Humu Kienyeji.
Mkuu au unadhani uputu ni pupu lile tu, hata hilo lichuchu ni utupu!
 

Sio bure umelipwa wewe...ujibu maswali yangu yote yaliyokuwa yakisumbuka kutoka
 
Huyu dada wakimuacha ataendelea kuwa janga katika nchi hii
 
Kutoka uhouse girl hadi ucelebrate siyo mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…