Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Mkuu yule dogo anakimbizwa tu,maana Shilole mwenyewe Makombo ya Barnabas.
Sasa kama Nuh akienda chumvini ajue kwamba Mwenzie Barnabas alikaanae kama mke kisha akaona majanga moja kwa moja akaenda kuoa zake.
Halafu lazima tukubali kwamba Shilole sio muimbaji,yaani yeye na Snura ni wale wale.Na muda wao wa kwenye Game ndio safari yake hiyoo.Maana naona wao na Kangamoja sioni tofauti.hawana jipya na watu wameishawachoka.

We tangu lini Bongo Movie au wengine huita Ngono Movie ikatoa mwanamke wa maana muimbaji.
Halafu huwa wakijohijwa kwenye Tv unawasikia mie namuomba sana mungu ndio maana nafanikiwa.
Halafu wengie wakienda huko Nje ya nchi ni kwamba wanapelekwa makasino tu.We ukumbi gani huo.Si bora hata kwa Macheni Bar.
Na mawakala kama kawaida yao hawakawii kuwauza kwa wapenda nyepe.

Sipati picha,maana anawatoto,sasa na tabia ya picha mnato ni kwamba mpaka dunia inafutika hazipotea na hata dunia ikipotea ni kwamba Siku ya kuitwa mbele ya Mungu utaonyeshwa picha balaa lako.Na zaidi watoto wake wataziona na yeye akiwa kizee wajukuu zake wataona Bibi yao alivyokuwa Mcharuko bin Mchepuko.

Halafu kwenye nyumba za Ibada watu kama hao kwa kupenda kukaa mbele,hahahahah yaani balaa
Usishangae na mwezi wa Ramadhan wanaalikwa kwenda kufuturu kuleee....pembezon wa Bahar
 
Dah hizi show za kujidhalilisha wanazoenda kupiga bar! Eti ulaya! Dada kajidhalilisha sana
 
Ni mji maarufu kwa bandari lakini siku hiyo mabaharia wote walielekea sehemu moja tu...na hata wachezaji wa Royal antwerpen wakiongozwa na mkenya Johanna Omolo nao walielekea sehemu hiyohiyo
Ni wapi hapo sasa?Yees,ilikuwa kwenye bonge la ukumbi ambalo linachukua watu 15,000 na mwanadada wa kitanzania aitwaye Shilole au shishi babe ndiy​e alikuwa stejini akionyesha kile kilichomfanya awe ndiye mwanmuziki bora wa kike bongo.
Alisindikizwa na toyboy wake mr Nuhu na walikamua kweli kweli,kesho yake gazeti maarufu nchini Belgium liitwalo Le Soir lilitoka na heading kuubwa iliyompa maujiko Shilole(shilole tué dans antwerpen)yaani Shilole atikisa Antwerpen
Habari zaidi zitakujia ikiwepo ile ya JenniferLopez kumkumbushia Shishi babe kuhusu ile collabo yao baada yakusikia makamuzi katika sold out concert ndani ya belgium

Adios
 
Mods wa jamii forums ni wanafik sana MTU anatukana dini na mtume wa waislam wao wanachekelea hii forums haina haki
 
Huyu Mdada ni mzuri kiukweli.
Lakini mfumo wake wa Maisha ndio tata.

Cha msingi angerudi kwenye Filam tu,kwenye kuimba sie kabisaaaa.Maana yeye na Snura wote hawana jipya.
Na hata kwenye Filam akirudi pia Cv yake mbaya,maana muandaaji filam anataka filam yake ipokelewe vizuri.
Ukilazimisha kupata pesa kwa mtoto wa kike kwa jiji la Dar lazima utaharibu tu,na mbaya zaidi shule hana.

Mwenzie Stara Thomas,shule kidogo ipo na anakazi yake na familia yake na anafanya mziki kama vile kipaji tu na sio biashara.Ni miongoni mwa The Most respected artist wa kike chini ambae alijitambua na anaendelea kujitambu.Maana hadi juzi nasikia Jo Makini kamuomba Stara aingize kipande kwenye nyimbo yake kwa kutambua heshima na mchango wake.Na hizi nyayo ndio La Jaydeee anazifuata.

Sanaa inatabia moja:
Kwanza sanaa huwa inamfuata mtu,na sio mtu kuifuata sanaa.
maana ukiifuata basi jua lazima utailazimisha ikukubali bila yenyewe kukukubali.
matokeo yake unakuwa kituko.
ZS mpambe wewe .teh teh teh teh
 
Kama mods mtamuacha huyu gasho bila kumpa ban ntamporoshea matusi mfululizo,watu wanaozaliwa kupitia haja kubwa ni shida sana unawezaje kutukana dini ya watu kwa kosa la mtu mmoja,mbona nyie mmeasiwa wakat wa utoto huko church na watu tumekaa kimya?msitulazimishe kupata dhambi,tuheshimiane

inawezekana anaitwa shilole MOHAMED ila wewe umetafsiri vibaya, tofauti na alivyomaanisha hapo juu.

mimi na wewe tunatofautishwa na kabila, dini ni kitu kidogo ndomana mtu anaweza badili.
 
Huyu apigwa ban ya ku perform ndani ya nchi popote miaka mitano iwe fundisho. Huu ni udhalilishaji , wa wanawake wa tanzania
 
Hii tabia ni ya kukemea. Anadhalilisha wanawake, nguo yenyewe haina maadili. Kwan angeimba amejistiri asingeeleweka.
 
Ok!
-sorry kwa wote mlio kwazika!
*uungwana ni vitendo*
-one blood ,one god for peace love en' harmony*
 
jinga hilo jimama yani lipo lipo tu sijui halijielewi sijui kichwani kumejaa nini... aaaaaaaahhhh
hebu ngoja niishie hapa
 
Back
Top Bottom