Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Hivi hii sheriaa hata tunaokoment ni selo tu hhhhaa
 
Huyu Mdada ni mzuri kiukweli.
Lakini mfumo wake wa Maisha ndio tata.

Cha msingi angerudi kwenye Filam tu,kwenye kuimba sie kabisaaaa.Maana yeye na Snura wote hawana jipya.
Na hata kwenye Filam akirudi pia Cv yake mbaya,maana muandaaji filam anataka filam yake ipokelewe vizuri.
Ukilazimisha kupata pesa kwa mtoto wa kike kwa jiji la Dar lazima utaharibu tu,na mbaya zaidi shule hana.

Mwenzie Stara Thomas,shule kidogo ipo na anakazi yake na familia yake na anafanya mziki kama vile kipaji tu na sio biashara.Ni miongoni mwa The Most respected artist wa kike chini ambae alijitambua na anaendelea kujitambu.Maana hadi juzi nasikia Jo Makini kamuomba Stara aingize kipande kwenye nyimbo yake kwa kutambua heshima na mchango wake.Na hizi nyayo ndio La Jaydeee anazifuata.

Sanaa inatabia moja:
Kwanza sanaa huwa inamfuata mtu,na sio mtu kuifuata sanaa.
maana ukiifuata basi jua lazima utailazimisha ikukubali bila yenyewe kukukubali.
matokeo yake unakuwa kituko.
 
Hebu mwangalieni vizuri huyo jamaa wa kulia.....

Kwa hakika kama sivyo, basi macho yangu yanamatede,real... Hivi siyo Kagame huyu?

BACK TANGANYIKA
 
Amekusudia,maana amaezoea.Ila leo mungu kaamua tujue kwamba watu wakienda huko Macasino ya Ulaya wanafanya balaa gani.

Na huyu ndio amefanya Mafuriko yatokee,maana maziwa yake alivyoyainamisha tu basi mawingu yote mazito ya mvua badala ya kuelekea Madagascar na Mauritius basi miziwa ikamwaga kwetu mwaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Mafuriko matupu

Na huu upepo umesababisha na shuzi lake alilotugeuzia huku,vutuuuuuuuuuu hadi mabati yakaezuka.

Tumeishamjua mbaya wetu wa mafuriko Nchini.Na ndio maana hata TMA wamesema kwamba hali ya mvua kubwa inatoweka,na hiii ni baada ya kumbaini aliesababisha hali hii.Sasa sijui akija watamhoji au vipi.
hahahahahaa basi jamani imetosha.
 
Huyu willafrica ni ----- Nazi sana,usipende kudhalilisha dini na taratibu zake,dogo utapotea shauri yako,hii ni forum inatembelewa na watu wengi,futa ulichopost hicho kama unakiri umekosea
 
Back
Top Bottom