Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekusudia,maana amaezoea.Ila leo mungu kaamua tujue kwamba watu wakienda huko Macasino ya Ulaya wanafanya balaa gani.
Na huyu ndio amefanya Mafuriko yatokee,maana maziwa yake alivyoyainamisha tu basi mawingu yote mazito ya mvua badala ya kuelekea Madagascar na Mauritius basi miziwa ikamwaga kwetu mwaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Mafuriko matupu
Na huu upepo umesababisha na shuzi lake alilotugeuzia huku,vutuuuuuuuuuu hadi mabati yakaezuka.
Tumeishamjua mbaya wetu wa mafuriko Nchini.Na ndio maana hata TMA wamesema kwamba hali ya mvua kubwa inatoweka,na hiii ni baada ya kumbaini aliesababisha hali hii.Sasa sijui akija watamhoji au vipi.
Chuchu???
Wakati ziwa lapa hilo, akisimama linalala, akiinama linasimama
We Diva huyo asikusumbue .
Jina lake lenyewe avatar Laki si pesa,na laki si pesa ni kundi la KANGAMOJA.
Sasa vitu kama hivyo kwake sio taabu kabisaa,
Deo hao kaka na dada wananafuuu.
Huyo ana watoto,sasa sipati picha wanae hali inakuwaje na ukuwaji wao,na hizi picha ni still pictures.
Na hii picture wamefanya kusudi ili ku boost jina.Maana watu wameishaanza kuwachoka.
Lakini wafaham kwamba athari yake ni kubwa sana kuanzi duniani hadi mbele ya mungu.
Ni bora kauli ni rahisi sana kupotea,kuliko picha.Na hii inaonyesha kwamba mengi yalikuwa yanafichwa.Na inawezkana hiip icha ndio mtumaji akaona inanafuu ngoja arushe.La sivyo kuna picha za balaa tupu.
Serikali waachieni Kangamoja wafanye yao.Maana hao wengine ni zaidi ya yale
Halafu jamani sijui macho yangu,yule anaecheza nyuma yake Shilole si PAUL KAGAME au ?
Njaa mjomba haina adabu
Dada yetu Shishi Beibe aamua kuonyesha minyonyo yake baada ya show kubuma Ubelgiji.ushauri kwa wasanii wetu muziki wetu bado sana nje ya Africa kazeni kwanza hapa huko Ulaya na America hebu waachieni kwanza kina JAy Z na wengineo wenye ubavu la sivyo kuna siku mtacheza uchi kabisa jukwaani ili kuridhisha mashabiki.Shame on you Shilole
Ana ndoto za kugombea ubunge kupitia ccm huko igunga.
Haisomeki?Sasa mkuu unaleta kwenye jukwaa la siasa,we kweli kiboga