Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Bora angeenda Nakapanya angepata fedha ya kutosha,ameenda kwenye nchi iliyokaribia kubinafsisishwa!
 
attachment.php

Asije Kujamba TU
 
Huyo mwanamke duh, naoma waliomwona hivyo wasidhani waTanzania wote watumuizaji wako hivyo.
 
Shilole ni miongoni mwa wanawake ambao anaishi kimjini mjini yaani kwa kujiuza kisanii kama hivyo. Ila hana lolote na wala yeye hajali kama kuna lolote baya maana hata basha wake Mziwanda ameshamtetea kwenye Instagram kuwa ni makosa ya mpiga picha
 
Halafu uimbaji una Age yake.
Huyu ameanza kuimba uzeeni,sasa anakurupuka tu.

Na ninasema Shilole na Snura wameitumia vizuri sana fursa ya Serikali kuzuia kundi la Kangamoja.
Maana wao ndio wamechukua fursa,lakini bila hivyo wala hawanajipya.
 
Show yenyewe ilikua kwenye bar uchwara hata watu kumi hawafiki na nguo kavua. Sionagi anachoimba zaidi ya kujizalilisha hata hao wahudhuriaji show zake mhjhhh!

Hata kama kungekuwa hamna mtu hata mmoja haimuhusu, mradi kashalipwa chake na aliempeleka huko
 
Shilole ni miongoni mwa wanawake ambao anaishi kimjini mjini yaani kwa kujiuza kisanii kama hivyo. Ila hana lolote na wala yeye hajali kama kuna lolote baya maana hata basha wake Mziwanda ameshamtetea kwenye Instagram kuwa ni makosa ya mpiga picha
Yoka Losambo,Tata Zambe,
Huyo dogo nae kimeo,sasa makosa ya mpiga picha nauhalisia wapi na wapi.
Sema tu mpiga picha shetani kamuelekeza aliharibie kwa huku,na inawezekana hiyo ni ya kitoto,kuna show inaonekana ni uchi zaidi ya hapo.
Kwanza pale ni Casino
 
Shilole ni miongoni mwa wanawake ambao anaishi kimjini mjini yaani kwa kujiuza kisanii kama hivyo. Ila hana lolote na wala yeye hajali kama kuna lolote baya maana hata basha wake Mziwanda ameshamtetea kwenye Instagram kuwa ni makosa ya mpiga picha
Mzuwanda akili Hana kabisa Sasa mpiga picha ndiyo alimtuma atoe minyonyo yake
 
Yaani anawaathiri sana Kisaikolojia watoto wake wasio na hatia.

Maana hata kama wakiwa shule,anaweza kutokea mtoto mmoja amepinda akawaambia mama yenu anacheza uchi kwenye ma bar ili mpate kula.Maana mashuleni kuna watoto wamepinda

Na wakiangalia wanaona kweli.Malaika wa Mungu wanaingizwa na mama yao kwenye Majaribu bila hatia.Maana picha hizi hazifutiki hadi Kiama.Na huna lugha ya kuwaambia watoto.

Maana hata kama mtoto anataka kusomea Uchungaji au kuwa Sheikh,unampa wakati mgum sana,Maana hata akifikisha neno la mungu watu wanaweza kumchomekea oyaaaa we mama yako mbona amevuguwaa.
 
Sanaa siyo uhuni au kufanya matendo ya kujidhalilisha. Hili alilolifanya dada yetu si jambo la kuvumilika. Anahitaji kupata ushauri nasaha ili aweze kujitambua. Inatia aibu,,mimi naona aibu sana
 
"Una Rambo Mi Nna Mua, Ni ujinga ujinga tu mi hujaniua" - Bella
"Tafuta Saizi Yako Utaniperepweta bure" - Maromboso
"Siri imevuma huko huko nyuma wengi wanalipakuwa" - Maromboso
I am just singing
 
Na ndio maana hupenda Kusema .
Mwacheni LADY JAY DEE awe Jidee wa ukwelii.

Huyu ndio msanii peke yake mwenye kuelewa anachokifanya.Na ndio maana yupo vizuri na hana njaa na yupo tayari atoe nyimbo mbili kwa mwaka lakini habari yake kubwa.
Salute kwako JIDeee,Msalimie Mwasiti wa THT anaekufuata nyayo zako.

Nukuu:AFANYE DELE
Sio wote tuimbe,sasa hapo waimbaji watajulikana na wacheza mdundiko kwenye makasino watajulikana.

Ndugu, huyu uliyemnukuu ndio nani tena?
 
Back
Top Bottom