Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Mungu wetu mvumilivu sana, sababu ya Neema ndio maana anatuacha hata pale tufanyapo uasi dhidi yake
 
inesemekana alikula monde sana.hapo alipo yupo full bwax.chezea monde la ulaya wewe.
 
Halafu mbona yupo kama kwenye Grocery anaimba na si ukumbi??
 
attachment.php

Hata muuza gongo akiona hawaji hupiga mayowe. Hayo ndo mayowe style yake. Akirudi nendeni
 
mtoa mada umempaisha sana shilole, hizo chuchu zipo wapi mbona sozioni, au macho yangu, naona malapa tena yamekua meusi kwa lami
 
attachment.php

halafu hata hicho kijiukumbi ni kama kigrocery.viti vitupu halafu mashabiki watatu tu.mwee!!.hawakumpiga foursome hawa?
 
Kweli hukukosea hiyo ni MINYONYO si chuchu ka wengine walivyosema. Ana haki yake kuyaweka hadharan kwani watu wajipimie wenyewe usinunue mbuzi ndani ya gunia. Ishakwisha niddle hiyo

Mkuu japo sijui Shilole ni nani lakini yupo kama yale ma-jimama ya kihaya kule Uwanja wa Fisi. Hii ni reject per cer
 
mtoa mada umempaisha sana shilole, hizo chuchu zipo wapi mbona sozioni, au macho yangu, naona malapa tena yamekua meusi kwa lami

Aaaah...Ni kweli nilijisahau tu...Zinaitwa nyonyo mkuu!
 
Mungu wetu mvumilivu sana, sababu ya Neema ndio maana anatuacha hata pale tufanyapo uasi dhidi yake

Wakati anataka kuangamiza Sodoma na Gomora,Malaika akamuuliza Mungu..."kwa nini unataka kuangamiza wenye haki walio kati ya waovu?"...Mungu akamjibu "Hata wangelikuwako kumi wenye haki kati ya hawa nisingeangamiza"....Malaika akauliza kama wakiwa tisa je??Mungu akasema nisingeshusha ghadhabu yangu sababu ya hao tisa...Malaika akauliza,wakiwa nane je,Mungu akajibu the same..akasema wakiwa saba je....mpaka akaenda kwa mmoja..Mungu akasema..."Hata angelikuwapo mwenye haki mmoja kati ya waovu elfu,nisingeliangamiza Sodoma na Gomola"

Mungu wetu ni wa huruma isiyo na kikomo,pengine tunaendelea kuishiImageUploadedByJamiiForums1431359984.823978.jpg sababu ya wenye haki wachache wanaoendelea kumuomba Mungu
na kumpendeza Mungu machoni pake
Hawa wachache wanaosali na kupata miujiza ya kushiriki mateso ya vidonda vya Yesu mikononi mwao..Mungu anapoghabika na sisi tunatenda maovu..👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿hao wanampendeza Mungu
ImageUploadedByJamiiForums1431359936.602941.jpg
 
Back
Top Bottom