Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

attachment.php

Mhh ila wabeba box wamechoka jamani! Awa machizi si warudi bongo huku bata tambarare. Yani ata nuru usoni awana, ujanja wao kwenye keyboard tu hehehehhehe.
 
ah hahaha hahaaaa sijui anawaimbia masela sebuleni au ukumbni hapo???
Wabongo kwa mbwembwe akirudi huku utasikia show ilibamba kufa mtu
Ah hahahaaaaa
 
Aiiiseeeeeeee Kumbe hawa viumbe wakiwa kwenye vinguo vyao vya kuonyesha mwili wanavutia lakini wakivua ni kituko,milk is not standing,minyama ya michelini,inye ndembe ndeme imepelepweta,nuhu ana kazi sana na bi mdashi wake.
 
Anaonekana Yuko vyombo balaa, kwisha habari yake ----' huyo!
NB: hakuna matiti hapo, kuna buguruni malapa!
 
Mhh ila wabeba box wamechoka jamani! Awa machizi si warudi bongo huku bata tambarare. Yani ata nuru usoni awana, ujanja wao kwenye keyboard tu hehehehhehe.

uhahaaaaaaaaaha matumbo umeniacha hoi mie
 
Last edited by a moderator:
Alitaka kuwa kama kim kardashian,beyonce,kina rihana,amber rose nawengineo celebrates wa mbele
 
Huyu shilole ana mtoto kweli?

kama hana basi ajipange kuja kubeba maumivu ya mtoto wake,kutokana na mateso atakayopata baada ya kuja kuutazama uchafu na ujinga uliofanywa na mzazi,inauma sana,mateso atakayopata mtoto wake hayatasemeka
 
Nuh mziwanda anakazi kinoma na huyo mama
Mkuu yule dogo anakimbizwa tu,maana Shilole mwenyewe Makombo ya Barnabas.
Sasa kama Nuh akienda chumvini ajue kwamba Mwenzie Barnabas alikaanae kama mke kisha akaona majanga moja kwa moja akaenda kuoa zake.
Halafu lazima tukubali kwamba Shilole sio muimbaji,yaani yeye na Snura ni wale wale.Na muda wao wa kwenye Game ndio safari yake hiyoo.Maana naona wao na Kangamoja sioni tofauti.hawana jipya na watu wameishawachoka.

We tangu lini Bongo Movie au wengine huita Ngono Movie ikatoa mwanamke wa maana muimbaji.
Halafu huwa wakijohijwa kwenye Tv unawasikia mie namuomba sana mungu ndio maana nafanikiwa.
Halafu wengie wakienda huko Nje ya nchi ni kwamba wanapelekwa makasino tu.We ukumbi gani huo.Si bora hata kwa Macheni Bar.
Na mawakala kama kawaida yao hawakawii kuwauza kwa wapenda nyepe.

Sipati picha,maana anawatoto,sasa na tabia ya picha mnato ni kwamba mpaka dunia inafutika hazipotea na hata dunia ikipotea ni kwamba Siku ya kuitwa mbele ya Mungu utaonyeshwa picha balaa lako.Na zaidi watoto wake wataziona na yeye akiwa kizee wajukuu zake wataona Bibi yao alivyokuwa Mcharuko bin Mchepuko.

Halafu kwenye nyumba za Ibada watu kama hao kwa kupenda kukaa mbele,hahahahah yaani balaa
 
Na ndio maana hupenda Kusema .
Mwacheni LADY JAY DEE awe Jidee wa ukwelii.

Huyu ndio msanii peke yake mwenye kuelewa anachokifanya.Na ndio maana yupo vizuri na hana njaa na yupo tayari atoe nyimbo mbili kwa mwaka lakini habari yake kubwa.
Salute kwako JIDeee,Msalimie Mwasiti wa THT anaekufuata nyayo zako.

Nukuu:AFANDE SELE
Sio wote tuimbe,sasa hapo waimbaji watajulikana na wacheza mdundiko kwenye makasino watajulikana.
 
Mkuu yule dogo anakimbizwa tu,maana Shilole mwenyewe Makombo ya Barnabas.
Sasa kama Nuh akienda chumvini ajue kwamba Mwenzie Barnabas alikaanae kama mke kisha akaona majanga moja kwa moja akaenda kuoa zake.
Halafu lazima tukubali kwamba Shilole sio muimbaji,yaani yeye na Snura ni wale wale.Na muda wao wa kwenye Game ndio safari yake hiyoo.Maana naona wao na Kangamoja sioni tofauti.hawana jipya na watu wameishawachoka.

We tangu lini Bongo Movie au wengine huita Ngono Movie ikatoa mwanamke wa maana muimbaji.
Halafu huwa wakijohijwa kwenye Tv unawasikia mie namuomba sana mungu ndio maana nafanikiwa.
Halafu wengie wakienda huko Nje ya nchi ni kwamba wanapelekwa makasino tu.We ukumbi gani huo.Si bora hata kwa Macheni Bar.
Na mawakala kama kawaida yao hawakawii kuwauza kwa wapenda nyepe.

Sipati picha,maana anawatoto,sasa na tabia ya picha mnato ni kwamba mpaka dunia inafutika hazipotea na hata dunia ikipotea ni kwamba Siku ya kuitwa mbele ya Mungu utaonyeshwa picha balaa lako.Na zaidi watoto wake wataziona na yeye akiwa kizee wajukuu zake wataona Bibi yao alivyokuwa Mcharuko bin Mchepuko.

Halafu kwenye nyumba za Ibada watu kama hao kwa kupenda kukaa mbele,hahahahah yaani balaa

Umeua, yani umegusa penye kidonda
 
Back
Top Bottom