Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Jamani hivi alikusudiaaa au bahati mbaya? Mwenzenu simuelewi alikuwa na maana gani?
 
Huo mtindi sio nyonyo. Nyoyo ni ziwa lenye maziwa lakini bado limesimama. Hilo kavu na limeanguka. Huo ni mtindi. Ungekuwa wa ngombe tungetaka mtindi wa uji.
 
Bwa mdogo kadata kwa shishi beiby.. mbwembwe nyingi kitandani gogo!!😀😀
 
Jamani hivi alikusudiaaa au bahati mbaya?

Amekusudia,maana amaezoea.Ila leo mungu kaamua tujue kwamba watu wakienda huko Macasino ya Ulaya wanafanya balaa gani.

Na huyu ndio amefanya Mafuriko yatokee,maana maziwa yake alivyoyainamisha tu basi mawingu yote mazito ya mvua badala ya kuelekea Madagascar na Mauritius basi miziwa ikamwaga kwetu mwaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Mafuriko matupu

Na huu upepo umesababisha na shuzi lake alilotugeuzia huku,vutuuuuuuuuuu hadi mabati yakaezuka.

Tumeishamjua mbaya wetu wa mafuriko Nchini.Na ndio maana hata TMA wamesema kwamba hali ya mvua kubwa inatoweka,na hiii ni baada ya kumbaini aliesababisha hali hii.Sasa sijui akija watamhoji au vipi.
 
Aliyekuwa naye atakuwa amshughulikii vizuri ndiyo maana demu anaendelea na tabia yake ya kukaa uchi kuwavutia watu wengine
 
nawaonea huruma kaka na Dada zake.
Deo hao kaka na dada wananafuuu.
Huyo ana watoto,sasa sipati picha wanae hali inakuwaje na ukuwaji wao,na hizi picha ni still pictures.
Na hii picture wamefanya kusudi ili ku boost jina.Maana watu wameishaanza kuwachoka.

Lakini wafaham kwamba athari yake ni kubwa sana kuanzi duniani hadi mbele ya mungu.
Ni bora kauli ni rahisi sana kupotea,kuliko picha.Na hii inaonyesha kwamba mengi yalikuwa yanafichwa.Na inawezkana hiip icha ndio mtumaji akaona inanafuu ngoja arushe.La sivyo kuna picha za balaa tupu.

Serikali waachieni Kangamoja wafanye yao.Maana hao wengine ni zaidi ya yale
 
Back
Top Bottom