Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Yani unaumiza kichwa chako kabisa na Shishi ... Laiti ungejua hahaha usingethubutu kucomment hilo...
 
nimekuelewa sana.hata mimi niliishi na mke kwa miaka kumi na sikuwahi kumpiga ingawa alikuwa na mdomo sana na wivu wa kupindukia kiasi kwamba ukirudi nyumbani unanuswa hadi boksa.ilifkia nikawa nachelewa kurudi homu afu niko tusuu ili nikifika nilale tuu.siku hiyo nimefika akanianzia mdomo nikamchimba biti kali naona ananibebea kisu afu akanirushia nilikuwa kifua wazi kananipapasa begani.niliamka kwa asira hiyo kichapo nilitembeza ni mbwa koko na km sio watoto kuamka na kuanza kulia ndo nikahurumia watoto nikamuachia kachakaa uso wote.nikampa first aid vizuri akalala mbona adabu ikawepo.nikasema sijui sk zote nilikuwa wapi kuweka hishma ya kupiga vitasa.leo nimeona hili jambo hapa nikakumbuka huyu shilole wife wana undugu kutokea huko igunga unajua hawa wana ngebe sana sbb wana uchotara flani toleo la mwisho
 
Tayari wazee wa kuchukulia vitu personal mshafika. Wewe unataka kundi langu la damu ili ufanyie mambo gani mwanga mkubwa wewe?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Haki nimecheka
 
"...SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGOMIDOGO...MAMBO YANAYOZUNGUMZIKA..."

wanawake wengi watovu wa nidhamu wanaowajibishwa kwa matendo na maneno yao wanaolishwa kipondo hueleza sababu hiyo hapo lakini hautasikia hata siku moja wametaja hiyo migogoro ni ipi.

Sasa basi;

Kwakua sababu zetu mnazidharau na kuziita migogoro midogo inayozungumzika na sisi tutaendelea kuwapa kichapo kidogo kinachovumilika.

Tupo pamoja Uchebe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…