HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndo maana mnazalishwa na kuachwa sababu ya midomoNaunga mkono..narudia Tena naunga mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana mnazalishwa na kuachwa sababu ya midomoNaunga mkono..narudia Tena naunga mkono
Naunga Mkono hojaEehe akichoka atafute mwingine wa kumkunaa nae atakujaa kumtandikaa tuu...!! Maana mwanamke mwenye mdomo na dharau hafai kuolewaa
kwa hiyo wapigwee tuuuu sio.inawezekana mdomo umemponzaNimeona shilole ameandika Gazeti refu sana kuhusu uchebe lakini amini Shilole ndo anazingua na hii yote sababu ana Pesa so anaishi like Uchebe hawezi mwambia kitu. Ukiwa na hela zako bhasi usiolewe wewe tafuta viben ten vya kukupa raha siku moja moja bhasii ila sio Utake MUME.
Ukishaolewa hizo hela zako weka pembeni vaa uhusika wa Mke..Fanya majukumu ya Mke pia Kuwa Mtii kwa mume wako na Upunguze Kidomodomoo lasivyoo utakuwa unapigwaa mpaka ukome sababu mwanaume kuwa juu ya mke ni Nature ukitaka wewe ndo uwe juu bhasi Utaumiaa tuuu na mimi nasemaa mpigwee tuu mpaka mnyooke.View attachment 1500945View attachment 1500946
👏👏👏Uchebe wakati anatoka na shilole sio kwamba alikuwa hayajui mapungufu yake ..sio kwamba alikuwa hajui kuwa mkewe ni mdangaji .Ila kwa kuwa hakuwa amemzoea kwa kuwa hakuwa ame fall in love akadiriki kujiongopea kuwa hayo ni mambo ya kawaida tu . Wajua kama hauja fall kwa mtu ni vigumu sana kuwa na wivu nae shida inakuja sasa zile moment mnazokuwa pamoja zinapoanza kujenga mazoea ndani ya moyo na fikira zako ..taratibu moyo wako unaanza kujenga wivu ' mwisho wa siku unajikuta unaanza kushindwa kuya vumilia Yale ambayo zamani ulikuwa unayaona but kwa kuwa ulikuwa hauja fall ukawa unajiongopea kuwa ni mambo ya kawaida tu na utajitahidi kumbadilisha mwenza wako tabia mbele kwa mbele yaani unaanza kujiongopea una sahau kwamba mtu aliyekuoa au uliye muoa ni mke wetu au mume wa watu
Hapo ndio shida inapoanzaga
Kuna wanawake wanaheshimu waume zao ambao hata sio matajiriii..!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chakushangaza wanaolewa Sana tu Kama shishi..tafuta pesa dharau utazisikia kwa jirani.
Wengi sanaKuna wanawake wanaheshimu waume zao ambao hata sio matajiriii..!!
😂Uishi na shilole au gigy mwezi mzima bila mkong’oto kutembea wewe utakuwa siyo mwanaume.............
Hahaha nimewaambia hivyo pia ...sheria ni msumeno hukata kote koteHii kitu hakikubaliki na kinasikitish lakini kama jamii tuache double standards. Wakati shilole anamkata makofi nuh na akihojiwa anaona kama ni sifa ila jamii na feminists walikaa kimya na wemgine kumbeza nuh atapigwaje na mwanamke. Leo mwanamke huyo huyo kapigwa naona Tanzania itasimama. Violance ni violance na inatakiwa kupigwa vita pasipo kuangalia jinsia ama umri
Una kundi gani la damu mkuu?
Kama hili tukio halijaripotiwa polisi basi tunaamini kabisa Shilole anapenda hii hali. Kalalamika kuondoa udhia tuOfficialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu niliposikia wanawake wenzangu wakipigwa niliwaambia PAZENI SAUTI, niliposikia mwanamke kule Kigamboni ameuwawa na kuchomwa moto niliomboleza na jamii na kusema Bora angesema".. huku mimi nikijikausha na kujitoa kwenye kundi lao wakati ukweli wangu MIMI NI MWENZAO, Naomba radhi.
Mimi ni kioo cha jamii, tena sura kubwa ya wanawake. Leo numeona nivunje ukimya kwa kuweka wazi kwamba MUME WANGU ASHRAFU SADIKI, maarufu kama UCHEBE AMEKUWA ANANIPIGA SAAANA, na tena hata baada ya kunipiga hajali kupiga simu wala kujua naendeleaje, nauguzwa na watu baki hospitali, na bado manyanyaso mengine yanayoikosesha hii ninayoiita Ndoa uhai na furaha
na zaidi nina WATOTO, watoto wanaoniangalia kama Baba na Mama, leo nikubali kufa na kuacha wanangu barabarani, SITAWEZA
'Uchebe' ni mwanaume niliyempenda, nilimvumilia kwa madhaifu yote, nikampa kila kitu, (Utu wangu, Mali Zangu na hata palipotakiwa kumuendeleza asimame mwenyewe nilifanya kwakuwa nilijua tuko pamoja), lakini HILO HALIKUWAHI KUZUIA VIPIGO, DHARAU NA USALITI.
Siku 2 zilizopita baada ya kutoka SABASABA KUTAFUTIA WATOTO WANGU NA KUMTAFUTIA YEYE NILIPIGWA SANA. SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGO YA KAWAIDA AMBAYO IPO KWENYE KILA NDOA, sio kwamba amenifumania au mambo yanayoshindwa kuzungumzika, hapana, Tena Namuheshimu sana, lakini solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti.
Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO.. Nimefika mwisho, na kuanzia sasa naomba nisitambulike kama Mke wa Uchebe, ila Mama alieamua kuweka maslahi ya watoto wake mbele na kuamua kuwa mwenyewe kwa usalama na furaha yake
Wakati nahangaikia mambo yangu ya ndoa, post hii itumike kuwakumbusha wanawake TUVUNJE UKIMYA, TUPINGE UKATILI, TUTAKUJA KUULIWA SABABU
Pia soma > Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu