Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanajisahaulisha ..sikatai kilichofanywa ni wrong ila shilole mwenyewe alikuwa anaifurahia violance na kuonesha kama njia nzuri ya kumtia mtu adabu lakini maisha haya sio kabisaaHahaha nimewaambia hivyo pia ...sheria ni msumeno hukata kote kote
Ni wao na Yule Ni shishi na maisha yake.Kuna wanawake wanaheshimu waume zao ambao hata sio matajiriii..!!
Hauna akili sawa sawa wewe. Huo ushabiki ni wa timu gani?!Siku Binti yako au Dada yako akifanyiwa huu unyama uje pia uandike kishabiki hivi hivi
Wewe jamaa hujawahi kuwa serious 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌Sasa kakutana na mwambaa mamaee...!! Yani kavimba hasaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari wazee wa kuchukulia vitu personal mshafika. Wewe unataka kundi langu la damu ili ufanyie mambo gani mwanga mkubwa wewe?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una kundi gani la damu mkuu?
Na bado inakuuma sisi Kuzalishwa na kuachwa..poulee weehNdo maana mnazalishwa na kuachwa sababu ya midomo
Acha mkuu yani Mwanaume akipigwa na mdada jamii inashabikiaa sanaa ona leo shilole kanyooshwa yeye ba Kidume uchebe watu wotee wanamind...!! Alidhani uchebe ni nuhu mziwandaaWewe jamaa hujawahi kuwa serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hawajui jinsi gani mwanamke huwa na masimango akiwa na kazi na uwezo kifedha. "We una nini kwanza nakulisha tu" aisee hizi kauli chafu na kiburi nina hakika ndo vimemponza dada etuHayajakukuta mzee usiseme hvyo hujui alichokifanya huyo na huenda ukikifahamu unaweza kusema kwann asingemvunja ata mkono. Hawa wanawake hawa nadhan waliooa au wanaoishi na wanawake kwa mda mrefu watakuwa wananielewa
You're right on point son, and i like the way you think.Hii kitu hakikubaliki na kinasikitish lakini kama jamii tuache double standards. Wakati shilole anamkata makofi nuh na akihojiwa anaona kama ni sifa ila jamii na feminists walikaa kimya na wemgine kumbeza nuh atapigwaje na mwanamke. Leo mwanamke huyo huyo kapigwa naona Tanzania itasimama. Violance ni violance na inatakiwa kupigwa vita pasipo kuangalia jinsia ama umri
DaaaahHii staili ya kubutua masumbwi usingizini nimeipenda sana... Maana kale kamoyo ka kumwonea huruma kanakuwa kamelala....
kwahiyo wengine tusiishi nao kwa akiliNamfahamu tangu akiwa mdogo, ni rafiki na wameishi nyumba moja na shemeji yangu.
Daah! Noma! Kibao kimebadilika sasa anakuja kulialia kwenye mitandao kutafuta hurumaMwanamke amezalishwa huko na wanaume watatu tofauti na wote kashindwana nao afu ustaadhi uchebe akajua ataweza kumtuliza?
Mambo ya kupigana ni ya kishamba lkn hivi huyu Shilole si alikuaga anambonda Nuhu Mziwanda mpk chalii anakimbilia kwny media kusema na Shilole akawa anajitapa akisema yeye hapendi upumbavu na kweli hua anampa chalii kichapo heavy.
I guess sasa amepata size yake.
We Uchebe una matatizo gani.Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu niliposikia wanawake wenzangu wakipigwa niliwaambia PAZENI SAUTI, niliposikia mwanamke kule Kigamboni ameuwawa na kuchomwa moto niliomboleza na jamii na kusema Bora angesema".. huku mimi nikijikausha na kujitoa kwenye kundi lao wakati ukweli wangu MIMI NI MWENZAO, Naomba radhi.
Mimi ni kioo cha jamii, tena sura kubwa ya wanawake. Leo numeona nivunje ukimya kwa kuweka wazi kwamba MUME WANGU ASHRAFU SADIKI, maarufu kama UCHEBE AMEKUWA ANANIPIGA SAAANA, na tena hata baada ya kunipiga hajali kupiga simu wala kujua naendeleaje, nauguzwa na watu baki hospitali, na bado manyanyaso mengine yanayoikosesha hii ninayoiita Ndoa uhai na furaha
na zaidi nina WATOTO, watoto wanaoniangalia kama Baba na Mama, leo nikubali kufa na kuacha wanangu barabarani, SITAWEZA
'Uchebe' ni mwanaume niliyempenda, nilimvumilia kwa madhaifu yote, nikampa kila kitu, (Utu wangu, Mali Zangu na hata palipotakiwa kumuendeleza asimame mwenyewe nilifanya kwakuwa nilijua tuko pamoja), lakini HILO HALIKUWAHI KUZUIA VIPIGO, DHARAU NA USALITI.
Siku 2 zilizopita baada ya kutoka SABASABA KUTAFUTIA WATOTO WANGU NA KUMTAFUTIA YEYE NILIPIGWA SANA. SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGO YA KAWAIDA AMBAYO IPO KWENYE KILA NDOA, sio kwamba amenifumania au mambo yanayoshindwa kuzungumzika, hapana, Tena Namuheshimu sana, lakini solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti.
Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO.. Nimefika mwisho, na kuanzia sasa naomba nisitambulike kama Mke wa Uchebe, ila Mama alieamua kuweka maslahi ya watoto wake mbele na kuamua kuwa mwenyewe kwa usalama na furaha yake
Wakati nahangaikia mambo yangu ya ndoa, post hii itumike kuwakumbusha wanawake TUVUNJE UKIMYA, TUPINGE UKATILI, TUTAKUJA KUULIWA SABABU
Pia soma > Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu
Yeah!, me mwanaume but huwa najisikia vibaya sana mwanamke kunyanyaswa. I always want to be the part of the solution.Naunga mkono..narudia Tena naunga mkono
Hahah cheki watetea haki za wanawake sijui dawati la jinsia mara wakina Joyce Kiria watakavyomshukia Ustaadhi Uchebe kwa kasi ya mwewe.Daah! Noma! Kibao kimebadilika sasa anakuja kulialia kwenye mitandao kutafuta huruma