hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha kuna baadhi ya wanawake ni wake zetu mkuu .. Ukijichanganya ukaoa type ya wanawake hao .. Utakoma hakuna rangi ambayo utaiacha kuiona[emoji28][emoji28] "ni mke wetu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kuna baadhi ya wanawake ni wake zetu mkuu .. Ukijichanganya ukaoa type ya wanawake hao .. Utakoma hakuna rangi ambayo utaiacha kuiona[emoji28][emoji28] "ni mke wetu"
Shangaa na wewe.Mbona viben 10 vinapenda vurugu hivi.
Muda wa kuoa bado Sana Nina 24 ngojea nitengeneze kwanza maisha ninaweza kuja kuoa labda kuanzia miaka 30+Wewe unaoa lini?
Sasa kama una akili timamu utakaa umpige kahaba? Unataka kumfanya nini, kumbadilisha au???
Once a bitch always a bitch!
Kushakuchaaa! Uchebe ajiandae kisaikolojia tu.Vibaya sana ... Nimetoka huko " nimekuta flavian matata kachachamaa
Uchebe kambutua mtia nia... Hahaha uchebe kanifurahisha sana na mashambulizi yake ya kustukiza...Nimecheka sana Blaza...
Hahahahahahahaha
Sure ni pressure za kujitakia tu.Hahaha kuna baadhi ya wanawake ni wake zetu mkuu .. Ukijichanganya ukaoa type ya wanawake hao .. Utakoma hakuna rangi ambayo utaiacha kuiona
Hiyo ndo inaitwa mbwa kala mbwa...Kwani huyo gendaheka hakujua Kama shishi mdangaji!!? Alijua na bado akapeleka pumbu zake pale..Kama aliona shishi habadiliki angemuacha tu kiroho Safi..kumpiga ndiyo kaona ushindi.. ndiyo Kwanza kampatia ticket ya Bibi shishi kudanga kwa Uhuru..umariooo wahitaji subraaa jamani.
😁😁😂😂Kutaka mwanamke wa mjini mzuri na uwezo wa kuhudumia huna lazima "big boys" wakusaidia tu, mtoto fala sana yule, ajifunze sasa kuwa vizuri gharama.
😁😁Afu utakuta huyo anaesema hawezi kumpiga mwanamke hajaoa!!
Krisi Brauni alitaka kuua...Rihana utafikiri siyo yeye dah...Huyu Uchebe anajifanya Chris Brown? Hii ni kesi, hawezi kumpasua Shilole wetu kama hivyo, lazima afunguliwe mashtaka. Shilole ni kiburudisho chetu, yaani huyu dada ni commedy kushinda hao wakina Stive Nyerere.
Hakuna Cha ushindi wowote..uboya tu.Hiyo ndo inaitwa mbwa kala mbwa...
We nenda kadange uniumize roho, nami nakuibukia usiku nakuumiza sura
Malipo ni hapahapa Duniani....
Mwisho wa siku kidumw kimeibuka na ushindi, Shilole kaomba poo
Nisamehe mama, ila acha wapigwe tu. Hasa hawa wanaojiona wamefika sana....Hubby sijaelewa ulichoandika.
Kichwa kina mambo mengi, acha kipumzike wakati mikono ikishughulikia wasumbufuHakuna Cha ushindi wowote..uboya tu.
Hizo nguvu alizotumia kumpiga mkewe angewekeza kichwani apate akili zaidi ya kutafuta pesa.
inawezekana kabisaAfu utakuta huyo anaesema hawezi kumpiga mwanamke hajaoa!!