Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Hata ukiwa nazo pia ni shida .... Mwanamke au mwanaume akiwa star kumdate unajitakia matatizo tu
Mike Tyson aliwahi kumfania mkewe kiandani kwake akiwa na brad Pitt
Yaani licha ya u-star wote alionao na mipesa yote wakati huo mike anatamba dunia nzima ---lakini akawa anachapiwa na brad Pitt tena anachapiwa mpaka kwake ....
Naunga mkono..narudia Tena naunga mkonoWanawake na ninyi acheni uboya, kwanini mwanaume akizingua usimuache!,......achana nae then live your life, Be the change of what you see in the world.
Activist said.
Noma sana😆😆😆😆Hahah ila huyu demu nae hua ni taahira sana,ile siku ya uzinduzi wa albumu ya Harmonizer pale ukumbini alikuwepo Jk,Mwakyembe,Tulia,jamaa wa basata na watu kibao si huyo shishi akapewa nafasi ya kuimba mara naona anaanza kuimba sijui motherfucker nini mara paaap akaanza kuonyesha kidole cha kati huku ma sceen yote mle ukumbini yakimuonyesha.,hahah.
Ndipo nikajua dishi huyu limeshayumba kitambo sana.
nadhani jamaa alikuwa anamhurumia tu, hivi yule jamaa anaweza kupigwa kizembe na shishi bila kuamuaShilole alimdunda sana Nuhu Mziwanda...kweli nimeamini Karma is real
Bwashee ngumi ya usingizini unaweza kuua kimasihara ujue!
Eehe akichoka atafute mwingine wa kumkunaa nae atakujaa kumtandikaa tuu...!! Maana mwanamke mwenye mdomo na dharau hafai kuolewaaHaya endelea kumtandika..si ndipo uanaume wako ulipoishia.
CCM mwaka huu wana wagombea wa kila aina..wehu..mataahira..vichaa..basi habari za namna hii ni za kawaida kabisa huko.Mtia nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM Zena Mohamed aka Shilole ametangaza kumuacha mme wake wa ndoa Mr Uchebe.
Shilole amedai ameamua kumuacha Uchebe kutokana na vipigo alivyokuwa akipokea mara kwa mara kutoka kwa mumewe.
Pamoja na hayo Shilole amesema harakati zake za kulinyakua jimbo la Igunga huko Tabora ziko pale pale.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Ndio hivyo mkuuu[emoji23][emoji23]
Karma is......Yule dada aliyeporwa mume na Shilole atakuwa anatabasamu to hii habari.
Habari ishachakaa hii ndo unaileta sasa? Nenda kawe kampeni meneja wake, Uchebe aje awatandike wote wawili mkikataa kumpa urodaMtia nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM Zena Mohamed aka Shilole ametangaza kumuacha mme wake wa ndoa Mr Uchebe.
Shilole amedai ameamua kumuacha Uchebe kutokana na vipigo alivyokuwa akipokea mara kwa mara kutoka kwa mumewe.
Pamoja na hayo Shilole amesema harakati zake za kulinyakua jimbo la Igunga huko Tabora ziko pale pale.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
😂😂😂Umenifananisha mkuu
Anamsitiri wapi? Ampe tigo aone kama atabwatuliwa makonde...Nimesikitika sana ..Kuna wanaume hawana shukrani mwanamke akustiri uonekane mtu mbele za watu na bado wamfanyia Mambo meusi..Hana haya na sura lake baya Kama sokwe.
unamaanisha nini mkuu[emoji2]
CCM mwaka huu wana wagombea wa kila aina..wehu..mataahira..vichaa..basi habari za namna hii ni za kawaida kabisa huko.
Hii staili ya kubutua masumbwi usingizini nimeipenda sana... Maana kale kamoyo ka kumwonea huruma kanakuwa kamelala....hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.
Bad bitch like Niki, Cardi and Megan thee stallion combined..Karma is......
😂😂😂😂😂Eehe akichoka atafute mwingine wa kumkunaa nae atakujaa kumtandikaa tuu...!! Maana mwanamke mwenye mdomo na dharau hafai kuolewaa