Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Kuna makosa mengi sana tunayafanya wapenzi pale mapenzi yanapoanza,yanakuwa hot sana kiasi cha kwamba unakuta mwenzako ana mapungufu flani lakini unajipa moyo kuwa iko siku atakuja kuacha,ni wachahe sana walikuja kuacha tabia zao baada ya kuoana.

Ila wengi walibaki nazo na hata kuwa wabaya zaidi,ndio maana kuna usemi unasema kosea yote lakini usikosee kuoa au kuolewa,kwahiyo mtoa mada sio kama tabia ya huyo mwanaume alianza ghafla from no where,ukichunguza huyo mtu alikuwa na hizo tabia kabla hata hawajafunga ndoa,sema ndio hivyo penzi ni upofu......
Uchebe wakati anatoka na shilole sio kwamba alikuwa hayajui mapungufu yake ..sio kwamba alikuwa hajui kuwa mkewe ni mdangaji .Ila kwa kuwa hakuwa amemzoea kwa kuwa hakuwa ame fall in love akadiriki kujiongopea kuwa hayo ni mambo ya kawaida tu . Wajua kama hauja fall kwa mtu ni vigumu sana kuwa na wivu nae shida inakuja sasa zile moment mnazokuwa pamoja zinapoanza kujenga mazoea ndani ya moyo na fikira zako ..taratibu moyo wako unaanza kujenga wivu ' mwisho wa siku unajikuta unaanza kushindwa kuya vumilia Yale ambayo zamani ulikuwa unayaona but kwa kuwa ulikuwa hauja fall ukawa unajiongopea kuwa ni mambo ya kawaida tu na utajitahidi kumbadilisha mwenza wako tabia mbele kwa mbele yaani unaanza kujiongopea una sahau kwamba mtu aliyekuoa au uliye muoa ni mke wetu au mume wa watu

Hapo ndio shida inapoanzaga
 
Inakupata barabara maana huwezi ikwepa na mausingizi yako😂😂😂😂😂
Masikini Shishi.
Hahah ila huyu demu nae hua ni taahira sana,ile siku ya uzinduzi wa albumu ya Harmonizer pale ukumbini alikuwepo Jk,Mwakyembe,Tulia,jamaa wa basata na watu kibao si huyo shishi akapewa nafasi ya kuimba mara naona anaanza kuimba sijui motherfucker nini mara paaap akaanza kuonyesha kidole cha kati huku ma sceen yote mle ukumbini yakimuonyesha.,hahah.

Ndipo nikajua dishi huyu limeshayumba kitambo sana.
 
Shishi wa watu jamani


Unajua tatizo n nini na ndoa za watu?!
 
Mtia nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM Zena Mohamed aka Shilole ametangaza kumuacha mme wake wa ndoa Mr Uchebe.

Shilole amedai ameamua kumuacha Uchebe kutokana na vipigo alivyokuwa akipokea mara kwa mara kutoka kwa mumewe.

Pamoja na hayo Shilole amesema harakati zake za kulinyakua jimbo la Igunga huko Tabora ziko pale pale.

Source: Ayo TV

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.
.. Usiibe __ iba
..Ishi nao kwa akili __ jitie kichaa kwa muda
Tobaaa mamengazi wee yaani USI weye unasema FA😂😂
 
Ukiona mwanaume anampiga mwanamke ujue amekasirishwa kiasi ambacho hatamani tena kumwona huyo mwanamke. Mapenzi yanaumiza sana haswa wanaume ndio wanaoumia kupita kiasi kutokana na usaliti.

Sipendi kupiga mwanamke ila sishangai mtu akipiga mwanamke najua maumivu anayopitia na pia ndoa nyingi zinavurugwa na wanawake kuliko wanaume.

Unapooana wanaume wenye ndoa wanakesha baa wanakimbia mengi sana majumbani mwao. Halafu wanawake wanajifanya kama watakatifu sana wakati wengi ni mashetani wanaoishi duniani na kuvuruga sana wanaume
Drama za wanawake kwa wanaume ni kama ile hadithi ya samaki na binaadamu

Binaadamu akimla samaki anaona sawa ila siku binaadamu akiliwa na samaki basi TV magazeti na maifisini habari itakuwa ni hiyo tu

Waweza kuona kipindi shilole anampiga makofi nuhu reaction ya watu kumtetea nuhu ilikuwa ni ndogo sana ...Leo shilole kapigwa na uchebe basi habari imekuwa habari haswaa kila kona wanawake wanapaza sauti wanasema mwenzao kaonewa
 
Uchebe wakati anatoka na shilole sio kwamba alikuwa hayajui mapungufu yake ..sio kwamba alikuwa hajui kuwa mkewe ni mdangaji .Ila kwa kuwa hakuwa amemzoea kwa kuwa hakuwa ame fall in love akadiriki kujiongopea kuwa hayo ni mambo ya kawaida tu . Wajua kama hauja fall kwa mtu ni vigumu sana kuwa na wivu nae shida inakuja sasa zile moment mnazokuwa pamoja zinapoanza kujenga mazoea ndani ya moyo na fikira zako ..taratibu moyo wako unaanza kujenga wivu ' mwisho wa siku unajikuta unaanza kushindwa kuya vumilia Yale ambayo zamani ulikuwa unayaona but kwa kuwa ulikuwa hauja fall ukawa unajiongopea kuwa ni mambo ya kawaida tu na utajitahidi kumbadilisha mwenza wako tabia mbele kwa mbele yaani unaanza kujiongopea una sahau kwamba mtu aliyekuoa au uliye muoa ni mke wetu au mume wa watu

Hapo ndio shida inapoanzaga
😅😅 "ni mke wetu"
 
Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu niliposikia wanawake wenzangu wakipigwa niliwaambia PAZENI SAUTI, niliposikia mwanamke kule Kigamboni ameuwawa na kuchomwa moto niliomboleza na jamii na kusema Bora angesema".. huku mimi nikijikausha na kujitoa kwenye kundi lao wakati ukweli wangu MIMI NI MWENZAO, Naomba radhi.

Mimi ni kioo cha jamii, tena sura kubwa ya wanawake. Leo numeona nivunje ukimya kwa kuweka wazi kwamba MUME WANGU ASHRAFU SADIKI, maarufu kama UCHEBE AMEKUWA ANANIPIGA SAAANA, na tena hata baada ya kunipiga hajali kupiga simu wala kujua naendeleaje, nauguzwa na watu baki hospitali, na bado manyanyaso mengine yanayoikosesha hii ninayoiita Ndoa uhai na furaha

na zaidi nina WATOTO, watoto wanaoniangalia kama Baba na Mama, leo nikubali kufa na kuacha wanangu barabarani, SITAWEZA

'Uchebe' ni mwanaume niliyempenda, nilimvumilia kwa madhaifu yote, nikampa kila kitu, (Utu wangu, Mali Zangu na hata palipotakiwa kumuendeleza asimame mwenyewe nilifanya kwakuwa nilijua tuko pamoja), lakini HILO HALIKUWAHI KUZUIA VIPIGO, DHARAU NA USALITI.

Siku 2 zilizopita baada ya kutoka SABASABA KUTAFUTIA WATOTO WANGU NA KUMTAFUTIA YEYE NILIPIGWA SANA. SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGO YA KAWAIDA AMBAYO IPO KWENYE KILA NDOA, sio kwamba amenifumania au mambo yanayoshindwa kuzungumzika, hapana, Tena Namuheshimu sana, lakini solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti.

Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO.. Nimefika mwisho, na kuanzia sasa naomba nisitambulike kama Mke wa Uchebe, ila Mama alieamua kuweka maslahi ya watoto wake mbele na kuamua kuwa mwenyewe kwa usalama na furaha yake

Wakati nahangaikia mambo yangu ya ndoa, post hii itumike kuwakumbusha wanawake TUVUNJE UKIMYA, TUPINGE UKATILI, TUTAKUJA KUULIWA SABABU

Pia soma > Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Wanawake na ninyi acheni uboya, kwanini mwanaume akizingua usimuache!,......achana nae then live your life, Be the change of what you see in the world.

Activist said.
 
IMG_20200706_173600.jpg
 
Yap,mwanamke wa kibongo ukimwambia jambo malamoja mala mbili hasikii unamzibua kwanza kidoogo ili akili ziboost.
 
Drama za wanawake kwa wanaume ni kama ile hadithi ya samaki na binaadamu

Binaadamu akimla samaki anaona sawa ila siku binaadamu akiliwa na samaki basi TV magazeti na maifisini habari itakuwa ni hiyo tu

Waweza kuona kipindi shilole anampiga makofi nuhu reaction ya watu kumtetea nuhu ilikuwa ni ndogo sana ...Leo shilole kapigwa na uchebe basi habari imekuwa habari haswaa kila kona wanawake wanapaza sauti wanasema mwenzao kaonewa

Huko Twitter leo naona wale "Feminist" watachachamaa sana.
 
Back
Top Bottom