Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Hawa wanawake mastaa wa bongo ni pasua kichwa.Eti unamuoa staa wa kibongo halafu atulize mshundu ndani;Never!

Ila na mwanaume kakosea huwezi kumpa kipigo mkeo kiasi cha kumuumiza hivyo.Huo ni ukatili!
Mwanamke amezalishwa huko na wanaume watatu tofauti na wote kashindwana nao afu ustaadhi uchebe akajua ataweza kumtuliza?

Mambo ya kupigana ni ya kishamba lkn hivi huyu Shilole si alikuaga anambonda Nuhu Mziwanda mpk chalii anakimbilia kwny media kusema na Shilole akawa anajitapa akisema yeye hapendi upumbavu na kweli hua anampa chalii kichapo heavy.

I guess sasa amepata size yake.
 
Hivi kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.

Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
😂😂😂 Wenyewe watakuja kukujibu,looh wataka kusema hao wenye mapicha mwilini si BINADAMU kabisaaa?
 
Mwanamke amezalishwa huko na wanaume watatu tofauti na wote kashindwana nao afu ustaadhi uchebe akajua ataweza kumtuliza?

Mambo ya kupigana ni ya kishamba lkn hivi huyu Shilole si alikuaga anambonda Nuhu Mziwanda mpk chalii anakimbilia kwny media kusema na Shilole akawa anajitapa akisema yeye hapendi upumbavu na kweli hua anampa chalii kichapo heavy.

I guess sasa amepata size yake.
Hahah ndo umenikumbusha sasa.
Au itakuwa alijaribu na huo mchezo kwa mcheza karate uchebe akapewa kipigo heavy.
 
Duh! mbona hiko kipigo Kama anaua mwizi sisi wanaume tuna kwama wapi? Unampiga mtu mzima mwenzako Kama mtoto kweli?shilole anamlisha huyu jamaa haitoshi anampigania mume wake kweli kweli asidhalilike au kuonekana Marioo mbele ya Uma pamoja na yote hayo fadhila yake Ni kipigo sijui sisi wanaume tunataka Nini?
Wewe unaoa lini?
 
Hata angekua anafanyia ndani kwake hana sababu ya kumpiga. umemshindwa mtu achaneni kwa amani, kwanza mwanaume alikua analelewaalitegemea anakula vya nani kama sio wanaume wenzie? Shilole kakosea angempiga hata chupa wawe even
 
Back
Top Bottom