Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
😂😂 watu wanafaidi "shishi food" tu.Shilole kakubuhu na bahati mbaya sana hachagui anachukua hadi vimwanachuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 watu wanafaidi "shishi food" tu.Shilole kakubuhu na bahati mbaya sana hachagui anachukua hadi vimwanachuo
Mwanamke amezalishwa huko na wanaume watatu tofauti na wote kashindwana nao afu ustaadhi uchebe akajua ataweza kumtuliza?Hawa wanawake mastaa wa bongo ni pasua kichwa.Eti unamuoa staa wa kibongo halafu atulize mshundu ndani;Never!
Ila na mwanaume kakosea huwezi kumpa kipigo mkeo kiasi cha kumuumiza hivyo.Huo ni ukatili!
Usiache mbachao kwa mswala upitaoHaya sasa jamaa anarudi kwa mke wake wa awali ambaye alimuacha na kwenda kwa Shilole.
Worry out bro.tabia zao zinafahamika.Break the code bro[emoji120]
Hahahhaah umenichekeshaNa wanawake bila kushtuliwa na ngumi usingizini hua hamuelewi kabisa
Hahah nadhani Ustaadhi Uchebe sasa atakua ameelewa maana ya kunguru hafugiki.Aisee mkuu we acha tu.hawa celebrities wetu kwenye mitandao wanauza sura na vinginevyo.
Sasa kama una akili timamu utakaa umpige kahaba? Unataka kumfanya nini, kumbadilisha au???Kahaba linapigwa mzee baba vp!?
unataka ku deffend...!!
ww mgambo?
Salaalee jamani ustaarabu kazi....looh ya "jungle law" mijiniMtu akibisha nikupigwa tu acha wapigwe
😂😂😂 Wenyewe watakuja kukujibu,looh wataka kusema hao wenye mapicha mwilini si BINADAMU kabisaaa?Hivi kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.
Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
😂😂Eti na yeye pia ni kioo cha jamii.hivi vioo vyengine ni shida tupu.
Hahah ndo umenikumbusha sasa.Mwanamke amezalishwa huko na wanaume watatu tofauti na wote kashindwana nao afu ustaadhi uchebe akajua ataweza kumtuliza?
Mambo ya kupigana ni ya kishamba lkn hivi huyu Shilole si alikuaga anambonda Nuhu Mziwanda mpk chalii anakimbilia kwny media kusema na Shilole akawa anajitapa akisema yeye hapendi upumbavu na kweli hua anampa chalii kichapo heavy.
I guess sasa amepata size yake.
Wewe unaoa lini?Duh! mbona hiko kipigo Kama anaua mwizi sisi wanaume tuna kwama wapi? Unampiga mtu mzima mwenzako Kama mtoto kweli?shilole anamlisha huyu jamaa haitoshi anampigania mume wake kweli kweli asidhalilike au kuonekana Marioo mbele ya Uma pamoja na yote hayo fadhila yake Ni kipigo sijui sisi wanaume tunataka Nini?
😂😂 Zuwena mtu safi sana ujue, aachane na mambo ya ndoa tu.Ukitaka uzinguane nae leta masihara kwenye pesa, ila kumchezea hata sio kesi na hii imeingia hadi kwa wafanyakazi wake unawafanya lolote they just look at you tu
Loooh tusaidie iingilie zaidi ya kuingilia kwa taasisi yke ya polisi?Serikali iingilie hili