Tufafanulie analelewa vipi!!??Mwanaume unalelewa halafu unakuwa mkorofi ?
Hayo mengine ni gharama za kulelewa hakuna cha bure mjini labda salamu tu [emoji108][emoji108]
Kila mmoja anamapokeo yake,huyo uchebe angekuwa mtu mwingine pia unaweza kuta hata angemuua kabisa huyo shilole na angekuwa mwingine angekubari kuletewa hata mume mwenzake ndani,watu wametofautianaSawa tufanye walipigana
Ww unaweza kupigana na mke wako?
Ila kumpiga Nuhu vile ilikuwa sawa!!?Haijalishi kafanya nn kitendo cha Kumpiga binadamu mwenzako kwa Aina Ile hapana
Just emagine shishi ni mdogo wako wa mwisho au mtoto wako je ungeandika hivyo?
Una mihemuko mkuu hata wew umelijulia tatizo kwenye social media hujui source ni nin waja kutapika tu hukuKiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo
Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu
Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia
Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi
Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao
Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Nuhu akijitokeza na kusema ni kweli hapo tutathibitishaHivi ni kweli Nuhu alikuwa anapigwa? Au ni propaganda?
Nimemsikia uchebe akisema kwamba huyo mwanamke hizo picha anazosambaza ni za siku nyingi na juzi sabasaba alikuwepo mzima na hata huyo shilole mpaka leo hii hana hayo majeraha,ila tatizo limetokea shilole hajalala nyumbani siku mbili,na hajulikani alikuwa analala wapi,hivyo kosa ni mumewe kuuliza alikuwa wapi ndio kaamua kuachana na kupost hizo picha za kitambonasubiri kuusikia na upande wa pili (uchebe) kabla ya kuhukumu kesi ni lazima uzipe pande zote mbili haki ya kusikilizwa kisha ndipo uje na maamuzi ya nani ni mkosa baina yao.
Akumbuke kua huyo anayempiga pia ni mama wa watoto wengine achilia mbali kuwa mkewe unahisi hao watoto wanaonaje kuona mama yao anapigwa!?Hata kama ni halali kumpiga mke akikosea ila sio kwa ukubwa ule wa kipigo. Tena kapiga sana usoni alidhamiria kumuumiza na hata wakiachana awe hana soko tena maana front Ofice kashaiharibu.
Sijawahi kuona mama akipigwa hivo au mama yake uchebe ndio alikua anafanyiwa hivo.? (Sorry to say your mom)
Nataman nipate mtu km huyu sababu km tusipogawana majengo ya serikali ni ataozea jela Mimi hata ndugu yangu hapigwi umemshindwa mrudishe .Ukileta ushubwada lazima upigwe , tena kipigo heavy.
Muulize Rihanna anakikumbuka kipigo alichopewa na Chris Brown
Hela anatafuta mwenyewe kwanini asiwe na jeuri jmn nikanye kwa maneno umeshindwa nipe talakaTunaambiwa kumkanya mwanamke ni bora Zaid kuliko kupeana talaka pia huenda shilole anazid ku panick akiona wanaume wazima walivyo shupalia kwenye mitandao na baadh ya wambea kusema uchebe kanyea saan yote Aya Yana mjaza shilole kichwa maji
Ushaskia ngumi imerushwa wakati kalala angemrudishia saa ngap!?Huwez kusema kampiga kwa Ninavyo mjua shilole watakua walikua wanapigana shilole sio mwanamke wa kupigwa Tena na mwanaume Ana muudumia itakua shilole alifanya kosa uchebe akataka kumkanya shilole akajifanya mwamba na kutaka kuleta unuhu mziwanda kwa uchebe Tena hii huenda nyumba shilole alikua anafanya kwa uchebe ila jamaa imefika Hatua akasema basi Tena inaonekana uchebe alikua anampiga shilole akiwa ni mtu mwenye hasira Kal na shilole alivyo umia inaonekana kabisa alikua anajaribu kupigana kwa sababu mwanamke anae pigwa kwa ukorof wa mwanaume tu Mara nying Hua anaficha uso na Hua hamuangalii mumewe uson
Waweza kuta wanagombana kisa hawajapeana unyumba, sasa mume anamfosi mkewe apewe na ni haki yake, then we na kihere here chako unakwenda kuamulia. Sasa mume anakwambia "Kwanini umekuja kuamulia wakati nadai haki yangu, Utanipa wewe?" hapo utajikuta unaondoka mdogo na kuhisi kama umetukanwa wakati yuko sahihi. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Kwel ni mambo ya kuyaacha tu unaweza ongea kitu baadae ukaoneka wewe chizi
Unamtema tu kwani wanawake si wamejaa.....Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Hii sentensi ni ushauri ulio tukuka.Huwa nasema hivi, mwanamke hana tofauti na mtoto mdogo.
Mtoto anaweza akashika wembe akaanza kujaribishia kujikata, lengo aone utareact vipi. Same wanawake wanahuo ujinga, anafanya vitu kwa kutega, akiona kila kitu unachekacheka tu tayari anakupanda kwenye utosi.
Mheshimu with limits, akikiuka muonye asiposikia act kama mwanaume.
Ukicheka na nyani utavuna mabua.
Mwaka Gani Huo MkuuHizo picha ni za siku nyingi akiwa msichana nao ni mzee
Kwa mfano kosa gani la kukufanya umpige mtu kiasi kile? Nadhani kumsepesha ni uamuzi bora kabisa. Unampiga mtu kiasi kile kesho na kesho kutwa unamwambia 'nakupenda'?Seriously ..... ...
Kuna makosa ya kupuuza tu ...hayakuathiri kitu .
Kuna makosa ya kuadhibu kwa mashine tu
Kuna makosa ya kuadhibu kwa mdomo na
Yapo yakuadhibu kwa makofi kwelikweli.
Yapo yanayotakiwa ya akina uchebe, ila kwakua Nakapenda kamoyo kangu, Napenda Maisha yangu, napenda kila kitu changu kwamba Bado natakiwa kufaidi mazuri ya mbele...Sikugusiiiii wala nn, Kuondoa Shali, Bebe nguo zako usepe kiroho safi, usingoje nikusepeshe na watu wakajua Umesepeshwa. Sheria namba moja.