X nakupenda, naapa sitokupiga tena![emoji6][emoji6][emoji6]Kwa mfano kosa gani la kukufanya umpige mtu kiasi kile? Nadhani kumsepesha ni uamuzi bora kabisa. Unampiga mtu kiasi kile kesho na kesho kutwa unamwambia 'nakupenda'?
ulitaka ampige za wapi?Kwanini asimburute mpaka kitandani akampigie hapo? Akitoka hapo usingizi umeisha na hasira zote zimeshayeyuka? Ila kwanini ampige ngumi zile tena usoni?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwani kitandani huwa ngumi zinapigwa wapi?ulitaka ampige za wapi?
AkuuuX nakupenda, naapa sitokupiga tena![emoji6][emoji6][emoji6]
Yaani kukupiga kikofi cha paja tu ndio umezira hadi leo?[emoji2817][emoji2817][emoji2817] wakati mwenzio kafumuliwa vyote hivyo na keshokutwa watakuwa pamoja, unanikatili ujue?![emoji44][emoji44]Akuuu
Kuiba?Mkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.
.. Usiibe __ iba
..Ishi nao kwa akili __ jitie kichaa kwa muda
[emoji849][emoji849][emoji849] kwa hiyo unataka nirudi ili unifumue kama shishi roho yako ndio iridhike?Yaani kukupiga kikofi cha paja tu ndio umezira hadi leo?[emoji2817][emoji2817][emoji2817] wakati mwenzio kafumuliwa vyote hivyo na keshokutwa watakuwa pamoja, unanikatili ujue?![emoji44][emoji44]
Ukiona mwanamke umeshindwa kuishi naye kwa akili jibu ni simple, Huna akili za kutosha kuishi na huyo mwanamke....sio level yako, muache atapata wenye akili zinazo-match na yeye na wewe tafuta unayeweza kummudu kwa akili hizo chache...simpleMkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.
.. Usiibe __ iba
..Ishi nao kwa akili __ jitie kichaa kwa muda
HayaKwanza mwanamke hapigwi usoni na si mwanamke tu bali mtu yoyote ni kosa kumpiga usoni. Haya ni mfanzo kwa mujibu wa imani yangu.
Suala la kumpiga mwanamke ni hatua ya mwisho kabisa katika kuadabisha na ikitokea anapigwa kibao ila mara nyingi ni kifuani, na lengo la kufanya hivyo ni kuonyesha ni kwa namna gani umekesarishwa. Ikitokea akarudisha hutakiwi kupigana nae, sababu wanaume tulio wengi tukiamua kupiga tunapiga tunaua.
Kuhusu yeye nikimuudhi, ni juu yake kuangalia ni njia gani atakayo tumia kuonyesha ya kuwa kweli ameudhuka, na hili ni juu yake yeye.
Hakuna Cha ushindi wowote..uboya tu.
Hizo nguvu alizotumia kumpiga mkewe angewekeza kichwani apate akili zaidi ya kutafuta pesa.
nasema wapigwe tu
We unahisi ukimpiga unaona umemfundisha kwamba anaeza asirudie tena??? probability ππ.akirudia tena je? we sio mwalimu mzurianakuwa amekufundisha somo siku nyingine uwe makini
ππππShoo umenishinda tabia.Uchebe atakula alikopeleka mboga...kashanyea kambi...atafute jimama lingne la kumlea...
Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Duh! mbona hiko kipigo Kama anaua mwizi sisi wanaume tuna kwama wapi? Unampiga mtu mzima mwenzako Kama mtoto kweli?shilole anamlisha huyu jamaa haitoshi anampigania mume wake kweli kweli asidhalilike au kuonekana Marioo mbele ya Uma pamoja na yote hayo fadhila yake Ni kipigo sijui sisi wanaume tunataka Nini?
Ukiona mwanaume anampiga mwanamke ujue amekasirishwa kiasi ambacho hatamani tena kumwona huyo mwanamke. Mapenzi yanaumiza sana haswa wanaume ndio wanaoumia kupita kiasi kutokana na usaliti.
Sipendi kupiga mwanamke ila sishangai mtu akipiga mwanamke najua maumivu anayopitia na pia ndoa nyingi zinavurugwa na wanawake kuliko wanaume.
Unapooana wanaume wenye ndoa wanakesha baa wanakimbia mengi sana majumbani mwao. Halafu wanawake wanajifanya kama watakatifu sana wakati wengi ni mashetani wanaoishi duniani na kuvuruga sana wanaume
Naelewa mkuu, lakini point yangu specific kwa case hii, dharau anazoletewa bwana uchebe hakutakiwa kufika huku kote, either ukubali kuzaraulika au ubebe vyako uondoke, umarioo sio kitu kizuri mzee.
Btw sio wanaume wote wameumbiwa kupiga wanawake no matter what.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shoo umenishinda tabia.