Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Kwa mfano kosa gani la kukufanya umpige mtu kiasi kile? Nadhani kumsepesha ni uamuzi bora kabisa. Unampiga mtu kiasi kile kesho na kesho kutwa unamwambia 'nakupenda'?
X nakupenda, naapa sitokupiga tena![emoji6][emoji6][emoji6]
 
Kwanini asimburute mpaka kitandani akampigie hapo? Akitoka hapo usingizi umeisha na hasira zote zimeshayeyuka? Ila kwanini ampige ngumi zile tena usoni?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
ulitaka ampige za wapi?
 
Yaani kukupiga kikofi cha paja tu ndio umezira hadi leo?[emoji2817][emoji2817][emoji2817] wakati mwenzio kafumuliwa vyote hivyo na keshokutwa watakuwa pamoja, unanikatili ujue?![emoji44][emoji44]
 
Mkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.
.. Usiibe __ iba
..Ishi nao kwa akili __ jitie kichaa kwa muda
Kuiba?
 
Yaani kukupiga kikofi cha paja tu ndio umezira hadi leo?[emoji2817][emoji2817][emoji2817] wakati mwenzio kafumuliwa vyote hivyo na keshokutwa watakuwa pamoja, unanikatili ujue?![emoji44][emoji44]
[emoji849][emoji849][emoji849] kwa hiyo unataka nirudi ili unifumue kama shishi roho yako ndio iridhike?
 
Mkuu si kila mwanamke ni wa kuishi nae kwa akili, kuna muda ukiyafuata sana maandiko ya kwenye vitabu vya dini unapoteza muelekeo wa maisha.
.. Usiibe __ iba
..Ishi nao kwa akili __ jitie kichaa kwa muda
Ukiona mwanamke umeshindwa kuishi naye kwa akili jibu ni simple, Huna akili za kutosha kuishi na huyo mwanamke....sio level yako, muache atapata wenye akili zinazo-match na yeye na wewe tafuta unayeweza kummudu kwa akili hizo chache...simple
 
Huyo hapo
tapatalk_1594288112045.jpeg
tapatalk_1594288114177.jpeg
tapatalk_1594288124592.jpeg
tapatalk_1594288128269.jpeg
tapatalk_1594288132456.jpeg
 
Kwanza mwanamke hapigwi usoni na si mwanamke tu bali mtu yoyote ni kosa kumpiga usoni. Haya ni mfanzo kwa mujibu wa imani yangu.

Suala la kumpiga mwanamke ni hatua ya mwisho kabisa katika kuadabisha na ikitokea anapigwa kibao ila mara nyingi ni kifuani, na lengo la kufanya hivyo ni kuonyesha ni kwa namna gani umekesarishwa. Ikitokea akarudisha hutakiwi kupigana nae, sababu wanaume tulio wengi tukiamua kupiga tunapiga tunaua.

Kuhusu yeye nikimuudhi, ni juu yake kuangalia ni njia gani atakayo tumia kuonyesha ya kuwa kweli ameudhuka, na hili ni juu yake yeye.
Haya
 
anakuwa amekufundisha somo siku nyingine uwe makini
We unahisi ukimpiga unaona umemfundisha kwamba anaeza asirudie tena??? probability 😂😂.akirudia tena je? we sio mwalimu mzuri

Unapaswa utambue bnadam ana hulka(asili) na bahati mbaya.means umemkanya kwa kinywa kagoma kubadilika si chini ya mara moja,bro move on hiyo ni asili ake km utashindwa kustahimili upungufu huo.

Na mwanamke anayekupenda kwa dhati na kukuheshimu ukimkanya kitu ni mwepesi kuacha otherwise kuwe kuna mazoea baina yenu yaliyovuka mipaka ambayo unaweza mrekebisha au mkumbusha kwa kutumia means tofauti.
Mfano kumpa mda aitambue thaman yako upya,ajue we ni sehem gani ya maisha yake.

Mwanaume anayejitambua hutumia akili zaidi kuliko nguvu
 
Una hakika na haya unayoyasema?
Duh! mbona hiko kipigo Kama anaua mwizi sisi wanaume tuna kwama wapi? Unampiga mtu mzima mwenzako Kama mtoto kweli?shilole anamlisha huyu jamaa haitoshi anampigania mume wake kweli kweli asidhalilike au kuonekana Marioo mbele ya Uma pamoja na yote hayo fadhila yake Ni kipigo sijui sisi wanaume tunataka Nini?
 
Umeongea hali halisi ilivyo
Ukiona mwanaume anampiga mwanamke ujue amekasirishwa kiasi ambacho hatamani tena kumwona huyo mwanamke. Mapenzi yanaumiza sana haswa wanaume ndio wanaoumia kupita kiasi kutokana na usaliti.

Sipendi kupiga mwanamke ila sishangai mtu akipiga mwanamke najua maumivu anayopitia na pia ndoa nyingi zinavurugwa na wanawake kuliko wanaume.

Unapooana wanaume wenye ndoa wanakesha baa wanakimbia mengi sana majumbani mwao. Halafu wanawake wanajifanya kama watakatifu sana wakati wengi ni mashetani wanaoishi duniani na kuvuruga sana wanaume
 
Ni rahisi sana watoto wadogo kusema naondoka nabeba vyangu,kivitendo siyo rahisi kihiiivyo,huyo alikuwa mke kisheria,ukiondoka anaweza kukufuata uliko na haki itambeba maana ndoa bado hai,mi ushauri wangu ni kama haupo kwenye ndoa,ama kama una miaka michache kwenye ndoa usijifanye fundi wa kuongea na kukosoa yanayojiri,lkn tujitahidi kuzuia kwanza vyanzo vinavyoweza pelekea matumizi ya nguvu,
Naelewa mkuu, lakini point yangu specific kwa case hii, dharau anazoletewa bwana uchebe hakutakiwa kufika huku kote, either ukubali kuzaraulika au ubebe vyako uondoke, umarioo sio kitu kizuri mzee.

Btw sio wanaume wote wameumbiwa kupiga wanawake no matter what.
 
Back
Top Bottom