Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole hawezi kufugika hata iweje, tangu maisha yale ya Keko kwa mwendo wa kigereji hadi kufikia usanii hakuna cha kumbadilisha kuwa mke bora
Kwa hiyo ni halali kupigwa?
 
Hao wakina Mo hatukuwaona kipindi Shishi anamtwanga Nuh Mziwanda na akawa anajitapa mitandaoni na clip zake zipo ingia kwa Millard Ayo uone. Huyo nuh Yuko tu kijitonyama ana stress za pombe kwasababu ya Huyo Shishi.


Sitetei mtu Kupigwa ila muwe mna balance mambo sio mwanaume anapigwa mnakula buyu ila Huyo Malaya akipigwa mnabinua midomo.
Kutokana na nature ya kiuumbaji, Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe dhaifu kuliko mwanaume (japo wote tuna udhaifu in general kama wanadamu)

Kutokana na udhaifu huo by nature hata uhalisia kwenye maisha kua mwanamke ni kiumbe dhaifu.. Mwanaume kupigwa na mwanamke linaweza lisiwe jambo la ajabu sana kama mwanaume kumpiga mwanamke, kama umesoma moja ya comment yangu huko juu kuna mtu nimemjibu kua mwanamke kupigwa hata makofi mawili matatu kwenye ndoa hilo suala lipo ila sio kwa stage hiyo aliyofikia Uchebe, mpaka anamvizia mwanamke amelala usingizini ndio unampiga ngumi sasa si uboya huo.

Halafu mambo mengine mwanaume unatakiwa kujiongeza, umeshaona mwanamke amekuzidi kipato au upendo umepungua si uite ndugu m solve, ikishindikana si basi muachane, wanaume wangapi wanawapa wake zao talaka? Hapa inaonekana kawaida kwa sababu Shilole ni mzima, angefariki mfano huyo Uchebe angekua wapi sasa hivi? Au yule aliyemchoma mke wake na mkaa kaishia wapi sasa hivi?

Haya mambo yapo na yanaumiza lakini mwanaume lazima uwe na uwezo wa kutazama mbali, siku zote hasira ni hasara, haya alivyompiga kafaidika nini? Kwani hayo matatizo ya Shilole yameisha?
 
Officialshilole Naandika haya, nikiwa na akili timamu na utulivu, La kwanza kabisa nataka KUOMBA RADHI JAMII YANGU. Naomba radhi kwa sababu niliwaaminisha ndoa yangu haina tatizo, huku ukweli ukiwa hauko hivyo, nimekuwa mtu wa kuambulia vipigo na MENGINE yasiyozungumzika, Naomba radhi kwa sababu niliposikia wanawake wenzangu wakipigwa niliwaambia PAZENI SAUTI, niliposikia mwanamke kule Kigamboni ameuwawa na kuchomwa moto niliomboleza na jamii na kusema Bora angesema".. huku mimi nikijikausha na kujitoa kwenye kundi lao wakati ukweli wangu MIMI NI MWENZAO, Naomba radhi.

Mimi ni kioo cha jamii, tena sura kubwa ya wanawake. Leo numeona nivunje ukimya kwa kuweka wazi kwamba MUME WANGU ASHRAFU SADIKI, maarufu kama UCHEBE AMEKUWA ANANIPIGA SAAANA, na tena hata baada ya kunipiga hajali kupiga simu wala kujua naendeleaje, nauguzwa na watu baki hospitali, na bado manyanyaso mengine yanayoikosesha hii ninayoiita Ndoa uhai na furaha

na zaidi nina WATOTO, watoto wanaoniangalia kama Baba na Mama, leo nikubali kufa na kuacha wanangu barabarani, SITAWEZA

'Uchebe' ni mwanaume niliyempenda, nilimvumilia kwa madhaifu yote, nikampa kila kitu, (Utu wangu, Mali Zangu na hata palipotakiwa kumuendeleza asimame mwenyewe nilifanya kwakuwa nilijua tuko pamoja), lakini HILO HALIKUWAHI KUZUIA VIPIGO, DHARAU NA USALITI.

Siku 2 zilizopita baada ya kutoka SABASABA KUTAFUTIA WATOTO WANGU NA KUMTAFUTIA YEYE NILIPIGWA SANA. SABABU ZA KUPIGWA NI MIGOGORO MIDOGO YA KAWAIDA AMBAYO IPO KWENYE KILA NDOA, sio kwamba amenifumania au mambo yanayoshindwa kuzungumzika, hapana, Tena Namuheshimu sana, lakini solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti.

Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO.. Nimefika mwisho, na kuanzia sasa naomba nisitambulike kama Mke wa Uchebe, ila Mama alieamua kuweka maslahi ya watoto wake mbele na kuamua kuwa mwenyewe kwa usalama na furaha yake

Wakati nahangaikia mambo yangu ya ndoa, post hii itumike kuwakumbusha wanawake TUVUNJE UKIMYA, TUPINGE UKATILI, TUTAKUJA KUULIWA SABABU

Pia soma > Shilole amchapa makofi mpenzi wake Uchebe mbele za watu

Safi sanaaa Uchebe 👏👏
 
Juzi hapa mapenzi yalikua moto!🤷‍♂️
 

Attachments

  • 99DA10A5-69C5-4E36-969C-D03C1BD23874.jpeg
    99DA10A5-69C5-4E36-969C-D03C1BD23874.jpeg
    77.2 KB · Views: 1
Tafadhali wasifu wa shilole ukoje, simjui, ni nani? Nauliza maana uzi umefunguliwa saa 9.35 mchana huu, posts ni zaid ya 320.
Uchebe ni nani?
 
Nimeona shilole ameandika Gazeti refu sana kuhusu uchebe lakini amini Shilole ndo anazingua na hii yote sababu ana Pesa so anaishi like Uchebe hawezi mwambia kitu. Ukiwa na hela zako bhasi usiolewe wewe tafuta viben ten vya kukupa raha siku moja moja bhasii ila sio Utake MUME.

Ukishaolewa hizo hela zako weka pembeni vaa uhusika wa Mke..Fanya majukumu ya Mke pia Kuwa Mtii kwa mume wako na Upunguze Kidomodomoo lasivyoo utakuwa unapigwaa mpaka ukome sababu mwanaume kuwa juu ya mke ni Nature ukitaka wewe ndo uwe juu bhasi Utaumiaa tuuu na mimi nasemaa mpigwee tuu mpaka mnyooke.View attachment 1500945View attachment 1500946
Wanaume wasiojiamini ndo wanahitaji mwanamke ajishushe Kwa ajili yake.

"If you can only be tall when I'm on my knees, are you really tall?"

Kama uanaume wako unahitaji mwanamke ajishushe au a surrender kila kitu baada ya kuwa mkeo, wewe Ni mwanamme?
Alijua anaoa mwanamke mwenye pesa na umaarufu, alitegemea nini?
 
Kitendo cha msanii wa kike wa muziki wa bongo fleva na filamu Zuwena Masudi maarufu kama Shilole kushushiwa kipigo cha mbwa koko ama paka shume ni mwendelezo wa matokea mabaya ya dharau na ukosefu wa adabu ambao mara nyingi umekuwa ukifanywa na wanawake wenye vipato vikubwa zaidi ya waume zao ama wapenzi wao.

Kwa kweli kuna wakati dharau na uvunjifu wa heshima vinapozidi inabidi usimame kama mwanaume na ikibidi kama mbwai na iwe mbwai kipigo kitakatifu itabidi kichukue mahala pake hususani unapokutana na gumegume singo maza lililokata kamba kama Shilole.

Hongera Kaka uchebe kwa dozi hiyo ya kiwango cha kati.

107309168_4010743115606743_3774254312306874394_n.jpeg
107488333_3008493562532919_2827662949051255854_o.jpeg
107901295_3008493505866258_7966180873614362917_n.jpeg
 
Siku ya leo kumesambaa picha za Msanii Shilole akidai kuwa ameshambuliwa na mumewe almaaruf kwa jina la Uchebe.

Cha kusikitisha ni kwamba picha hizo ziko nyingi na zingine anadai kushambuliwa siku za nyuma, pamoja na umaarufu wake, pamoja na Kuanika picha hizo mtandaoni Uchebe hawezi kuchukuliwa hatua yoyote kama muathirika hajaripoti...

Rejea matukio ya kushambuliwa wanasiasa ni mpaka muathirika akaripoti ndipo wahusika wachukuliwe hatua...akili ndogo haiwezi kuelewa hii
 
Mwanaume kuandika "umeona eeeeeh" huo ni upuuzi na ni dalili za awali za kuelekea kuwa shoga wa kiwango kikubwa mno.


Sisi wanaume tunakushauri ujirudi acha uzwazwa.
Duuh hv wewe ni yule mang'ana mkomunisti?😂😂
 
hahahah Naona huyo demu amepata size yake,yeye si alikuaga anakapa kichapo heavy ka nuhu mziwanda mpk kanakimbilia barabarani,Ustaadhi Uchedi style yake ya kushtua kwa ngumi usingizini sijui alifundishiwa dojo gani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom