Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Mo katweet wapi boss?? Mo hana huo ujinga mkuu
Kai retweet leo hii leo
IMG_20200708_220947.jpg
 
Kweli kumpiga mke hivi sio vyema. Nalaani kabisa...
.
.
Ila maelezo ya shishi.. nayoo nayatilia Shaka.
.
.
Na koti..


solution aliyoiona ni kunipiga kinyama bila huruma, tena kwa kunishtua na ngumi nikiwa usingizini, Kama mnavyoona picha hapo ni matukio ya siku tofauti tofauti.


Note.picha za siku tofauti .....tunataka picha ya Jana baada ya sabasaba........ova
 
Kama watu wote wakikosea wapigwe vile hospitali zisingetosha.
 
Hivi na kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.

Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?

Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana

Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Tunaambiwa kumkanya mwanamke ni bora Zaid kuliko kupeana talaka pia huenda shilole anazid ku panick akiona wanaume wazima walivyo shupalia kwenye mitandao na baadh ya wambea kusema uchebe kanyea saan yote Aya Yana mjaza shilole kichwa maji
 
Uchebe wa nchebele
Kisha nchebelua ntu uko
(In bambo voice)[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo

Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu

Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia

Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi

Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao

Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia

Haijalishi kafanya nn kitendo cha Kumpiga binadamu mwenzako kwa Aina Ile hapana

Just emagine shishi ni mdogo wako wa mwisho au mtoto wako je ungeandika hivyo?
 
Mambo ya mke na mume nawaachia wenyewe hata wakiwa majirani zangu huwa siamulii ugomvi wao, hata kama watadundana hadi waumizane!
Kwel ni mambo ya kuyaacha tu unaweza ongea kitu baadae ukaoneka wewe chizi
 
Haijalishi kafanya nn kitendo cha Kumpiga binadamu mwenzako kwa Aina Ile hapana

Just emagine shishi ni mdogo wako wa mwisho au mtoto wako je ungeandika hivyo?
Huwez kusema kampiga kwa Ninavyo mjua shilole watakua walikua wanapigana shilole sio mwanamke wa kupigwa Tena na mwanaume Ana muudumia itakua shilole alifanya kosa uchebe akataka kumkanya shilole akajifanya mwamba na kutaka kuleta unuhu mziwanda kwa uchebe Tena hii huenda nyumba shilole alikua anafanya kwa uchebe ila jamaa imefika Hatua akasema basi Tena inaonekana uchebe alikua anampiga shilole akiwa ni mtu mwenye hasira Kal na shilole alivyo umia inaonekana kabisa alikua anajaribu kupigana kwa sababu mwanamke anae pigwa kwa ukorof wa mwanaume tu Mara nying Hua anaficha uso na Hua hamuangalii mumewe uson
 
Kumpiga mwanamke ni noma sana.

Kwanza kabisa, ni kuonesha kukosa control juu ya hisia zako mwanamme.

Pili, umeshindwa kumdhibiti huyo mwanamke asifanye mambo ya kukukasirisha. Inaonekana mwanamme huna ushawishi ndani ya nyumba. Unatumia nguvu badala ya ushawishi.

Tatu, hata ukijisema wewe mwamba barubaru. Mwamba barubaru anatakiwa ajijue yeye kama mwanamme kupigana atafute mwamba barubaru mwenzake mwanamme. Siyo ampige mwanamke. Hata kwenye riadha na michezo mingine wanawake wana ligi zao tofauti na wanaume.

Nne, unampiga mwanamke, ukimuharibu sura au mwili halafu mkapatana hasara mmekula wote.

Tano, kumpiga mwanamke maana yake wewe mwanamme umekosea kuchagua mwanamke wa kukaa naye. Ungechagua vizuri mngekosana ndiyo,lakini si kufikia kumpiga. Hivyo umejionesha hujui kuchagua mwanamke bora wa kuishi naye.

Kwa leo niishie hapa.

Hizi sababu tano zitishe kunfanya baharia yeyote ajitathmini kabla ya kumpiga mwanamke.

Kuna tano nyingine za ziada, lakini kwa leo niishie hapa.
Mkuu nakuunga mkono ila kipipgo ch kimahaba mara moja kw .waka siyo mbaya huwa kinaonesha kuwa kuna kidume ndani siyo hicho cha uchebe kinaoneka ni cha mario mwenye wivu

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Huwez kusema kampiga kwa Ninavyo mjua shilole watakua walikua wanapigana shilole sio mwanamke wa kupigwa Tena na mwanaume Ana muudumia itakua shilole alifanya kosa uchebe akataka kumkanya shilole akajifanya mwamba na kutaka kuleta unuhu mziwanda kwa uchebe Tena hii huenda nyumba shilole alikua anafanya kwa uchebe ila jamaa imefika Hatua akasema basi Tena inaonekana uchebe alikua anampiga shilole akiwa ni mtu mwenye hasira Kal na shilole alivyo umia inaonekana kabisa alikua anajaribu kupigana kwa sababu mwanamke anae pigwa kwa ukorof wa mwanaume tu Mara nying Hua anaficha uso na Hua hamuangalii mumewe uson

Sawa tufanye walipigana
Ww unaweza kupigana na mke wako?
 
Hakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?

Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana

Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Lakin huenda shish amemkosea mume wake pakubwa mno siyo bure kipigo hicho aisee
 
Nimemskia Gardner G Habash kwenye Jahazi anakomaa kumponda Uchebe na akiomba Kamanda Siro amshike Uchebe bila ata kujua chanzo ni nini,,pia mwenye makosa ni yupi,!!Hii ni hatari,,je kama Shilole alimtukana Chalii ana kibamia??acheni izo ariff
 
Kiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo

Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu

Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia

Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi

Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao

Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Wanawake hasa Hawa macebrity wa TZ ukiwaoa au wakikuoa(Kama case ya Uchebe) lazima wewe mume uwe sawa akichelewa,akilala nje etc....wanakuwaga na madanga Yao yanayowaweka mjini na hizo biashara zao wanazozimiliki mtaji kapewa na madanga. Sasa Uchebe na Eli mu yake ya Madrassa🤣🤣🤣 anajua ndoa ni ya KiISLAM 😭😭😭😭😭😭 we utaua mtu!! Anarudi kalowa kote kote na analeta ubabe wa ule wa kumpa vitasa Nuu Mziwanda🤣🤣🤣.Mimi nipo kazini na ni Muislam na tumeoana kiisalm Shilole nakupa vitasa tuuuu💂ALISIKIKA UCHEBE KABLA AJAANZA KUMWADABISHA SHILOLE
 
Kupiga siyo suluhisho bora uachane naye tu
Mwanamke mwenye kilomita zimeenda, ashapigana vita kibao ww unangaika naye ya nini

Ova
Yeaah Bora na mara mia unaacha unakamatia Mzinga mwengine.

Shida hawa vijana wanapenda kulelewa, sasa hapo alipo alijua keshamkata, hata akimpiga vipi lazima arudi.


Lkn utashangaa kamrudia hahaha.. Unajua kwann wakurya wanawapiga wanawake wao sana lkn wanawake hawaondoki?? Yaan hata km wee ni Mchaga, ukiolewa na mkurya utapigwa sana lkn hutokaa uondoke, unaweza beba mabegi mpaka stendi lkn ukaishia kurudi.



Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom