The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,221
- 4,564
Kai retweet leo hii leoMo katweet wapi boss?? Mo hana huo ujinga mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kai retweet leo hii leoMo katweet wapi boss?? Mo hana huo ujinga mkuu
Mzee kila wakati ni tizi tu [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Nuh Mziwanda anasemaje!
Si ulizoea kumkwida.? [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Kweli hii ni mbwa kala mbwa.Mbwa kala mbwa
Wamebreki internet!Yaani acha tu[emoji134][emoji134]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hivi na kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.
Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Tunaambiwa kumkanya mwanamke ni bora Zaid kuliko kupeana talaka pia huenda shilole anazid ku panick akiona wanaume wazima walivyo shupalia kwenye mitandao na baadh ya wambea kusema uchebe kanyea saan yote Aya Yana mjaza shilole kichwa majiHakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?
Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana
Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Kiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo
Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu
Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia
Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi
Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao
Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Kwel ni mambo ya kuyaacha tu unaweza ongea kitu baadae ukaoneka wewe chiziMambo ya mke na mume nawaachia wenyewe hata wakiwa majirani zangu huwa siamulii ugomvi wao, hata kama watadundana hadi waumizane!
Huwez kusema kampiga kwa Ninavyo mjua shilole watakua walikua wanapigana shilole sio mwanamke wa kupigwa Tena na mwanaume Ana muudumia itakua shilole alifanya kosa uchebe akataka kumkanya shilole akajifanya mwamba na kutaka kuleta unuhu mziwanda kwa uchebe Tena hii huenda nyumba shilole alikua anafanya kwa uchebe ila jamaa imefika Hatua akasema basi Tena inaonekana uchebe alikua anampiga shilole akiwa ni mtu mwenye hasira Kal na shilole alivyo umia inaonekana kabisa alikua anajaribu kupigana kwa sababu mwanamke anae pigwa kwa ukorof wa mwanaume tu Mara nying Hua anaficha uso na Hua hamuangalii mumewe usonHaijalishi kafanya nn kitendo cha Kumpiga binadamu mwenzako kwa Aina Ile hapana
Just emagine shishi ni mdogo wako wa mwisho au mtoto wako je ungeandika hivyo?
Mkuu nakuunga mkono ila kipipgo ch kimahaba mara moja kw .waka siyo mbaya huwa kinaonesha kuwa kuna kidume ndani siyo hicho cha uchebe kinaoneka ni cha mario mwenye wivuKumpiga mwanamke ni noma sana.
Kwanza kabisa, ni kuonesha kukosa control juu ya hisia zako mwanamme.
Pili, umeshindwa kumdhibiti huyo mwanamke asifanye mambo ya kukukasirisha. Inaonekana mwanamme huna ushawishi ndani ya nyumba. Unatumia nguvu badala ya ushawishi.
Tatu, hata ukijisema wewe mwamba barubaru. Mwamba barubaru anatakiwa ajijue yeye kama mwanamme kupigana atafute mwamba barubaru mwenzake mwanamme. Siyo ampige mwanamke. Hata kwenye riadha na michezo mingine wanawake wana ligi zao tofauti na wanaume.
Nne, unampiga mwanamke, ukimuharibu sura au mwili halafu mkapatana hasara mmekula wote.
Tano, kumpiga mwanamke maana yake wewe mwanamme umekosea kuchagua mwanamke wa kukaa naye. Ungechagua vizuri mngekosana ndiyo,lakini si kufikia kumpiga. Hivyo umejionesha hujui kuchagua mwanamke bora wa kuishi naye.
Kwa leo niishie hapa.
Hizi sababu tano zitishe kunfanya baharia yeyote ajitathmini kabla ya kumpiga mwanamke.
Kuna tano nyingine za ziada, lakini kwa leo niishie hapa.
Huwez kusema kampiga kwa Ninavyo mjua shilole watakua walikua wanapigana shilole sio mwanamke wa kupigwa Tena na mwanaume Ana muudumia itakua shilole alifanya kosa uchebe akataka kumkanya shilole akajifanya mwamba na kutaka kuleta unuhu mziwanda kwa uchebe Tena hii huenda nyumba shilole alikua anafanya kwa uchebe ila jamaa imefika Hatua akasema basi Tena inaonekana uchebe alikua anampiga shilole akiwa ni mtu mwenye hasira Kal na shilole alivyo umia inaonekana kabisa alikua anajaribu kupigana kwa sababu mwanamke anae pigwa kwa ukorof wa mwanaume tu Mara nying Hua anaficha uso na Hua hamuangalii mumewe uson
Lakin huenda shish amemkosea mume wake pakubwa mno siyo bure kipigo hicho aiseeHakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?
Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana
Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Kaka huna familia weweNini kimesababisha kupigwa? Na amepigwa lini? Baada ya kuonana na waziri mkuu?
Wanawake hasa Hawa macebrity wa TZ ukiwaoa au wakikuoa(Kama case ya Uchebe) lazima wewe mume uwe sawa akichelewa,akilala nje etc....wanakuwaga na madanga Yao yanayowaweka mjini na hizo biashara zao wanazozimiliki mtaji kapewa na madanga. Sasa Uchebe na Eli mu yake ya Madrassa🤣🤣🤣 anajua ndoa ni ya KiISLAM 😭😭😭😭😭😭 we utaua mtu!! Anarudi kalowa kote kote na analeta ubabe wa ule wa kumpa vitasa Nuu Mziwanda🤣🤣🤣.Mimi nipo kazini na ni Muislam na tumeoana kiisalm Shilole nakupa vitasa tuuuu💂ALISIKIKA UCHEBE KABLA AJAANZA KUMWADABISHA SHILOLEKiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo
Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu
Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia
Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi
Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao
Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Yeaah Bora na mara mia unaacha unakamatia Mzinga mwengine.Kupiga siyo suluhisho bora uachane naye tu
Mwanamke mwenye kilomita zimeenda, ashapigana vita kibao ww unangaika naye ya nini
Ova