Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo mkuu, nimeenda kwa Twitter yake sijaona hiyo retweet leo...Kai retweet leo hii leoView attachment 1501304
Gadna anasahau matus alio mtukana lady jaydee ni Zaid ya hayo makovu ya shilole Tena yeye ndie alie fanya unyanyasaj kupita maelezoNimemskia Gardner G Habash kwenye Jahazi anakomaa kumponda Uchebe na akiomba Kamanda Siro amshike Uchebe bila ata kujua chanzo ni nini,,pia mwenye makosa ni yupi,!!Hii ni hatari,,je kama Shilole alimtukana Chalii ana kibamia??acheni izo ariff
Mkuu nakutania tuMwanzo hazikuwepo. Halafu situmii techno mkuu
Sio staa, ni mwanamke yeyote tu wa mjini bila hela utalia.Kuoa staa mzigo Hasa Kama huna hela
Hahaa kwamba alipaswa kumpiga zaidi ya hapo ??dozi ya kitoto iyo matumizi mabaya ya ngumi
HahaaMimi sio mtoto mzuri mkuu, mimi ni kikongwe nina makunyanzi mpaka kwenye kisigino
Mbona NuH mziwanda alikua anapigwa na shilole?Unapambanaje na mtu ambaye una uhakika hawezi kukurudishia ngumi hata moja? Huo ni udhaifu mdogo wangu. Mwanamke akikuudhi mrudishe kwao akajirekebishe au mrudishe moja kwa moja.
Wabongo mbona tunakua wabishi sana, kwa hiyo unataka kusema hio picha ni edited, wakati nime i screenshot sasa hivi hata dakika 10 hazijapitaUongo mkuu, nimeenda kwa Twitter yake sijaona hiyo retweet leo...
Itakua wakati amelala Uchebe alichukua Iphone X ya shsish baby akatia face ID sijui face lock akakuta mi message ya kufa mtuu akaanza kumshushia kipondoTena amekutwa amelala akaamshwa kwa ngumi ya kwenye jicho 🤣
Hivi kwanini uchebe anahukumiwa na jamii bila kusikilizwa ! nadhani kanuni za haki ya asili (natural justice )zinapaswa zituongoze na sio mihemuko na ushabiki.
Tusikilize pande zote then tufanye maamuzi, shilole huyuhuyu anayesema anapigwa sahizi ndiye huyuhuyu aliyekuwa anampiga Nuh Mziwanda...
Tusikilizeni utetezi wa pande zote
Sheria namba moja.Mwanaume yeyote anayenyanyua mkono kupiga mwanamke ni umbwa tu
Uongo mkuu, nimeenda kwa Twitter yake sijaona hiyo retweet leo...
Na hii hapa ni comment yake instagram kwa ShiloleWabongo mbona tunakua wabishi sana, kwa hiyo unataka kusema hio picha ni edited, wakati nime i screenshot sasa hivi hata dakika 10 hazijapita View attachment 1501334
Kwa akili so ndio hivyo Sasa🤣😂😉😂🤣Huwa nachukia sana nikiona mwanaume mwenzangu anapiga mwanamke. Hivi tunashindwa kuishi nao kwa akili?
Wabongo mbona tunakua wabishi sana, kwa hiyo unataka kusema hio picha ni edited, wakati nime i screenshot sasa hivi hata dakika 10 hazijapita View attachment 1501334