Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

nimekuelewa sana.hata mimi niliishi na mke kwa miaka kumi na sikuwahi kumpiga ingawa alikuwa na mdomo sana na wivu wa kupindukia kiasi kwamba ukirudi nyumbani unanuswa hadi boksa.ilifkia nikawa nachelewa kurudi homu afu niko tusuu ili nikifika nilale tuu.siku hiyo nimefika akanianzia mdomo nikamchimba biti kali naona ananibebea kisu afu akanirushia nilikuwa kifua wazi kananipapasa begani.niliamka kwa asira hiyo kichapo nilitembeza ni mbwa koko na km sio watoto kuamka na kuanza kulia ndo nikahurumia watoto nikamuachia kachakaa uso wote.nikampa first aid vizuri akalala mbona adabu ikawepo.nikasema sijui sk zote nilikuwa wapi kuweka hishma ya kupiga vitasa.leo nimeona hili jambo hapa nikakumbuka huyu shilole wife wana undugu kutokea huko igunga unajua hawa wana ngebe sana sbb wana uchotara flani toleo la mwisho
Una hakika sentesi yako ya mwisho kuwa ni chotara na sio mkorogo?
 
Nimemskia Gardner G Habash kwenye Jahazi anakomaa kumponda Uchebe na akiomba Kamanda Siro amshike Uchebe bila ata kujua chanzo ni nini,,pia mwenye makosa ni yupi,!!Hii ni hatari,,je kama Shilole alimtukana Chalii ana kibamia??acheni izo ariff
Hiyo captain naye ni wa kupigwa tu kama shilole
 
Ushaskia ngumi imerushwa wakati kalala angemrudishia saa ngap!?
Plus sio kitendo Cha Mara moja nataman yamkute nduguyo yeyote tuone km utashabikia Kam unavyoshabikia hapa.
Uo pia nahis ni baadh ya uongo wa shilole alijaribu akakutana mwanaume ni mwamba na hayo ndio matokeo
 
Akumbuke kua huyo anayempiga pia ni mama wa watoto wengine achilia mbali kuwa mkewe unahisi hao watoto wanaonaje kuona mama yao anapigwa!?
Vimekushinda ondoka
Nan vimemshinda aondoke uchebe au shilole pia nahis ulitaka uchebe Pamoja na dharau zote alizo onyeshwa aondoke kinyongo kama nuhu au?
 
Uchebe ni muoga sana!

Hana tofauti na Nunu Mziwanda alokuwa akipigwa makofi na Shilole !

Kwanini asingekuwa anampiga akiwa macho mubashara?

Kwanini asubiri Shilole amelala ndiyo amvizie kumpiga?

Inamaana anamuigopa [emoji14][emoji14][emoji14]
Akipigwa ngumi moja anaamka. Kwa hiyo alipigwa akiwa macho
 
Jinga sana. Na kwa nature ya wadada wa humu walivyo akiwafuta PM basi atawasifia na mwisho atawavua chupi.

Anatafuta sympathy kwa wadada wa humu maana anajua ni dhaifu, wakisifiwa kidogo ama ukisimama kwa upande wao basi chupi unawavua.
Jamaa limeishia kuunga juhudi za wakina dada
 
Tuondolee ubwege hapa, kama watu wote wakikosea wapigwe vile hospitali zisingetosha.
Nishawahi kupiga manzi wangu mpaka alizimia mana naye alikuwa anapambana nami kwa visu na mapanga.
 
Inferior complex ni kitu kibaya sana!

Wanaume wasio na kazi wengi wanasumbuliwa na hiyo kitu !
Uchebe Hana kazi ?

Jamii forum kila mtu ni mjuaji haki ya Mungu ?


Uchebe ana kazi inayoweza kuwa inamuingizia hela nzuri kuliko watu wengi wanaosubiri mishahara mwisho wa mwezi.


Jamaa ana gereji Yake magomeni nenda kamtembelee siku moja halafu uwe unapiga mahesabu pale uje kuleta mrejesho hapa.
 
Kwa mfano kosa gani la kukufanya umpige mtu kiasi kile? Nadhani kumsepesha ni uamuzi bora kabisa. Unampiga mtu kiasi kile kesho na kesho kutwa unamwambia 'nakupenda'?
Kwa mfano Usaliti, Hapa nikipigo ila kwakua binafsi sheria yangu haithubutu kusamehe msaliti, Tinaachana ,hapa hata kama unamimba unaondoka... tumezaa watoto wangapi UNAONDOKA.


Kipigo ni suala moja, kupenda nilingine.


Alafu muda wakukaa mnagombana niwann??? Yaan badala ya kuwaza maendeleo yenu, mnawaza maujinga na magonvi na mabembelezano yasokua namaana khaaaaaaa....BADILIKENI.
 
Kwa mfano Usaliti, Hapa nikipigo ila kwakua binafsi sheria yangu haithubutu kusamehe msaliti, Tinaachana ,hapa hata kama unamimba unaondoka... tumezaa watoto wangapi UNAONDOKA.


Kipigo ni suala moja, kupenda nilingine.


Alafu muda wakukaa mnagombana niwann??? Yaan badala ya kuwaza maendeleo yenu, mnawaza maujinga na magonvi na mabembelezano yasokua namaana khaaaaaaa....BADILIKENI.
Haya tutabadilika
 
Sipo huko Instagram, ila hiyo retweet yake labda kaifuta...

Nilishaapa sitakaa nimpige mwanamke wangu, na hii ilitokea baada ya kuwa na misunderstanding na mdogo wangu wa kike, nikampiga vibao vya kutosha tu.. ila baada ya hasira kuisha nilimwomba dogo msamaha eventhough yeye ndiye alikuwa na makosa. Dogo alinijibu tu "don't ever fight or beat any other woman in your life".. Since then niliapa sitakuja kumpiga either mpenzi au mke wangu, na naomba Mungu tu ndio aniongoze..
Usijiapize haya mambo. Wanawake wana maudhi sana. Ukikua utajua
 
Sure, ukimpa Heshima mwanaume, aiseeee hautakaa kuona neno baya juu yako.


Sema sasa nyinyi, mmekua wanaharakati, kuchepuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Bora uzalishee kama Ney wa mitego lea wanao fresh.
Ni kweli. Hiyo sentensi yako ya mwisho tumeisikia huhitaji kuongeza volume
 
Hii ndo dawa yao
Screenshot_20200709-075110.jpg
 
Ni kweli. Hiyo sentensi yako ya mwisho tumeisikia huhitaji kuongeza volume
Hahahah asubuhi njema...

nilazima ujifunze kuendana na nyakati.

Sasa ikiwa Ndo hali yenyewe iviii kuna haja gan ya kufikishana mbali???

*Unaweza kua na Hamu ya Chai ya Maziwa, kipi bora..? Ufuge ng'ombe wa maziwa uingie gharama kumtunza sana nabado anakunyea????
Tumia pesa yako kununua maziwa na kunywa chai kadiri utakavyoweza???*.... Prof mmoja ivi alisema hayo

Shida ya wanadamu, hasa nyie wanawake huwa mkitenda mnajiona mnafaa, ila mkitendewa hahahhaha Dunia itajua.

Anapofanya Hatua 99 kukufuata.. basi wee piga 1 kumfikia, ..sasa nyie mnataka mtu apige zote 100.
 
Hahahah asubuhi njema...

nilazima ujifunze kuendana na nyakati.

Sasa ikiwa Ndo hali yenyewe iviii kuna haja gan ya kufikishana mbali???

*Unaweza kua na Hamu ya Chai ya Maziwa, kipi bora..? Ufuge ng'ombe wa maziwa uingie gharama kumtunza sana nabado anakunyea????
Tumia pesa yako kununua maziwa na kunywa chai kadiri utakavyoweza???*.... Prof mmoja ivi alisema hayo

Shida ya wanadamu, hasa nyie wanawake huwa mkitenda mnajiona mnafaa, ila mkitendewa hahahhaha Dunia itajua.

Anapofanya Hatua 99 kukufuata.. basi wee piga 1 kumfikia, ..sasa nyie mnataka mtu apige zote 100.
Ni kweli
 
Back
Top Bottom