Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Sisis wa kanda maalumu tunazoom comeents tu, hapo shilole kapigwa au kapapaswa tu, njooni huku kwetu tarime mshuhudie vipigo na ndoa inaendelea kama kawa

Sio sifa ni ujinga na ushamba
 
Kila mmoja anamapokeo yake,huyo uchebe angekuwa mtu mwingine pia unaweza kuta hata angemuua kabisa huyo shilole na angekuwa mwingine angekubari kuletewa hata mume mwenzake ndani,watu wametofautiana

Ww unaweza kupigana na mke wako?
 
Ndio mana sie wengine tuliamua kuwa ni kujipigia demu kisha hamna kujuana tena mana hawa mademu ukiishi nao unaweza kujikuta umeharibu malengo yako yote ya maisha ukaishia gelezani tu
 
Naona wengi mnatetea hicho kipigo anyway kipindi cha ujana na upumbavu wangu nishawahi kuwa na mwanamke pasua kichwa,yanii nashukuru mpaka tunaachana sijawahi mrushia hata kofii ilaa kwa wapigaji yule unaweza UA kabisa!!!!
yuko wapi now huyo mwanamke?
 
Ukiona mwanaume anajihami Sana ohh mke wangu ana kipato kikubwa..Mara mke wangu msomi..huyo hajiamini....! Wanaume wengi Sana hawajiamini!
Mwanaume ukijiamini automatic na Mke atakuheshimu tu iwe isiwe ..! Yaan piga ua..
Sasa wewe hata hela huna [emoji57] mawazo endelevu huna ..unashinda insta na fb dume Zima kuchek makalio...unalalamika daily..unalia Lia weee unajiweka nyuma tu lazima kikuume...
Wanawake popote mlipo fanyeni kazi kwa akili na heshimuni wanaume zenu...hawa watu wanatakaga tu heshima hata km hastahili...kitu kidg tu..mheshimu Ila wewe hakikisha akaunti inanenepa!
Wanaume mnaojiamini popote pale cheers[emoji1732][emoji2484]!
Pole Sana Shilole..
Yaani umekubali awe mmeo afu hastahiri Heshima?
 
Ukiwakuta sasa wanavyofarijiana..eti oh mwanamke ni mtu wa thamani hivyo hawez kupigwa.shenzi kweli ,angekua wa thamani ndo angekua anafanya utopolo?...bado nasema tena, muda mwingine mwanamke hawezi kwenda bila kipigo.
 
Nimemskia Gardner G Habash kwenye Jahazi anakomaa kumponda Uchebe na akiomba Kamanda Siro amshike Uchebe bila ata kujua chanzo ni nini,,pia mwenye makosa ni yupi,!!Hii ni hatari,,je kama Shilole alimtukana Chalii ana kibamia??acheni izo ariff
Kwaiyo wewe ukiambiwa una kibamia.. unasambaza kipigo jumla jumla.
 
Mkuu vibao vya mashavu na mbata za mgongo atapata.. Lakini kumpiga ngumi hapana mkuu naomba Mungu tu anisaidie..
Ukikutana na Shilole aka Jike Shupa ndio utaelewa ,maana ukimpiga kibao unakula ngumi za uso na ukirudisha ngumi unapostiwa mtandaoni
 
Uchebe ni muoga sana!

Hana tofauti na Nunu Mziwanda alokuwa akipigwa makofi na Shilole !

Kwanini asingekuwa anampiga akiwa macho mubashara?

Kwanini asubiri Shilole amelala ndiyo amvizie kumpiga?

Inamaana anamuigopa [emoji14][emoji14][emoji14]
Wewe ulikuwepo shilole kawafanyia sana wanaume zake na hatulii acha akipate
 
Kumpiga mwanamke ni noma sana.
Sentensi hii inahitaji ufafanuzi. Mwanamke anapigwa ila siyo kipigo cha kumuumiza na kumtoa ngeu, mwanamke anapigwa kwa lengo la kumuadabisha na kuna sehemu za kumpiga, ila kusema tu hapigwu, hii si sawa.
Kwanza kabisa, ni kuonesha kukosa control juu ya hisia zako mwanamme.
Huyu kama alimpiga kweli basi alichupa mpaka. Naona
Pili, umeshindwa kumdhibiti huyo mwanamke asifanye mambo ya kukukasirisha. Inaonekana mwanamme huna ushawishi ndani ya nyumba. Unatumia nguvu badala ya ushawishi.
Naona umeamua kumchukulia mwanamke kama "Robot" na unasahau ya kuwa huyo ni mwanamke na ni binadamu pia, yaani ana akili na ana utashi.

Binadamu sote hatujakamilika kuna makosa ya kudhamiria na makosa bahati mbaya na makosa ya bila kujua. Kumzuia mwanamke asikukasirishe hilo halipo na hakuna aliyewahi kuweza kama ilivyo kwetu sisi kujizuia kumkasirisha mwanamke ni ngumu.

Swali litakuwa gumu kwako endapi tukikuuliza unawezaje kumdhibiti mwanamke asifanye mambo ya kukukasirisha ?Hili ni swali gumu kwako, na ukijaribu kujibu linazaa vipengele na mwisho wa siku tunaishia katika nukta ya msingi ya "Kuvumiliana na kuzuia hasira zetu".

Kwa maana nyingine nukta hii imekaa kiandharia sana kinyume na uhalisia.
Tatu, hata ukijisema wewe mwamba barubaru. Mwamba barubaru anatakiwa ajijue yeye kama mwanamme kupigana atafute mwamba barubaru mwenzake mwanamme. Siyo ampige mwanamke. Hata kwenye riadha na michezo mingine wanawake wana ligi zao tofauti na wanaume.
Hapa tuko pamoja na sahihi kabisa, na hii inaingia katika nukta ya kwanza uliyi itaja.
Nne, unampiga mwanamke, ukimuharibu sura au mwili halafu mkapatana hasara mmekula wote.
Hii nayo inaingia katika nukta yako ya kwanza kwa maana ni matokeo ya kushindwa kuzuia hasira zako kupiga kwa kuzidi kiwango.
Tano, kumpiga mwanamke maana yake wewe mwanamme umekosea kuchagua mwanamke wa kukaa naye. Ungechagua vizuri mngekosana ndiyo,lakini si kufikia kumpiga. Hivyo umejionesha hujui kuchagua mwanamke bora wa kuishi naye.
Huu ni uongo wa wazi kabisa, sababu hakuna anae jua kesho na sisi binadamu tunabadilika badilika sana, lei unaweza kulala ukiwa mwema kesho ukaamka ukiwa muovu na unaweza kulaa ukiwa muovu kesho ukaamka ukiwa mwema. Ukweli wa hili hauhitaji tocho au Siraji au Kandiri/kandili kuuona. Sababu kubadilika kwa mwanadamu kuna changiwa na sababu nyingi mno, za nje na sababu za ndani.

Kitu cha msingi ni tunatakiwa kuishi nao kwa wema viumbe hawa,kuwasimamia,kuwatunza na kuwafanyia uadilifu.

Mwisho namalizia kwa kuandika ya kuwa wanawake wana maudhi sana na sisi huwa tunawaudhi mno.
 
Sentensi hii inahitaji ufafanuzi. Mwanamke anapigwa ila siyo kipigo cha kumuumiza na kumtoa ngeu, mwanamke anapigwa kwa lengo la kumuadabisha na kuna sehemu za kumpiga, ila kusema tu hapigwu, hii si sawa.

Huyu kama alimpiga kweli basi alichupa mpaka. Naona

Naona umeamua kumchukulia mwanamke kama "Robot" na unasahau ya kuwa huyo ni mwanamke na ni binadamu pia, yaani ana akili na ana utashi.

Binadamu sote hatujakamilika kuna makosa ya kudhamiria na makosa bahati mbaya na makosa ya bila kujua. Kumzuia mwanamke asikukasirishe hilo halipo na hakuna aliyewahi kuweza kama ilivyo kwetu sisi kujizuia kumkasirisha mwanamke ni ngumu.

Swali litakuwa gumu kwako endapi tukikuuliza unawezaje kumdhibiti mwanamke asifanye mambo ya kukukasirisha ?Hili ni swali gumu kwako, na ukijaribu kujibu linazaa vipengele na mwisho wa siku tunaishia katika nukta ya msingi ya "Kuvumiliana na kuzuia hasira zetu".

Kwa maana nyingine nukta hii imekaa kiandharia sana kinyume na uhalisia.

Hapa tuko pamoja na sahihi kabisa, na hii inaingia katika nukta ya kwanza uliyi itaja.

Hii nayo inaingia katika nukta yako ya kwanza kwa maana ni matokeo ya kushindwa kuzuia hasira zako kupiga kwa kuzidi kiwango.

Huu ni uongo wa wazi kabisa, sababu hakuna anae jua kesho na sisi binadamu tunabadilika badilika sana, lei unaweza kulala ukiwa mwema kesho ukaamka ukiwa muovu na unaweza kulaa ukiwa muovu kesho ukaamka ukiwa mwema. Ukweli wa hili hauhitaji tocho au Siraji au Kandiri/kandili kuuona. Sababu kubadilika kwa mwanadamu kuna changiwa na sababu nyingi mno, za nje na sababu za ndani.

Kitu cha msingi ni tunatakiwa kuishi nao kwa wema viumbe hawa,kuwasimamia,kuwatunza na kuwafanyia uadilifu.

Mwisho namalizia kwa kuandika ya kuwa wanawake wana maudhi sana na sisi huwa tunawaudhi mno.
Bottom line ni results. Nimeandika kwa uzoefu.Sijawahi kumpiga mwanamke.

Kwa hivyo, nikisema kitu kama mwanamme kumpiga mwanamke ni matokeo ya mwanamme huyo kushindwa kuchagua mwanamke wa kuwa naye, naongea kitu ambacho kinatokana na uzoefu wangu.

Kwa sababu nimekutana na wanawake wengi, nikasema huyu mapepe, huyu machepele, huyu macho juu, huyu machi noo, huyu anafaa.

Nao niliosema wanafaa sijawahi kuwapiga.

Sasa hapo nikikwambia mwanamme anayepiga mwanamke hajui kuchagua mwanamke wa kuwa naye utanibishia vipi, wakati mimi naandika hilo kwa experience yangu ninayojivunia kwamba maisha yangu yote sijawahi kumpiga mwanamke?

Mimi nimewezaje na wengine wanashindwaje kama si kushindwa kuchagua mtu mnayeendana vizuri tangu mwanzo?
 
Back
Top Bottom