Shilole avishwa pete ya uchumba, ndoa ya tatu yanukia

Kei yake itakuwa na magaga kama sio sugu.
Ana PhD ya kuoa vimarioo au viyahaya
 

Tanzani hadi mama ntilie ni celebrate 🙌
 
Hawa wasimamia... kucha ni shida....kulelewa tu hapo eti linapiga magoti khaaaaa......
 
Akiona unaweza jitegemea anakuacha
Ishu ni unaweza pata mpunga wa kutosha ukiwa kwake, au isiwe sehem kama hiyo unatembea na nyota ya mtu ......

Ukitoka hapo kwishnei

Ndo maana naogopa sugar Mamie na Hawa mishangazi watu wapo ki benefits zaidi
 
Ishu ni unaweza pata mpunga wa kutosha ukiwa kwake, au isiwe sehem kama hiyo unatembea na nyota ya mtu ......

Ukitoka hapo kwishnei

Ndo maana naogopa sugar Mamie na Hawa mishangazi watu wapo ki benefits zaidi
Unapata mwingi sana
 
Tufanye pia ana ngekewa, sio rahisi anashuka mtu anapanda kama daladala ujue
Pesa huleta marafiki, maadui na wapumbavu.

So,
Anapesa ndio inayo IPA Ile kitu roho Ina penda all in all pesa ndio kila kitu..
 
usihukumu usije hukumiwa du jamaan usinzi huu ? tujitafute knowthyself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…