Hahahaha,, aseeee utaweza kuvumiliaYa kuacha tutakubaliana wenyewe, unaweza hata kuacha penzi tu, haha
Hilo swali inabidi tulijibu kwa pamoja, tutaweza kuvumiliana..?Hahahaha,, aseeee utaweza kuvumilia
mimi sitaweza aseeee,, tutafute hela woteHilo swali inabidi tulijibu kwa pamoja, tutaweza kuvumiliana..?
ngoja nikutaftie namba ya shiloleOi
Bado sijakata tamaa πππ
Me nataka wewe upumzike, me nikatafute, hahamimi sitaweza aseeee,, tutafute hela wote
hapana hela za masimango sijawahi wezaMe nataka wewe upumzike, me nikatafute, haha
Penzi la kunipimia kisa una mawazo ya kutafuta hela sitayaweza pia, hahahapana hela za masimango sijawahi weza
Hahahaha khaah basi nimeshindwa kama shilolePenzi la kunipimia kisa una mawazo ya kutafuta hela sitayaweza pia, haha
Kijana anamajukumu mazito mazito mpaka anachoka Sanaa mwiliπkwamba
nalea vijana wa lika langu au mdogo kwangu,,we sponsor tafta kitoto cha 2000Achana naye yule Kaenda maili nyingi, Mimi nakutaka lishangazi wewe πππ
Shindwa pepo,, nenda kajitege beach uko utawapataπ π πMimi ni Z generation nimekulia Maziwa na damu ya Ng'ombe nachangamsha sana. Nifikirie we Lishangazi
Afu huu upumbavu acha.π π πMimi ni Z generation nimekulia Maziwa na damu ya Ng'ombe nachangamsha sana. Nifikirie we Lishangazi