Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Huyu Shishi ni aina ya wanawake wale ambao ni domineering, wanaowatawala wanaume wao.
 
Nikipata hizi tenda sikauki mazoezi nakuambia mtu ni ataliwa non stop hadi atoke damu

Na vile mvivu kulima aah nakuwa zangu sex toy.
 
Shishi atabaki analalamika mpaka atakapojirekebisha hakuna mwanaume atakubali kuoa mwanamke asiejishusha labda hao ben10 anaolewa nao.
 
Mimi ni wa kike lakini mara kibao humu naonekana wa kiume...why?kwasababu huwa sitetei pale panapoonekana hapatakiwi kutetewa kwa jinsia yangu eti kisa mimi ni wa kike

Mkuu,ulichokiandika hapa ni utetezi hafifu sana ambao kimsingi umeandika sababu wewe ni jinsia hiyo inayoachiwa 40K ikiwa imelala
Kwa umri wa huyo dada na hilo umbo lake, hana sifa ya kupata vijana wa hilo rika bila kuwaonga. Hakuna kijana wa kiume wa hilo rika anaweza akawa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke kama huyo mmama bila kumlipa hela.
Hata wanaume wa rika moja na huyo mdada kwa sasa hawezi kuwapata.
Aache tabia ya kuwazalilisha vijana wa watu baada ya kuwachoka.
Mwanaume mwenye sifa alizozitaja hawezi kuacha kula watoto wabichi na wazuri aende kwa mmama kama huyo. Ni ndoto ya wanaume wengi kuwa na watoto wakali siyo wamama kama huyo mmama.
 
Huyo mwanaume akifanya hivyo kujihudumia na kutimiza majukumu instead kukaa na mbibi sibora atafute katoto kabichi aishi nacho.

Naona Shishi Ana pretend hajui rule of the Jungle na anjifanya ajijui kama yeye Mshangazi, Once mshangazi be mshangazi isiwe mtu yuko na wewe kama mshangazi unataka treatments za kabinti kibichi.
Aelewe hakuna kijana mwenye hela zake na mishe za kueleweka atakubali kuoa mshangazi. Vijana wanamkubali kwa sababu anawalipa halafu wao wanaenda kuenjoy na watoto wabichi.
Anapoishiwa hela za kuwalipa awe anakaa kimya siyo kuanza kuropoka kwenye mitandao kwa sababu muda wake ulishapita.
 
Mnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga

Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
Kuoa??
Sema kuoana maana ukisema kuolewa unakua unatweza utu wa kijana japo ni ukweli.
 
Aelewe hakuna kijana mwenye hela zake na mishe za kueleweka atakubali kuoa mshangazi. Vijana wanamkubali kwa sababu anawalipa halafu wao wanaenda kuenjoy na watoto wabichi.
Anapoishiwa hela za kuwalipa awe anakaa kimya siyo kuanza kuropoka kwenye mitandao kwa sababu muda wake ulishapita.
Yes, ni kuelewa position yako tu kwenye Game hupati shida angelica na Mtu mzima alafu angeona kila mtu angelica upande wake yaani unataka dogo dogo ipo Prime alafu utaki u-pay for that.

Ni kama mwanamke ajiweke kuwa Malaya alafu ataka treatments za kupetiwa petiwa na mwankuwa romantic kwake hakuna mtu huyo, au mwanamke ni Wife materials alafu utake Treatments za malaya yaani baby nimekupa leo bila kunipa pesa mwanaume atakutoa akili na kukuacha.

Ukitulia na position yako Hutton shida.
 
Huyo mwanaume ni mkubwa kwa Shishi sema ni wale wanaume wavivu, msingi kiuno.
Shishi naye aache kudate na wanaume wajinga na wavivu. Si amchukue hata msukuma 🤣
 
Back
Top Bottom