Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Ushoga unaongezeka sababu wanaume wanasahau majukumu yao wanapenda mteremko!

Hata kama mke anakuzidi kipato mwanaume jitutumue kutafuta pesa na kubeba majukumu hiyo ndio sifa yenu
Hata kwa kidogo, inaleta heshima kwako
😂 😂 😂
Shilole muongo bhana huyo Uchebe alikuwa ni fundi Garage na maeneo ya Kinondoni ana Car wash yake. Sema huyu Shishi kasema uongo tu hapa kujisafisha aonekane ni msafi kumbe
 
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Sidhani mkuu, ndio kila siku? hawachoki?

Wanawake wa aina hii ni wale woman of principle, anakuwa na visheria vyake ambavyo mwanaume anaejielewa hawezi kuvumilia, anaishia kulea vijana wadogo.
 
Ajijui❌
Hajijui✅

Hapo nimeelewa kumbe binti wabichi ndio wanahitaji treatments na sio Mishangazi.
Ndio binti wa bichi ndio wanahitaji treatments na kuhudumiwa sio jimama lililochoka, huyo shilole wakati akiwa PRIME asingekubali kuwa na huyo kijana bali wenye fedha leo ni her turn yeye ni msngazi ahudumie kijana akitaka ahudumiwe huyo kijana sibora atafute mbichi.
 
Ndo gharama za kununua ngono na kujificha kwenye kivuli cha uhusiano serious sijui ndoa. Ngoja atakutana na mwenye akili za kike wagawane mali.
 
Shishi ni dada angu tatizo ni lesbian na kutumia dildo ndo kumemuharibu

Ukizingatia ni mpambanaj na pesa hipo
Hivo anachotafuta ni kukazwa vizur tu afu akikuchoka anakudrop


Kingne huyo tayar mama wa daughter zenye kuvuka eighteen yrs so ukienda pale jua hakuna kuanzisha familia ni kut*MBA tu:
 
Hiyo hela aliyokuwa akiacha atambue kuwa ni Kodi ya Uchakavu ambayo alikuwa na wajibu wa kumlipa huyo kijana kwa kukubali kuishi na uchakavu.
So aache kujilalamisha
As per Income Tax Act (ITA) 2004 Revised 2019.
 
Mnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga

Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
I don't condemn alichofanya huyo kijana kama ni kweli lakini, lakini hakuna kitu naichukia kama watu wakiachana na kuanza kupakana matope
 
I don't condemn alichofanya huyo kijana kama ni kweli lakini, lakini hakuna kitu naichukia kama watu wakiachana na kuanza kupakana matope
Yes! Kwanini umpake mtu matope ambaye hajafanya hivyo?
Watu wana roho mbaya sana
 
Wanaume mbona ndio kila cku tunaacha iyo pesa lakini hatulalamiki?




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga

Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
Muhaya na ngono 🙌🙌🙌🙌
 
Yes! Kwanini umpake mtu matope ambaye hajafanya hivyo?
Watu wana roho mbaya sana
Hata kama kafanya, mahusiano ni kutunziana Siri, kila mtu akisema ya mwenzake lazima Hali ichafuke
 
Huyo mwanaume akifanya hivyo kujihudumia na kutimiza majukumu instead kukaa na mbibi sibora atafute katoto kabichi aishi nacho.

Naona Shishi Ana pretend hajui rule of the Jungle na anjifanya ajijui kama yeye Mshangazi, Once mshangazi be mshangazi isiwe mtu yuko na wewe kama mshangazi unataka treatments za kabinti kibichi.
Word💪💪
 
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
HII PICHA TU ILIVYO HUYU MWANAUME ANA SHIDA. YAANI MWANAUME AMEKAA KAMA MWANAMKE KABISA.....NI TATIZO
 
Back
Top Bottom