Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Shilole kila Mwanaume kwake ni mbaya

Kwani yeye alivyomuoa Rommy alitegemea nn? Huko huko kukazwaa ndo malipo yake hayo!! Huyu mshangazii vipiii? Km hataki kulea viben10 si atafute wajomba aishi nao anavyotakaa!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shishi bhanaa. Woiiiiiih
 
Alikubalije kuolewa nae? Hakujua hilo mwanzo sikuzote X huwa anachafuliwa ye awe mpole ..
 
Basi na yeye ajiandae kuanikwa na huyo anayemuanika
Ameachana na wangapi?
Nuh Mziwanda mpaka alimtungia wimbo Jike Shupa na huyo Nuh alikuwa anapelekeahwa mnoo na kuna siku wakakutana kwenye Interview nadhani ni Clouds TV au Wasafi TV, Shishi akaanza kumwambia hasa kwa nini iliniimbia vile huku anampetipeti. Looh nikaona huyu Shilole ni Nyok****
 
Ila huyo jamaa ni mpigapicha. Je, angeamka saa 12 asbh akapige picha? Au pengine ingebidi naye aamke alfajiri kwenda na Shishi mgahawani kusaidia kupika. Mimi naona wangeendelea tu na maisha yao baada ya kuachana bila kusemana vibaya.
 
"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Alitaaakaa aache uchi wake??
 
Kwa haraka haraka Shilole hakosi miaka 38 hivi, Kwa umri huo anapaswa adate Mwanaume mtu mzima wa above 43

Kitendo cha kudate Vijana wa miaka 30 kurudi Chini ina maana anataka awalee, maana Vijana wengi wa Umri huo wanakuwa ndiyo wanajitafuta maisha

Anyways kupanga ni kuchagua 🙌
 
Sasa mpiga picha aamke alfajiri ili akampige picha nani?

Mara nyingi kazi za kupiga picha hua ni usiku coz events nyingi hua ni usiku,

Huyu Mwanaume wa sasa hivi aliyenae anaamka saa ngapi?

Mwisho,mnapoachana hakuna haja ya kuweka madhaifu ya mwenzako coz hata yeye ana madhaifu yako pia.
 
Kiben10 nae hataki kukaa nyuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatareeeee!!!
1719481585033.jpg
 
Tatizo yeye kazoea vya kuchinja ,vya kunyonga hawezi🥴
 
Wenye mahusiano yapo wapo huuuko, sisi tupo huku na mahusiano yao.
Yetu je yakoje? 🤣
 
Dah ukifuatilia vizuri utagundua ni kweli vijana anaodate nao Shilole huwa hawana kazi au shughuli rasmi😤😤 lakini inavyoonyesha huyu dada anapenda kutiana sana ndio maana hadeti na watu wazima wa umri wake anachukua Dogodogo wenye kumpa moto ila matokeo yake mwisho wa siku anashindwana nao kwa kuwa anaona bajeti inakuwa kubwa🤣
 
Vijana wadogo wana nyanyaswa na Mishangazi, serikali iingilie kati...! Kukosa pesa ni changamoto sana. Mara mimi natafuta hiki yeye hachangii chochote, namuacha kalala.
 
Back
Top Bottom