Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anachosha mnoo, kuoa aoe yeye afu analalama hapa, khaaagShilole bwana!!!!
Sasa unapenda vibenten halafu unataka uishi navyo kama unadate na mtu mwenye Akili timamu???
Ameachana na wangapi?Basi na yeye ajiandae kuanikwa na huyo anayemuanika
Alitaaakaa aache uchi wake??"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Inashangaza eti, amewezaje kuwa na akili ya biashara akakosa ya kujua issues kama hizoShilole bwana!!!!
Sasa unapenda vibenten halafu unataka uishi navyo kama unadate na mtu mwenye Akili timamu???
Labda anatafuta attention!!Inashangaza eti, amewezaje kuwa na akili ya biashara akakosa ya kujua issues kama hizo
🤣🤣🤣🤣 Huu ni uwongo kabisaaaaSidhani,kuna wajumba wamekamilika kila sekta!!
Kama uongo sawa!!🤣🤣🤣🤣 Huu ni uwongo kabisaaaa