Kibenten ndo anaharibu sasa. Mwanamke mropokaji kama shishi adhabu yake ni kumkalia kimya.Kiben10 nae hataki kukaa nyuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatareeeee!!!View attachment 3027442
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibenten ndo anaharibu sasa. Mwanamke mropokaji kama shishi adhabu yake ni kumkalia kimya.Kiben10 nae hataki kukaa nyuma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatareeeee!!!View attachment 3027442
Vibenten wanawekeza kwenye sex. Ni wateja wakubwa wa vumbi la Kongo.Vijana wadogo wana nyanyaswa na Mishangazi, serikali iingilie kati...! Kukosa pesa ni changamoto sana. Mara mimi natafuta hiki yeye hachangii chochote, namuacha kalala.
Kabisa mkuu ata ningekua mimi wala nisinge hangaika na lolote wala chochote zaidi ya kuwa mpiga miti tuShilole bwana!!!!
Sasa unapenda vibenten halafu unataka uishi navyo kama unadate na mtu mwenye Akili timamu???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiihKibenten ndo anaharibu sasa. Mwanamke mropokaji kama shishi adhabu yake ni kumkalia kimya.
Ayaaaaa umechana mkekaMnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga
Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
Shida ya Shilole hatongozwi bali anatongoza sasa sijui analalamika nini."Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Mtawaonea mapunda tu. Yaani wewe haushindi nyumbanu kunihudumi il wewe unataka uhudumiwe?Ushoga unaongezeka sababu wanaume wanasahau majukumu yao wanapenda mteremko!
Hata kama mke anakuzidi kipato mwanaume jitutumue kutafuta pesa na kubeba majukumu hiyo ndio sifa yenu
Hata kwa kidogo, inaleta heshima kwako
Kijana hana makazi maana analialia tu??? Watoto wetu wa kiume lazima wajifunze kuwa responsible"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Huyo my take :😅😂😂😂"Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Tuyaige mahimaisha ya kisanii bwana