Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Nuhu nae kavumilia na kipigo juu

Duhhhh aiseehhh na kipigo juuu haki ya nani huyo mwanamke ni mayweather naona
Bora ata asepe huyo boy shishi apate age set wake maana mkorofi sijapata ona tena nadhani apate wa mara maana hawa jamaaa ni shida shishi akizingua anakula panga
 
Duhhhh aiseehhh na kipigo juuu haki ya nani huyo mwanamke ni mayweather naona
Bora ata asepe huyo boy shishi apate age set wake maana mkorofi sijapata ona tena nadhani apate wa mara maana hawa jamaaa ni shida shishi akizingua anakula panga
Si ndo maana kamuita asha ngedere lol wanajuana hawa
 
mineno ya shilole hiyo sasa sijui nyuma ya wapi
Mmh kama vile neno la kitigo tigo
teh hebu wagombane tujue zaidi kwa kinagaubaga huu ubuyu, ha ha ha watu na roho mbaya zetu
cc Ms.Lincoln
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kauli ya dereva mpaka niende basata ndio naweza kuielewa.Mpaka agonge nyuma ndio anaenda mbele!
 
Basi siku hizi kumbe ni mbinu mpya, kabla ya kutoa mziki au move...unatanguliza skendo kwanza
Hii couple yao ilipuuzwa hivyo wana tafuta kick usiku na mchana...huo ni wimbo wao mpya wameshirikiana...lakini hayo madongo ni ya kweli!
 
Hahaha hata kama ni Kiki jamani, me hayo majina waloitana sasa ganda la ndizi vs Asha ngedere. Ningenuna kwa kweli teh, ngoja tusubirie collabo yao
Hawa jamaa wako radhi hata kupigana hadharani ilimradi wapate kick ya mambo yao! Huu lazima ni wimbo!
 
Back
Top Bottom