Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Sasa Nuhu atakwenda wapi?Hii sio kik kwakweli, na yupo kwenye kipindi cha rusha roho cha geah kasema mipasho inaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Nuhu atakwenda wapi?Hii sio kik kwakweli, na yupo kwenye kipindi cha rusha roho cha geah kasema mipasho inaendelea
Teh Teh Kwakweli hii ni dharau sana yani ana mwambia mwenzie akate mkono daaa...Kuhusu Tatoo Shihi kasema nuhu atakua anavaa sweta mda wote ili tatoo isionekane au akate mkono wenye tatoo.
Nuhu na Shilole ni kama futuhi...hivi Nuhu hana ndugu?Yaani hawa wawili huwa siwaelewi na vituko vyao, ila vinanipaga kicheko nazidi kutozeeka mie.
Huo mwimbo na kideo nitaangalia nione kama kuna kituko
Achome na pasi tu teh tehKuhusu Tatoo Shihi kasema nuhu atakua anavaa sweta mda wote ili tatoo isionekane au akate mkono wenye tatoo.
Atapata tu zigo lingine la kumuhifadhiSasa Nuhu atakwenda wapi?
Huyu dogo ameteseka sana...Atapata tu zigo lingine la kumuhifadhi
Bado nashangaa kuwa watu mnapataje muda wa kufuatilia vitu vya kipuuzi kama hivi......ina maana hamna shughuli za kufanya au ??
Teh Teh...Atapata tu zigo lingine la kumuhifadhi
Mkuu unajua una vituko sana ..yani unasema hupendi jambo lakini bado unalifatilia na kulijadili...Mkuu hayo mambo yako inst...yaan mtoto wa kiume akiwa inst huwa na mdharau ata iweje yan!!kuna demu wangu mmoja nimemtia kibuti kisa kuwa busy na mambo ya kijinga kama hawa...
Anateseka kuliko yatima ha ha ha poor nuhuHuyu dogo ameteseka sana...
Teh Teh eti AlbumMwili unaeza kua kama album ya picha vile teh make ni kuweka sura za mabebs tu
Hivi hana ndugu?Anateseka kuliko yatima ha ha ha poor nuhu
Nuhu na Shilole ni kama futuhi...hivi Nuhu hana ndugu?
Kidume unataka raha tu 'pesa hauna 'na bado siunaleta ujanja kwa mtoto wa igunga 'mjini hapa 'halafu sina habari 'wacha niwe busy na kazi zangu tu'mapenzi yashanishinda mie.nawapenda sana mashabiki wangu! Manopenda mitelemko kazi mnayo kupandisha vitonga hamtaki mtanyoookaa na kama ulikuwa unatembelea Kik yangu basi katafute snare @shilolekiuno
ha ha ha haya shilole huyo, tusubiri na jibu la nuhu sijui atatuambia kuwa shishi ana rambooo
Ms.Lincoln hii sio Kiki naona things are gering serious
am so wandazzz
Maskini Mziwanda Nation..ni wakati wa kwenda ku reseat tuu hakuna namna nyingine kukatwa umeshakatwa na Shilole..!Nasikia shishi kafunguka Clouds kuwa finally amemtosa Nuhu.
#amsowonders
Nilitamani kusikiliza make aliaga kabisa kwamba anaenda kuongea na geah habibNasikia shishi kafunguka Clouds kuwa finally amemtosa Nuhu.
#amsowonders
Ndugu zake watakua ni shilole na wale watoto wa shiloleHivi hana ndugu?
Mwanasaliboko hujaitwa hapa, unamdharau kwa kua bando kaekewa na dingi ako?Mkuu hayo mambo yako inst...yaan mtoto wa kiume akiwa inst huwa na mdharau ata iweje yan!!kuna demu wangu mmoja nimemtia kibuti kisa kuwa busy na mambo ya kijinga kama hawa...
Kwa ile division zero anaresit nini? Ashone tu suruali mpya, anunue shati jipya akaanze form oneMaskini Mziwanda Nation..ni wakati wa kwenda ku reseat tuu hakuna namna nyingine kukatwa umeshakatwa na Shilole..!