Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Nasikia shishi kafunguka Clouds kuwa finally amemtosa Nuhu.
#amsowonders
Duu dogo Nuhu kadhalilishwa sana duu atajuta kumfahamu huyu Mama yake wa kufikia...Nuhu tulimwambia hakusikia sasa hakuna namna ni mwendo wa kunyooshwa tuu! uploadfromtaptalk1437336671963.png
 
Kwa ile division zero anaresit nini? Ashone tu suruali mpya, anunue shati jipya akaanze form one
Kwa hiyo ni bora aanze upya form one? Namuona huruma lakini ndio hivyo amesha katwa...
 
Mwanasaliboko hujaitwa hapa, unamdharau kwa kua bando kaekewa na dingi ako?
we unatafuta nini celebrities forum pmb wewe sijui kikuna sijui kikum" utajua mwenyewe
Huyo mpuuze tuu anatafuta attention ya watu..
 
Ni kweli, nmekumbuka juzi nlikuwa sehem nlimsikia shilole akimwambia Gea habib hawa wanaume hata uwape nini hawaridhiki.. sikufuatilia baada ya kukuta hii naanza kuunganisha dot..
 
Mapenzi haya ya kuringishiana mtandaoni, nuhu alikuwa akijiita mume -----, hii Yote kwa sababu ya kulishwa, haya sasa, mnaachana na kuwapa watu faida kwenye mitandao, so childish. Nuhu ajitume sasa, shilole baunsa
 
Hahahaha... Eti kamuita nuhu tambara la deki.
 
Back
Top Bottom