Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Ha ha ha ganda la ndizi na asha ngedere lol hawa watu vituko
huo umarioo ndo kauona leo, ndo maana alikua anamzaba na vibao kumbe anamlisha lol

Aah haha ganda la ndizi hadi likajichora tattoo jamani, ila bado asha ngedere kamtimua mwenzake hahaha
 
Wakati bado tupo kwenye shamra shamra ile couple ya wendawazimu flani hivi amazing imeibuka kusikojulikana na kuanza kumwaga mchele kwenye kuku, koh koh koh majogoo na matetea wakaanza kudonoa kama hivi;

Shilole kaanza kwa kumwaga mboga, kumkashifu aliekua mwandani wake

"Mwanaume hata umfanyie nini haridhiki lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee, kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi ™@shilolekiuno"

Nuhu nae akaona isiwe tabu akamwaga ugali, na kachumbari;

"Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu #AsHaNgeDerE ™@mziwandanation"

View attachment 269248
Couple ya wendawazimu flani......hahahaha[emoji12] [emoji12]
 
Nyimbo yao tiyari imeshatoka inaitwa ganda la ndizi hii ndo walikuwa wanaifanyia Promo
 

Attachments

  • 1437645446161.jpg
    1437645446161.jpg
    12.4 KB · Views: 354
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon
 
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon
Wajinga sana nime amini kabisa hawa wanaweza kufanya mapenzi hadharani ili kutafuta kick..
 
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon

Wajinga sana nime amini kabisa hawa wanaweza kufanya mapenzi hadharani ili kutafuta kick..
Kwakweli sipo interested na hii namna ya kuintroduce nyimbo/movie....technique imekaa kijinga
 
Back
Top Bottom