Kidume unataka raha tu 'pesa hauna 'na bado siunaleta ujanja kwa mtoto wa igunga 'mjini hapa 'halafu sina habari 'wacha niwe busy na kazi zangu tu'mapenzi yashanishinda mie.nawapenda sana mashabiki wangu! Manopenda mitelemko kazi mnayo kupandisha vitonga hamtaki mtanyoookaa na kama ulikuwa unatembelea Kik yangu basi katafute snare @shilolekiuno
ha ha ha haya shilole huyo, tusubiri na jibu la nuhu sijui atatuambia kuwa shishi ana rambooo
Ms.Lincoln hii sio Kiki naona things are gering serious
am so wandazzz