Shilole na Nuhu Mziwanda waanikana mtandaoni

Ndiyo ni mtelezo binamu, so nuhu ni mario
Ha ha ha ganda la ndizi na asha ngedere lol hawa watu vituko
huo umarioo ndo kauona leo, ndo maana alikua anamzaba na vibao kumbe anamlisha lol
 
Ha ha ha ganda la ndizi na asha ngedere lol hawa watu vituko
huo umarioo ndo kauona leo, ndo maana alikua anamzaba na vibao kumbe anamlisha lol

Aah haha ganda la ndizi hadi likajichora tattoo jamani, ila bado asha ngedere kamtimua mwenzake hahaha
 
Couple ya wendawazimu flani......hahahaha[emoji12] [emoji12]
 
Nyimbo yao tiyari imeshatoka inaitwa ganda la ndizi hii ndo walikuwa wanaifanyia Promo
 
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon
 
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon
Wajinga sana nime amini kabisa hawa wanaweza kufanya mapenzi hadharani ili kutafuta kick..
 
Shilolekiuno

kaandika instagram kuwa wimbo wao mpya wapenzi hao upo pia uko youtube

mlisema lazima kuna kijacho.

nitaucheki soon

Wajinga sana nime amini kabisa hawa wanaweza kufanya mapenzi hadharani ili kutafuta kick..
Kwakweli sipo interested na hii namna ya kuintroduce nyimbo/movie....technique imekaa kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…