Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
"Ganda la ndizi"akimaanisha nini jamani?Hawa naona kama hawajielewi hawawezi kuambiana kashfa wakati walikuwa wakipika na kupakua pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ganda la ndizi"akimaanisha nini jamani?Hawa naona kama hawajielewi hawawezi kuambiana kashfa wakati walikuwa wakipika na kupakua pamoja
Umesikiliza hilo songi? Ntakua wa mwisho kuusikilizaMtelezo a.k.a mario
Hehehe gelo friend sijausikiliza na hata Kiki yao haijanipa mshawasha wa kutafuta huo wimboUmesikiliza hilo songi? Ntakua wa mwisho kuusikiliza
Kwakweli sipo interested na hii namna ya kuintroduce nyimbo/movie....technique imekaa kijinga
Umesikiliza hilo songi? Ntakua wa mwisho kuusikiliza
Ganda la ndizi vs Asha ngedere. Unaweza kuta hata hawajagombana. Wanatafuta attention tuuu
Kick at work!
Basi siku hizi kumbe ni mbinu mpya, kabla ya kutoa mziki au move...unatanguliza skendo kwanza
Yani akili zao sawa, wamekutana chupa na mfuniko
Tumeshawazoea kuwa wanapenda Kiki ndo maana Hamna mtu anayehangaika nao kihivyo. Afu kama wimbo ni mzuri watu tutautafuta wenyewe bila hata ya kikiPyeee to Nuhu na Shishi coz hamna kitu mbaya ka kiki ikifail.
Sio kama ya Zari na D, wambeya tulikaa juu juu kusubiria tuone kama kuna ndoa au pete.
Nyoo, ukitaka kiki zilizoenda shule jiweke karibu na king wa kiki tanzania.
Kwakweli mi ntakua wa mwisho kuusikiliza, tena nikute unapigwa sio kuutafutaHehehe gelo friend sijausikiliza na hata Kiki yao haijanipa mshawasha wa kutafuta huo wimbo
Yani imekaa Kipwaguzi.
Poor technic, unawatahayarisha watu, unawadanganya fans wako.
Mazuzu wanaanza kuattack na kutukana.Wengine wanasikitika.
Ila habare wameijua kuwa couple yao pengine ndio the most hated hapa tZee.
Ha ha ha songi la kupigwa vilabuni kweli hilo ganda la ndiziMimi ntakusikia kwenya daladala na nikikatisha vilabuni.Ingawa tulijua kabisa hii ni kikimbuzi
Kwakweli mi ntakua wa mwisho kuusikiliza, tena nikute unapigwa sio kuutafuta
Teh sio vizuri bana, kuwa mzalendo kwa ganda la ndizi na asha ngedere, tusupport vya kwetuuuu
Hahahah wale kweli ni hazina ya taifaha ha haaaaa mweee...hawa wakifa tunaomba wawekwe museum!!!!!..... there is a tale about them for our offsprings
Mimi mwenyewe sito usikiliza labda nije kukutana nao bahati mbaya! Kuna siku watakuja kusema wamekufa kumbe kick...Teh sio vizuri bana, kuwa mzalendo kwa ganda la ndizi na asha ngedere, tusupport vya kwetuuuu
Hahaha nyie mna tabia mbaya jamani. Sema inabidi watafute njia nyingine ya kupata Kiki, tumewazoea so hatuoni jipya kwaoMimi mwenyewe sito usikiliza labda nije kukutana nao bahati mbaya! Kuna siku watakuja kusema wamekufa kumbe kick...
Hawa wana kera sana na mambo yao ya kijinga!Hahaha nyie mna tabia mbaya jamani. Sema inabidi watafute njia nyingine ya kupata Kiki, tumewazoea so hatuoni jipya kwao
Hahahha itabidi tu tuwazoee ili tusikereke.Hawa wana kera sana na mambo yao ya kijinga!