Dawa ni kutafuta PESA unayanunua yote maana Gari zote hizo mbili ni za wenye Pesa
Land Cruiser ni ya moto,Range pia ni inatokota gari zote hizo haziitaji maneno zinahitaji
account iwe imenona kuanzia kuyamiliki mpaka kuyatunza,ila kibongo bongo Cruiser
ina HESHIMA yake,hatukatai Range ni kali ila Cruiser Muonekano wake unatisha umekaa
kishua mno mno,yani ukiliona unaweza OGOPA hata lisogelea,ila kuna huyu Mjomba RANGE
Yeye hana makuu,simple but SURE gusa unase,BINAFSI yangu nitayaendesha yote mawili
lakini nitaanza na LAND CRUISER ndugu zangu,hiyo Range ni baada ya kuizoea LC shilole
yupo sahihi ki heshima,LC ina adabu zote...RANGE unaweza hata itemea mate,Mpaka uambiwe
hayo mate yako kuyafuta yanahtaji dollar kadhaa ndio unashtuka kumbe umeyakanyaga.
Kimuonekano (nnje)Naipa LC 100% na RR (nnje) naipa 91% Huko ndani staki paongelea maana
nimepanda 1 tu LATEST hapo sijapanda la pili nikaweza linganisha,ila LC hawakukosea kuliita SHANGINGI.