Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
[emoji1787][emoji1787] acha kbs ndgIlikuwa aibu sana, useme watu wamesahau tu.
Kila nikimwangalia pale eatv huwa nakumbuka Big Brother [emoji28]
unataka kuniambia na wewe ni mfuasi wa hili shindano?Jiulize swali, kwa nini ng'ombe dume na jike wanawekwa sehemu moja? Jibu utakalopata, ndio jibu la uzi wako. Lengo ni kupima, binadamu anaweza vipi kuishi mazingira shawishi na kuweza kuepuka vishawishi.
wanafiraaana tu hukoNaomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER. Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje.
Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.
Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano... Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool.
Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...
yaani pote mbele na nyuma ya kamerambele ya camera
Umenikumbusha gaetano abby platjees kipindi hicho naona bba ilikuwa maarufu sana kuliko kipindi hiki japo sijawahi kuielewaTangu nizaliwe, nikijumlisha muda wote niliowahi kukaa nikaangalia hiyo Big Brother, sidhani kama zinafika dakika 3.
Tena nyingi kati ya hozo dakika ilikua ni kipimdi cha akina Gaetano Kagwa, nilipokuwa najaribu kuelewa maudhui yake.
Kipindi kile watu tulikuwa tunajaribu kuelewa ni kitu gani, lakini ikashindikana ila cha ajabu wafuatiliaji ndiyo wakaongezeka kwa wingi kweli.Umenikumbusha gaetano abby platjees kipindi hicho naona bba ilikuwa maarufu sana kuliko kipindi hiki japo sijawahi kuielewa
Ndiyo maana hata kama unapenda chini namna gani, ni vizuri kuepuka Mitandao i. e social networks maana kitu kikiwekwa kule watu watakuwa wanashea hadi kuisha kwa ulimwengu.[emoji1787][emoji1787] acha kbs ndg
Yaaap nilijitahidi nikashindwa tena nilikuwa nafuatilia baada ya kusikia gaetano abby plat walitafunana ndio ni kawa na hamu ya kuwajua hawa watu wazima wanakulana mbele ya camera bila aibu wana fananajeeeKipindi kile watu tulikuwa tunajaribu kuelewa ni kitu gani, lakini ikashindikana ila cha ajabu wafuatiliaji ndiyo wakaongezeka kwa wingi kweli.
Nikaona jamii ina mataahira wengi. Tukayaacha.
Kabisaa..Ndiyo maana hata kama unapenda chini namna gani, ni vizuri kuepuka Mitandao i. e social networks maana kitu kikiwekwa kule watu watakuwa wanashea hadi kuisha kwa ulimwengu.
Kwahiyo ni vizuri sana kuepuka kurekodi picha zenu za faragha
Depal njoo umjibu Missy hapa puliiiizNaomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER. Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje.
Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.
Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano... Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool.
Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...
Na ushukuru Mungu haukuelewa, ungethubutu kuelewa huenda leo hii ungekua ni mmoja wa watu wanaokimbiza sana huko Insta kwa mapicha na marangirangi😃Yaaap nilijitahidi nikashindwa tena nilikuwa nafuatilia baada ya kusikia gaetano abby plat walitafunana ndio ni kawa na hamu ya kuwajua hawa watu wazima wanakulana mbele ya camera bila aibu wana fananajeee
Ndio nikamuaona gaetano na para lake na abby kipindi hicho 🔥🔥🔥🔥