Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
SOC 2022 (1).png

SOC 2022 (2).png
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 15, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:
Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 15, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com
 
Upvote 116
KWA HIYO ILI KUINUSULU JAMII KUTOKANA NA JANGA LA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA PAMOJA NA BIMA YETU TAIFA(NHIF)JAMII IFANYE YAFUATAYO.
Kwa hiyo ili kuinusuru jamii kutokana na janga la magonjwa yasiyo ambukiza nchini na ulimwengu kwa ujumla hapo hapo tutakuwa pia tumeinusuru bima yetu ya taifa(NHIF) tukubali kubadilika kwa kufanya yafuatayo:
Tupunguze ama tuache kula vyakula ambavyo havina faida katika mihili yetu ambavyo Mara nyingi utusababidhia maradhi tu
Ksma tulivyo eleza hapo nyuma miongoni mwa vyakula hivyo na vinywaji ni kama
Epuka kula Vyakula vyenye mafuta mengi
Epuka kula vyakula vya kukaanga Mara kwa Mara au mda wooote
Punguza matumizi ya chumvi nyingi katika mboga au kunyunyuzia pembeni kama katika mahindi badala take tumia viungo kama vile ndimu, limau ,pilipili. Kwa sababu chumvi inasababisha sanaaa (BP) ambalo linaongoza kusababisha figo kufeli(Renal failure)
Punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari Mara kwa Mara kama vile sodas, juisi za viwandani ili kuepuka kupata kisukari (Diabetes) ambacho kinaongoza kusababisha figo kufeli(Renal failure)
Watu tupunguze kula vitu vilivyo kaangwa (trans-fats) au vilivyo rostishwa Mara kwa Mara ili kupunguza hatari ya mafuta kuganda katika mishipa ya damu na kusababisha (atherosclerosis) na kusababisha maradhi ya moyo, pressure (BP) na kiharusi (Stroke)
Watu tufuatilie hali ya uzito wetu Mara kwa Mara kwani kuwa na uzito mkubwa ni chanzo kikubwa cha maradhi ya
MOYO
KIHARUSI
PRESSURE(BP)
DIABETES (KISUKARI)
KUFELI KWA FIGO
Ufanyaji wa mazoezi watu tufanye sanaa mazoezi tunatakiwa tufanye mazoezi angalau nusu saa(30) kwa siku na kwa wiki Massa mawili na nusu hapo utakuwa fiti kabisaa na haya magonjwa yasiyo ambukiza utayasikia tuu katika bombs na kupelekea kuishi miaka mingiii.
Ndugu zanguni magonjwa yasiyo ambukiza yanakatisha uhai mapema sanaaa ama husababisha vifo vya mapema Ulimwengu nzima kwa hiyo kula vizuri fany mazoezi uishi sanaaa
Kwa kufuata haya tunaweza kuinusuru bima yetu ya taifa(NHIF) na sisi wenyewe kusalimika na janga hili linalo tumaliza kwa sasa la magonjwa yasiyo ambukiza ambalo yamekuwa kwa sasa ndio yanaua watu wengi balaaa duniani kwa sasa ndio kimekuwa kilio kula pembe ya dunia uzuri wake yamekuwa hayachagui masikini wala tajiri, kiongozi mkubwa au raia wa kawaida yao yanaua tuu.

Kwahiyo wito wangu kwenu tubadilike haya maradhi yanatumaliza.
 
MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA YAWA TISHIO NCHINI.
Magonjwa yasiyo ambukiza yameendelea kuwa kitisho nchini na ulimwengu kwa ujumla yamekuwa ndio kinara kwa kusababisha vifo duniani kote lakini ndio yamekuwa yakiongoza kuwa na gharama kubwa za matibabu kutokana hilo hapa kwetu nchini Tanzania kimekuwa na wasiwasi kubwa juu ya bima yetu ya Taifa(NHIF) kuelekea kufa kutokana na kuelemewa na mzigo mkubwa wa maradhi haya miongoni kwa maradhi hayo ni:
Maradhi ya MOYO haya ni maradhi yanayoongza kuwa na gharama kubwa duniani kote na yanaongoza kwa kusababisha vifo duniani kote maradhi haya ni rahisi kuyazuia kuliko kuyatibu ,kuyatibu kwake yamekuwa na gharama kubwa lakini pia husababisha vifo vingi sanaa kwa mwaka takribani watu million (18) hupoteza maisha duniani kote kutokana na haya maradhi ya moyo ndio namba moja(1) kwa kusababisha vifo duniani kote.
Maradhi haya yanazuilika kubwa jamii kama inapata huelewa ,elimu na kama inakuwa tayari kubadilika na serikali ikawekeza nguvu katika kupambana na maradhi haya kama vile:
Kutoa elimu kwa wananchi juu ya maradhi ya moyo kitaalamu na jinsi ya kuyaepuka na kuchukua taadhari hayo
Serikali itoe sapoti katika hasasi za kilaia zinazoshughulika na kupambana na maradhi hayo.kwa sababu maradhi haya yanaua kuliko ukimwi(HIV/AIDs),kuliko malaria ,kuliko cancers na mengone yoyote unayoyajua wewe maradhi ya moyo ni hatari sanaaa.
Mbaya zaidi siku hizi yamekuwa yakiwapata vijana wadogo, watu wenye kipato cha kawaida yaani watu wa kawaida sanaa tofauti na zamani ulikuwa ukiitwa ugonjwa wa mabosi watu wenye nafuu ya kimaisha lakini ugonjwa juu siku hizi umekuwa hauchaguo wala haubagui maskini matajili twendeee kwa hiyo umekuwa tishio sanaa ulimwenguni na ikiwemo hapa kwetu nchini.
CHANZO KIKUBWA CHA MARADHI YA MOYO.
Chanzo kikubwa cha maradhi ya moyo ni kuziba kwa mishipa ya damu mwilini hasa inayopeleka damu katika moyo,
kusababisha damu kutokwenda kama invyotakiwa katika moyo na atimae moyo unashindwa kufanya shughuli zake za kusambaza damu mwilini ikiwemo katika moyo hali hii hupelekea mapigo ya moyo kwenda mbio na husambazaji wa damu mwilini hupungua atimae mtu hupoteza maisha.
Chanzo kikubwa kinacho sababisha hali hii ni kuwa na mafuta mengi katika mishipa ya damu (coronary arteries) ambayo huitwa (saturated fatty) yenyewe husabisha kitu kinachoitwa (atherosclerosis) hiki ndio chanzo kikuu cha maradhi ya moyo kitaalamu ni (atherosclerosis) maana take ni kuziba kwa mishipa mikubwa ya damu inayoitwa (coronary arteries)
KWA HIYO NJIA ZA KUPAMBANA NA MARADHI YA MOYO NI:
*Watu kupunguza ulaji wa vitu vyenye mafuta meng mara kwa Mara kama vile
Vitumbua, cakes, maandazi ,sambusa ,chapati chips kuku,Burgers,Sousages, mtindi ,maziwa yasiyo tolewa mafuta, nyama hulaji wa nyekundu mara kwa Mara. Badala take watu rule sanaaa:
Samaki
Mboga mboga nyingiii(mboga za majani)
Kula Matunda Mara nyingi uwezavyo
Kula nafaka zoooote Mara nyingi kuliko nyama kama
Maharage, kunde, mbaazi,choroko,njegere, njugumawe nafaka kula angalau Mara tatu kwa wiki ama ikiwezkana kula siku.
Dona kula kula siku kama unapendelea kula ugali
Kama mlaji wa ubwabwa usile kula siku.
Tufanye sanaaa mazoezi angalau nusu (30)kila siku mazoezi ni mengi vijana tunaweza kukimbia, kuruka kamba, na wazee wanaweza kutembea kwa haraka, kumwagilia bustsni ,kuosha gari, kufanya shughuli za kila sik.
Kupunguza unywaji wa pombe kupita kiasi
Kuacha uvutaji wa sigara
Kupunguza unywaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi kama vile
Sodas,
Juices za viwandani na za kutengenezs majumbani.
Hii itasaidia kupambana na maradhi yasiyo ambukiza ikiwemo maradhi ya moyo na mengineyo ikiwemo
Moyo
Kisukari
BP
Cholesterol
Cancers
Kufeli kwa figo
Kiharusi
Na kupelekea kunguza majanga yatokanäyo na maradhi yasiyo ambukiza na kuinusuru bima ya taifa (NHIF) na wananchi kuishi maisha yenye afya biraaaa
#Pamoja tunaweza.
Safi
 
KIHARUSI(STROKE) CHA LETA TAALUKI NCHINI NA ULIMWENGU KWA UJUMLA.
Kiharusi kwa sasa kimekuwa tishio nchini na ulimwenfu nzima ndio limekuwa tatizo la pili(2) kwa kuua watu wengi duniani lakini mbaya zaidi kiharusi kwa sasa kimekuwa kikishambulia zaidi vijana kuliko wezee tofauri na ilivyo zoeleka hapo nyuma ya kwamba kiharusi ni ugonjwa wa wazee lakini kwa sasa kiharusi kinaua vijana zaidi kuliko wazee kwa hiyo ifahamike wazi ya kwamba kiharusi kina mpata mtu yeyote ,umli wowote na muda wowote kikubwa tu ni kuchukua tahadhari za kiafya juu ya tatizo ili kujaribu kupambana na tatizo ili.
Kiharusi ni Tatizo linalotokea pale tu endapo ubongo unapokosa kiwango cha damu kinacho takiwa katika ubongo na hii husababishwa na kuganda kwa damu kunako sababishwa na kuziba kwa mshipa unaopeleka damu katika ubongo ambao hufahamika kama (carotid artery).
AINA ZA KIHARUSI;
Kuna aina mbili kubwa za Kiharusi ambazo ni:
Kiharusi cha kuziba tu mshipa tu wa damu unaoenda katika ubongo na kuufanya ubongo kukosa hewa ya oxygen na kupelekea nerve cells zilizopo katika ubongo kufa na kupelekea huyu mtu kupata kiharusi ambacho matokeo take kupata ulemavu wa kudumu ama kufariki dunia.
Ama kiharusi cha aina ya pili ni kiharusi ambacho hutokea kama kawaida vile vile mshipa wa damu unapo ziba kwenda katika ubongo kiharusi hichi hupelekea mishipa ya damu iliyopo katika ubongo kupásuka na kusababisha damu kumwagikia katika ubongo na kumfanya mtu kupata ulemavu mbaya sanaaaa au kupoteza maisha hichi ndio kiharusi kibaya sanaaa duniani karibia asilimia tisini ya aina hii ya watu wanaopata kiharusi hiki hufariki dunia. Wengi wao wanaopona na aina hii ya kiharusi huwa wanatembea katika wheree chair.
Ndugu zanguni kiharusi kinazuilika kubwa ni kuzingatia ushauli wa wataalamu au madactari ndio njia bora pekee za kupambana na tatizo la kiharusi na kujaribu kupunguza imani potofu kwamba kiharusi ni mdudu au shetani.

NJIA ZA KUEPUKANA KUKIZIBITI KIHARUSI.
Chanzo kikubwa cha kiharusi ni tatizo la High blood pressure ama BP(Hypertension) hiki ndio chanzo kikubwa cha kiharusi duniani kite na chanzo kikubwa cha maradhi ya (BP) ni
Ulaji wa vitu nyenye mafuta mengi
Unywaji wa pombe kupita kiasi
Uvutaji wa sigala
Uzīto uliopitiliza
Utumiaji wa tumbaku wa aina zote.
Kuwa na tatizo la kisukari(Diabetes)
Kuwa na tatizo la mafûta mabaya yaani mafuta mabaya kuwa na kiasi kingi mwilini amaa(High bad cholesterol).
MADHARA YA KIHARUSI.
Ndugu zanguni kiharusi kina Madhara makubwa sanaaa kila mtu anayaona kama:
Vifo yva mapema watu wengi wenye tatizo LA (BP) hufariki Sana'a kwa kiharusi cha kusikitisha wengine ni vijana wadogo kabisa.
Watu wenye matatizo ya kisukari hufariki sanaaa kwa kiharusi sasa ivi sukari na (BP) huwapata vijana wadogo chanzo kikubwa ni mtindo mbaya wa maisha
Kula sanaaa chips kuku
Kunywa sanaaa sodas, juices za viwandani Mara kwa Mara hùpelekea vijana kupata kisukari.
Lakini pia vijana sikuizi tunaongoza kunywa pombe ambayo yenyewe huchangia kwa kiasi kikubwa matatizo ya (BP) ,kisukari na cholesterol.
*Kiharusi husababisha umasikini
*Husababisha unyanyapaaa
*Husababisha ulemavu wa kudumu
*Huleta tsaabu katika maisha ya kula siku
Huleta unyonge katika maisha.
Safi
 
UVUTAJI W SIGALA WATAJWA CHANZ CHA KIHARUSI.
Uvutaji wa sigala ni miongoni mwa chanzo cha matatizo ya kiharusi duniani ikiwemo Tanzania. Ndugu zanguni uvutaji wa sigala husababisha kiharusi sababu ; Sigala ina kemikali nyingi Sanaa takribani kemikali elfu NNE(4000) miongoni mwa kemikali hizo ni nikotini na carbon monoxide hizi ni kemikali mbili ambayo huaribu mishipa ya damu.
Uvutaji wa sigala husababisha uzalishaji wa mafuta mabaya mwilini ( bad cholesterol) katika ini ambamo ndio cholesterol huzalishwa kwahiyo humfanya mvutaji wa sigala kuwa na kiwango kingi cha mafuta mwilini atimae hupelekea damu kuganda na kuziba mishipa ya damu hall hii humsababishia mvutaji wa sigala kiharusi.
Lakini pia sigara ina kemiko ya nikotini ambayo humsababishia mvutaji wa sigara mapigo ya moyo kwenda mbio na kusababishia tatizo la (BP) na atimae kumsababishia kiharusi.

Kwahiyo ndugu zanguni watanzania tujiepushe na uvutaji wa sigara sio mzuri kwa afya zetu utupelekea kupata kiharusi ambayo ni ugonjwa mbaya sanaaaa.
Andiko zuri
Nakukaribisha kupitia nakala yangu
 
UKWELI SAHIHI KUHUSU AKILI YA JUU YA UMUNGU(GENIUS) NA JINSI SAYANSI YAKE YA KUFIKIA ILIVYO NYEPESI SANA KILA MTU ANAWEZA KUFIKIA.

UTANGULIZI.
Akili ya juu ya Umungu maana yake fupi ni Mtu kuwa na Uwezo wa kupata maarifa kutoka katika kiumbe ulimwengu (universe) ambayo yanaweza kuwa chachu katika mapinduzi ya kisayansi, Kiuchumi, maarifa ya viwango vya juu (uwezo mkubwa wa kufikiria) n.k

Mtu yoyote ambaye ataweza kufikia viwango hivyo atakuwa mwenye nguvu za mwili, uwezo mkubwa wa hisia (emotional intelligence), kufahamu mambo, kuhisi kani ya mvutano kati ya wewe na dunia kwa kiwango cha juu, kuanza kusikia sauti chini ya mawimbi ya viwango vya kiubinadamu kilichozoeleka kuanzia 20-2000HZ, kufikia kiumbe cha baraka baada ya kuwa tayari umesimikwa ipasavyo katika ardhi kwa kuunganishwa na kani ya mvutano ya ardhi (gravitational force).


kani ya mvutano ndio inakuwa msaada mkubwa kukuwezesha kufikia kiumbe cha baraka na ukifikia unakuwa na uwezo wa kufanikiwa katika kila eneo na mengine mengi.

TAFITI INASEMAJE?

Tafiti iliofanywa nchini Marekani ( CIA-RDP96-00788R001700210016-5, 1983)
Utafiti huu ulitolewa kwa umma rasmi mwaka 2003. Utafiti huu umebainisha kuwa kuna milango mbalimbali ambayo inaweza kutumika kuweza kufikia akili ambayo hutoa maarifa hayo ya kiwango cha kwa wahusika ambayo wamewahi kufikia akili hiyo. Kwahiyo kupitia Utafiti huo bado juhudi kwa asilimia kubwa za watu zinahitajika kujifunza kwa umakini mkubwa kuweza kufikia viwango hivyo vya akili. Kutokana na uzoefu nilioupata Kutokana na maswala haya ya hii akili natoa kanuni kuu na njia mbalimbali zinazoweza kumsaidia Mtu yoyote kufikia akili hiyo kwa urahisi kabisa.

SHIKIRIA KANUNI KUU AMBAYO INAENDESHA ULIMWENGU NA NDIO MLANGO MKUU KWA WEWE KUFIKIA AKILI HIYO NAYO NI NISHATI (ENERGY).

Baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ndio nikagundua kanuni kubwa zaidi ambayo inahitaji muhusika yoyote kuijua ili aweze kufikia hiyo Akili ya Umungu ni jinsi ya kuthibiti(control) Nishati (energy).
Kwahiyo unahitaji kujifunza siri zilizo kuficha za jinsi ya kuongeza nishati hiyo ndani ya mwili wa mhusika au Mtu na kufika kwa urahisi kabisa.

kwa ufupi binadamu ana miili mitano nukuu kutoka sayansi ya yoga(yogic science) mwili wa nishati unakutwa katika mwili wa tatu, kwahiyo ukijifunza ipasavyo kuthibiti mwili huo wa tatu basi utakuwa umemaliza kila kitu.
kutokana na uzoefu mwili wa tatu (nishati) ukiweza kuuthibiti vizuri milango yote ya ulimwengu huu unaweza kufungua au utaanza kufungua taratibu taratibu mpaka kufikia jibu la mwisho (ultimate answer).

VITU VYA KUFANYA KWAAJILI YA KUWEZA KUONGEZA NISHATI (ENERGY) KWAAJILI YA KUFIKIA AKILI HIYO YA UMUNGU NA KUSHUHUDIA FURAHA YA AJABU N.K.

1. UTAMBUZI SAHIHI KATI YA MWILI WAKO NA WEWE.
Watu wengi duniani tunakosa hekima ya kujua miili yetu sio sisi au vyote vilivyokiwango cha kushikika sio sisi kabisa. Utambuzi huo unamsaidia mhusika kuanza kurejesha utu wake au nishati kwa kasi ya ajabu na nguvu zote za Umungu zitaanza kusogelea taratibu na kubadili mfumo mzima wa afya, akili, mawazo, Nguvu ya mwili n.k
Kwa kuongeza nguvu katika fikra ya utambuzi huu lazima mhusika kwa kipindi flani arudie mara kwa mara maneno yafuatayo.
. Mwili wangu sio mimi.
. Fikra yangu sio mimi.
kwa kifupi unatakiwa ujue vyote vilivyo katika hali ya kuweza kushikika sio wewe.

2. KUKAA MKAO W A MUHUDUMU.
Watu wote ambao hukaa mkao wa kujitolea kufanya jambo flani kwaajili ya Watu wengine kwa dhati bila kutaka malipo yoyote awali. Nao hufikia viwango hivi vya juu vya akili ya Umungu pasipo hata wao kujua kwa asilimia kubwa. Inaweza kuwa katika biashara, kipaji cha kuimba, kucheza na uandishi wa mashairi n.k

Kutokana na kazi za kisanii kuhitaji hali ya juu ya kuwa na mtazamo mmoja (focus) kwa muda mrefu kwa ajili ya kukamilisha jambo flani kwaajili ya Watu wengine basi asilimia yao kubwa hufikia viwango hivi Mapema ndio maana huonekana wana nguvu flani ya mvuto/umaarufu (Nguvu hizi huwezeshwa na mwili wa nne wa upendo mwili huu hufikiwa bila shida yoyote kama mwili wa tatu utathibitiwa(controlled) ipasavyo.


Hitimisho
Natoa wito kwa Mtu yoyote ambaye atakuwa tayari kujifunza zaidi kufikia hiyo akili, kanuni na njia ambazo nimeongezea ndio njia sahihi na zitaleta mabadiliko chanya kwa muda mfupi.


Asanteni sana
 
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 14, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:

Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 14, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com
 
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 14, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:

Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 14, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com


UNAYEHISI UMECHELEWA KUFANIKIWA, HII NDIO NJIA YA MKATO

Makala hii inahusu mafanikio maishani kwenye pembe ya kiuchumi au katika swala la kifedha. Katika kutambua umechelewa au laa!. Mara nyingi jukwaa la umri ndio hutaja muda uliogawanywa katika nyakati tofauti ziendanazo na majukumu fulani.

Nyakati katika maisha zimewekwa ndani ya kifurushi cha muda, dhana ya kuwahi au kuchelewa hua na tafsiri tofauti kati ya mtu mmoja na mwingine kwakua kuna vitu hututofautisha kama

  • Vipaombele vya maisha
  • Aina ya maisha
  • Viwango vya maisha
Kuna anaye amini kuna kuchelewa na kuna asiye amini. Japo mafanikio huweza kuja muda wowote ambao juhudi na mikakati sahihi vitaenda sambamba. Neno kuchelewa haliepukiki kwakua muda na mgawanyiko wa majukumu kwa mwanadamu vitakuwepo tu

Colonal Sanders mwanzilishi wa KFC alianzisha mgahawa huo akiwa na miaka 65. Juhudi na kutokukata tamaa bado vina nafasi katika kutimiza maono.

Vitu, wanyama, hali na watu vimejikita katika muda. kila jambo na wakati wake. Hivyo muda unaweza kutueleza tumekwenda sambamba nao, tumeuokoa au tumechelewa-

Pumzika kwa amani

Tarehe ya kuzaliwa na tarehe ya kufa. Viumbe hai huishi katika muda na kuna muda havitoweza kuishi na kufanya majukumu


  • Tarehe ya kikomo cha matumizi
Tarehe ya kutengenezwa na tarehe ya mwisho wa matumizi. Iwe katika bidhaa za kula au hata vitu vingine


  • Kustaafu
Kuajiriwa na kikomo cha ajira. Umri utasema nenda kapumzike katika majukumu haya





NINI SABABU ZA KUCHELEWA KUFIKA KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO?

Hizi ni baadhi ya sababu

Mtu mwenyewe

Mtu mwenyewe anaweza kujichelewesha kutokana na tabia kama matumizi mabaya ya muda, kukosa maono, kutapanya fedha na kukosa vipaombele .

Kucheleweshwa na ndugu,jamaa au marafiki

Pale ambapo mtu anaweza kukosa kiasi katika kutoa msaada wa kifedha au anaishi maono yao kwa kufungamana nao kupitia maamuzi ya pamoja pasipo kuangalia yanashahabiana na ndoto zake au laa!.

Kucheleshawa na hali

Mfano vita, magonjwa na majanga

Mila na desturi

Kuna mila na desturi zinazoweza kumchelewesha mtu kufanikiwa au asiweze kufanikiwa kabisa. Mfano mila ambayo inakataza mwanamke kufanya shughuli za uzalishaji na kua tegemezi kwa mume, muda mume kafariki au wametengana itamfanya kuanza mwanzo akiwa haelewi aanzie wapi kuweza kuhudumia familia pia kufika kilele cha mafanikio atamaniyo.



EPUKA MAMBO YAFUATAYO UHISIPO UMECHELEWA

Kutoishi ndoto zako

Ndoto kama maono ni picha uitengenezayo akilini ikufanyayo kua na bidii ili iweze kutokea katika uhalisia .Hata kama unahisi umechelewa ni vema kuishi ndani ya ndoto. Mara nyigi ndoto huleta msukumo na kuongeza hari , hamasa pia kumfanya muotaji asikate tamaa.

Kujihisi mwenye mkosi

Bidii ni baba wa bahati njema, Bahati hutokana na bidii sio kinyume



Kutaka matokeo hafifu

Vema kubaki katika viwango vile ulivyovitamani ili hari na bidiii iwe kubwa. Vema kupambana kwa nguvu sababu unaweza kutamani vidogo na kujikuta huvipati kwa kufanya mambo kwa ulegevu kupelekea kutoona matokeo katika dunia ya ushindani



Kukosa mpango wa pili

Vema kua na mpango mbadala, pale ambapo wa awali hauleti matokeo unafanya wa pili. Itasaidia hatma kutopotea moja kwa moja pia huweka vema saikolojia pale mpango wa awali unapofe, swala la biashara, utoaji wa huduma ama kipaji huzingatia saikolojia sababu kuna vitu kama hofu, woga pia maamuzi

Kutafuta njia za mkato au mafanikio ya haraka

Njia za mkato ni hatari iwe kukwepa kodi, ujambazi na utapeli. Ni vitu ambavyo huzima ndoto na hupelekea kufilisiwa, kifungo pamoja na vifo. Jambo la msingi ni kuhakikisha mchakato wote ni halali kwa sheria, kanuni na taratibu za nchi

Kulalamika na kulaumu

Haijawahi kuleta suluhisho. Acha kulaumu mifumo, serikali na watu. Hukuongezea tuu chuki,visasi na maumivu. Ambavyo ni hatari kwa afya ya mwili na akili. Kikubwa ni kutumia vema muda

Kazi za muda ni

  • Kutafuta mawazo mapya
  • Kufikiri
  • Kuandaa mazingira
Muda usipotumika vema lazima changamoto za umasikini zijitokeze kwa sababu muda ni rasilimani ambayo hufanya msaada katika uzalishaji ndio sababu watu hununua muda wa watu wengine kwa kuwaajiri na wao waajiri hujiongezea muda wa kufanya kazi kupitia watu.

Kutomtegemea Mungu

Soma vitabu vya kiimani. Hutuelekeza katika majukumu ,subira na uwajibikaji, Hutujengea imani ambayo hutupa mwanga kwa kila hatua. Vema kuhudhuria nyumba za ibada na kutoa sadaka ili kufungua milango ya mafanikio na kujiungamanisha na Mungu aweze kusimama katika changamoto.









NINI KIFANYIKE PALE UHISIPO KUCHELEWA?

Hatua 6 zinaweza kukuongezea kasi na kufanikiwa kupitia njia chanya

1.AWALI

2.HABARI

3.HATARI

4.AMALI

5.KIBALI

6.MALI



AWALI

Ni mwanzo. unaanza na wazo la biashara kwa kuliweka kwenye makaratasi. Wazo liwe linaloweza kutatua changamoto za watu. linaloweza kuja kutokana na kipaji, ujuzi,taaluma hata uzoefu.

HABARI

Kutafuta taarifa kuhusu wazo kwa kufanya tafiti . Soma vitabu vihusianavyo na wazo lako , fwatilia wakufunzi kwenye mitandao ya kijamii na kufanya mambo mengi ya muhimu yatakayo kusaidia kutofeli kizembe

HATARI

Kama unaogopa kukosea huwezi kufanya. Chochote ufanyacho kitaleta majibu iwe ni hasi au chanya, Ni vema kuiambia akili hivyo ili hata mambo yakienda kinyume na matarajio ujipange tena

AMALI

Amali ni vitendo, unaanza baada ya kujiridhisha na taarifa ulizopata pia na maandalizi mengine kama kukamilisha taratibu zote za kisheria.Usianze pale walipo wenzio bali anza hatua moja mbele zaidi, simaanishi kwa swala la ukubwa bali ubunifu.

KIBALI

Ukifanya vema , utaanza kutengeneza jina na kuanza kuzoeleka na wateja, ni hatua nzuri. Epuka kutojali wateja, kuridhika pia uvivu. Hakikisha ubora ni wimbo wako hata ukipata wasaidizi waimbishe sio kuona wateja watanunua tuu. Wapinzani hawalali, kama huwaoni amini siku moja watakuja.





MALI

Ni hatua kubwa ya mafanikio, fedha inapoanza kuonekana ikiwa ni faida itakayo pelekea kufungua matawi,mtaji kukua na kuaminika zaidi, iwe ni ndani ya mtaa, mkoa, nchi hata ngazi za kimataifa.

HITIMISHO

Jaribu kua mtulivu kifikra na kutopoteza hari. Amini hali inaweza kubadilika. Vema uchukulie kuchelewa ni nafasi ya kujifunza kutokana na makosa, fursa ya kukufanya ufanye vema, sababu ya kufanikiwa zaidi pia ni fursa ya kulinda ulichonacho sababu muda umekwenda

Kuna makundi matatu ya watu,kundi la kwanza ni wale wanaotaka jambo litokee. Kundi la pili ni wale wanaotamani jambo litokee na kundi la tatu ni wale wanaofanya jambo litokee” alisema Michael Jordan

 
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 14, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:

Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 14, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com


UNAYEHISI UMECHELEWA KUFANIKIWA, HII NDIO NJIA YA MKATO

Makala hii inahusu mafanikio maishani kwenye pembe ya kiuchumi au katika swala la kifedha. Katika kutambua umechelewa au laa!. Mara nyingi jukwaa la umri ndio hutaja muda uliogawanywa katika nyakati tofauti ziendanazo na majukumu fulani.

Nyakati katika maisha zimewekwa ndani ya kifurushi cha muda, dhana ya kuwahi au kuchelewa hua na tafsiri tofauti kati ya mtu mmoja na mwingine kwakua kuna vitu hututofautisha kama;

  • Vipaombele vya maisha
  • Aina ya maisha
  • Viwango vya maisha
Kuna anaye amini kuna kuchelewa na kuna asiye amini. Japo mafanikio huweza kuja muda wowote ambao juhudi na mikakati sahihi vitaenda sambamba. Neno kuchelewa haliepukiki kwakua muda na mgawanyiko wa majukumu kwa mwanadamu vitakuwepo tu.

Colonal Sanders mwanzilishi wa KFC alianzisha mgahawa huo akiwa na miaka 65. Juhudi na kutokukata tamaa bado vina nafasi katika kutimiza maono.

Vitu, wanyama, hali na watu vimejikita katika muda. kila jambo na wakati wake. Hivyo muda unaweza kutueleza tumekwenda sambamba nao, tumeuokoa au tumechelewa;Mfano;
-Pumzika kwa amani
-Tarehe ya kuzaliwa na tarehe ya kufa. Viumbe hai huishi katika muda na kuna muda havitoweza kuishi na kufanya majukumu
-Tarehe ya kikomo cha matumizi
-Tarehe ya kutengenezwa na tarehe ya mwisho wa matumizi. Iwe katika bidhaa za kula au hata vitu vingine
-Kustaafu
Kuajiriwa na kikomo cha ajira. Umri utasema nenda kapumzike katika majukumu haya

NINI SABABU ZA KUCHELEWA KUFIKA KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO?
Hizi ni baadhi ya sababu;

1. Mtu mwenyewe
Mtu mwenyewe anaweza kujichelewesha kutokana na tabia kama matumizi mabaya ya muda, kukosa maono, kutapanya fedha na kukosa vipaombele .

2. Kucheleweshwa na ndugu,jamaa au marafiki
Pale ambapo mtu anaweza kukosa kiasi katika kutoa msaada wa kifedha au anaishi maono yao kwa kufungamana nao kupitia maamuzi ya pamoja pasipo kuangalia yanashahabiana na ndoto zake au laa!.

3. Kucheleshawa na hali
Mfano vita, magonjwa na majanga

4. Mila na desturi
Kuna mila na desturi zinazoweza kumchelewesha mtu kufanikiwa au asiweze kufanikiwa kabisa. Mfano mila ambayo inakataza mwanamke kufanya shughuli za uzalishaji na kua tegemezi kwa mume, muda mume kafariki au wametengana itamfanya kuanza mwanzo akiwa haelewi aanzie wapi kuweza kuhudumia familia pia kufika kilele cha mafanikio atamaniyo.

EPUKA MAMBO YAFUATAYO UHISIPO UMECHELEWA

1. Kutoishi ndoto zako
Ndoto kama maono ni picha uitengenezayo akilini ikufanyayo kua na bidii ili iweze kutokea katika uhalisia .Hata kama unahisi umechelewa ni vema kuishi ndani ya ndoto. Mara nyigi ndoto huleta msukumo na kuongeza hari , hamasa pia kumfanya muotaji asikate tamaa.

2. Kujihisi mwenye mkosi
Bidii ni baba wa bahati njema, Bahati hutokana na bidii sio kinyume

3. Kutaka matokeo hafifu
Vema kubaki katika viwango vile ulivyovitamani ili hari na bidiii iwe kubwa. Vema kupambana kwa nguvu sababu unaweza kutamani vidogo na kujikuta huvipati kwa kufanya mambo kwa ulegevu kupelekea kutoona matokeo katika dunia ya ushindani

4. Kukosa mpango wa pili
Vema kua na mpango mbadala, pale ambapo wa awali hauleti matokeo unafanya wa pili. Itasaidia hatma kutopotea moja kwa moja pia huweka vema saikolojia pale mpango wa awali unapofe, swala la biashara, utoaji wa huduma ama kipaji huzingatia saikolojia sababu kuna vitu kama hofu, woga pia maamuzi

5. Kutafuta njia za mkato au mafanikio ya haraka
Njia za mkato ni hatari iwe kukwepa kodi, ujambazi na utapeli. Ni vitu ambavyo huzima ndoto na hupelekea kufilisiwa, kifungo pamoja na vifo. Jambo la msingi ni kuhakikisha mchakato wote ni halali kwa sheria, kanuni na taratibu za nchi

6. Kulalamika na kulaumu
Haijawahi kuleta suluhisho. Acha kulaumu mifumo, serikali na watu. Hukuongezea tuu chuki,visasi na maumivu. Ambavyo ni hatari kwa afya ya mwili na akili. Kikubwa ni kutumia vema muda.

Kazi za muda ni

  • Kutafuta mawazo mapya
  • Kufikiri
  • Kuandaa mazingira
Muda usipotumika vema lazima changamoto za umasikini zijitokeze kwa sababu muda ni rasilimani ambayo hufanya msaada katika uzalishaji ndio sababu watu hununua muda wa watu wengine kwa kuwaajiri na wao waajiri hujiongezea muda wa kufanya kazi kupitia watu.

Kutomtegemea Mungu

Soma vitabu vya kiimani. Hutuelekeza katika majukumu ,subira na uwajibikaji, Hutujengea imani ambayo hutupa mwanga kwa kila hatua. Vema kuhudhuria nyumba za ibada na kutoa sadaka ili kufungua milango ya mafanikio na kujiungamanisha na Mungu aweze kusimama katika changamoto.

NINI KIFANYIKE PALE UHISIPO KUCHELEWA?

Hatua 6 zinaweza kukuongezea kasi na kufanikiwa kupitia njia chanya

1.AWALI

2.HABARI

3.HATARI

4.AMALI

5.KIBALI

6.MALI

AWALI
Ni mwanzo. unaanza na wazo la biashara kwa kuliweka kwenye makaratasi. Wazo liwe linaloweza kutatua changamoto za watu. linaloweza kuja kutokana na kipaji, ujuzi,taaluma hata uzoefu.

HABARI
Kutafuta taarifa kuhusu wazo kwa kufanya tafiti . Soma vitabu vihusianavyo na wazo lako , fwatilia wakufunzi kwenye mitandao ya kijamii na kufanya mambo mengi ya muhimu yatakayo kusaidia kutofeli kizembe

HATARI
Kama unaogopa kukosea huwezi kufanya. Chochote ufanyacho kitaleta majibu iwe ni hasi au chanya, Ni vema kuiambia akili hivyo ili hata mambo yakienda kinyume na matarajio ujipange tena

AMALI
Amali ni vitendo, unaanza baada ya kujiridhisha na taarifa ulizopata pia na maandalizi mengine kama kukamilisha taratibu zote za kisheria.Usianze pale walipo wenzio bali anza hatua moja mbele zaidi, simaanishi kwa swala la ukubwa bali ubunifu.

KIBALI
Ukifanya vema , utaanza kutengeneza jina na kuanza kuzoeleka na wateja, ni hatua nzuri. Epuka kutojali wateja, kuridhika pia uvivu. Hakikisha ubora ni wimbo wako hata ukipata wasaidizi waimbishe sio kuona wateja watanunua tuu. Wapinzani hawalali, kama huwaoni amini siku moja watakuja.

MALI
Ni hatua kubwa ya mafanikio, fedha inapoanza kuonekana ikiwa ni faida itakayo pelekea kufungua matawi,mtaji kukua na kuaminika zaidi, iwe ni ndani ya mtaa, mkoa, nchi hata ngazi za kimataifa.

HITIMISHO
Jaribu kua mtulivu kifikra na kutopoteza hari. Amini hali inaweza kubadilika. Vema uchukulie kuchelewa ni nafasi ya kujifunza kutokana na makosa, fursa ya kukufanya ufanye vema, sababu ya kufanikiwa zaidi pia ni fursa ya kulinda ulichonacho sababu muda umekwenda.

Kuna makundi matatu ya watu,kundi la kwanza ni wale wanaotaka jambo litokee. Kundi la pili ni wale wanaotamani jambo litokee na kundi la tatu ni wale wanaofanya jambo litokee” alisema Michael Jordan
 
UKWELI SAHIHI KUHUSU AKILI YA JUU YA UMUNGU(GENIUS) NA JINSI SAYANSI YAKE YA KUFIKIA ILIVYO NYEPESI SANA KILA MTU ANAWEZA KUFIKIA.

UTANGULIZI.
Akili ya juu ya Umungu maana yake fupi ni Mtu kuwa na Uwezo wa kupata maarifa kutoka katika kiumbe ulimwengu (universe) ambayo yanaweza kuwa chachu katika mapinduzi ya kisayansi, Kiuchumi, maarifa ya viwango vya juu (uwezo mkubwa wa kufikiria) n.k

Mtu yoyote ambaye ataweza kufikia viwango hivyo atakuwa mwenye nguvu za mwili, uwezo mkubwa wa hisia (emotional intelligence), kufahamu mambo, kuhisi kani ya mvutano kati ya wewe na dunia kwa kiwango cha juu, kuanza kusikia sauti chini ya mawimbi ya viwango vya kiubinadamu kilichozoeleka kuanzia 20-2000HZ, kufikia kiumbe cha baraka baada ya kuwa tayari umesimikwa ipasavyo katika ardhi kwa kuunganishwa na kani ya mvutano ya ardhi (gravitational force).


kani ya mvutano ndio inakuwa msaada mkubwa kukuwezesha kufikia kiumbe cha baraka na ukifikia unakuwa na uwezo wa kufanikiwa katika kila eneo na mengine mengi.

TAFITI INASEMAJE?

Tafiti iliofanywa nchini Marekani ( CIA-RDP96-00788R001700210016-5, 1983)
Utafiti huu ulitolewa kwa umma rasmi mwaka 2003. Utafiti huu umebainisha kuwa kuna milango mbalimbali ambayo inaweza kutumika kuweza kufikia akili ambayo hutoa maarifa hayo ya kiwango cha kwa wahusika ambayo wamewahi kufikia akili hiyo. Kwahiyo kupitia Utafiti huo bado juhudi kwa asilimia kubwa za watu zinahitajika kujifunza kwa umakini mkubwa kuweza kufikia viwango hivyo vya akili. Kutokana na uzoefu nilioupata Kutokana na maswala haya ya hii akili natoa kanuni kuu na njia mbalimbali zinazoweza kumsaidia Mtu yoyote kufikia akili hiyo kwa urahisi kabisa.

SHIKIRIA KANUNI KUU AMBAYO INAENDESHA ULIMWENGU NA NDIO MLANGO MKUU KWA WEWE KUFIKIA AKILI HIYO NAYO NI NISHATI (ENERGY).

Baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ndio nikagundua kanuni kubwa zaidi ambayo inahitaji muhusika yoyote kuijua ili aweze kufikia hiyo Akili ya Umungu ni jinsi ya kuthibiti(control) Nishati (energy).
Kwahiyo unahitaji kujifunza siri zilizo kuficha za jinsi ya kuongeza nishati hiyo ndani ya mwili wa mhusika au Mtu na kufika kwa urahisi kabisa.

kwa ufupi binadamu ana miili mitano nukuu kutoka sayansi ya yoga(yogic science) mwili wa nishati unakutwa katika mwili wa tatu, kwahiyo ukijifunza ipasavyo kuthibiti mwili huo wa tatu basi utakuwa umemaliza kila kitu.
kutokana na uzoefu mwili wa tatu (nishati) ukiweza kuuthibiti vizuri milango yote ya ulimwengu huu unaweza kufungua au utaanza kufungua taratibu taratibu mpaka kufikia jibu la mwisho (ultimate answer).

VITU VYA KUFANYA KWAAJILI YA KUWEZA KUONGEZA NISHATI (ENERGY) KWAAJILI YA KUFIKIA AKILI HIYO YA UMUNGU NA KUSHUHUDIA FURAHA YA AJABU N.K.

1. UTAMBUZI SAHIHI KATI YA MWILI WAKO NA WEWE.
Watu wengi duniani tunakosa hekima ya kujua miili yetu sio sisi au vyote vilivyokiwango cha kushikika sio sisi kabisa. Utambuzi huo unamsaidia mhusika kuanza kurejesha utu wake au nishati kwa kasi ya ajabu na nguvu zote za Umungu zitaanza kusogelea taratibu na kubadili mfumo mzima wa afya, akili, mawazo, Nguvu ya mwili n.k
Kwa kuongeza nguvu katika fikra ya utambuzi huu lazima mhusika kwa kipindi flani arudie mara kwa mara maneno yafuatayo.
. Mwili wangu sio mimi.
. Fikra yangu sio mimi.
kwa kifupi unatakiwa ujue vyote vilivyo katika hali ya kuweza kushikika sio wewe.

2. KUKAA MKAO W A MUHUDUMU.
Watu wote ambao hukaa mkao wa kujitolea kufanya jambo flani kwaajili ya Watu wengine kwa dhati bila kutaka malipo yoyote awali. Nao hufikia viwango hivi vya juu vya akili ya Umungu pasipo hata wao kujua kwa asilimia kubwa. Inaweza kuwa katika biashara, kipaji cha kuimba, kucheza na uandishi wa mashairi n.k

Kutokana na kazi za kisanii kuhitaji hali ya juu ya kuwa na mtazamo mmoja (focus) kwa muda mrefu kwa ajili ya kukamilisha jambo flani kwaajili ya Watu wengine basi asilimia yao kubwa hufikia viwango hivi Mapema ndio maana huonekana wana nguvu flani ya mvuto/umaarufu (Nguvu hizi huwezeshwa na mwili wa nne wa upendo mwili huu hufikiwa bila shida yoyote kama mwili wa tatu utathibitiwa(controlled) ipasavyo.


Hitimisho
Natoa wito kwa Mtu yoyote ambaye atakuwa tayari kujifunza zaidi kufikia hiyo akili, kanuni na njia ambazo nimeongezea ndio njia sahihi na zitaleta mabadiliko chanya kwa muda mfupi.


Asanteni sana
Nakala nzuri, karibu usome yangu pia
 
KWA HIYO ILI KUINUSULU JAMII KUTOKANA NA JANGA LA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA PAMOJA NA BIMA YETU TAIFA(NHIF)JAMII IFANYE YAFUATAYO.
Kwa hiyo ili kuinusuru jamii kutokana na janga la magonjwa yasiyo ambukiza nchini na ulimwengu kwa ujumla hapo hapo tutakuwa pia tumeinusuru bima yetu ya taifa(NHIF) tukubali kubadilika kwa kufanya yafuatayo:
Tupunguze ama tuache kula vyakula ambavyo havina faida katika mihili yetu ambavyo Mara nyingi utusababidhia maradhi tu
Ksma tulivyo eleza hapo nyuma miongoni mwa vyakula hivyo na vinywaji ni kama
Epuka kula Vyakula vyenye mafuta mengi
Epuka kula vyakula vya kukaanga Mara kwa Mara au mda wooote
Punguza matumizi ya chumvi nyingi katika mboga au kunyunyuzia pembeni kama katika mahindi badala take tumia viungo kama vile ndimu, limau ,pilipili. Kwa sababu chumvi inasababisha sanaaa (BP) ambalo linaongoza kusababisha figo kufeli(Renal failure)
Punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari Mara kwa Mara kama vile sodas, juisi za viwandani ili kuepuka kupata kisukari (Diabetes) ambacho kinaongoza kusababisha figo kufeli(Renal failure)
Watu tupunguze kula vitu vilivyo kaangwa (trans-fats) au vilivyo rostishwa Mara kwa Mara ili kupunguza hatari ya mafuta kuganda katika mishipa ya damu na kusababisha (atherosclerosis) na kusababisha maradhi ya moyo, pressure (BP) na kiharusi (Stroke)
Watu tufuatilie hali ya uzito wetu Mara kwa Mara kwani kuwa na uzito mkubwa ni chanzo kikubwa cha maradhi ya
MOYO
KIHARUSI
PRESSURE(BP)
DIABETES (KISUKARI)
KUFELI KWA FIGO
Ufanyaji wa mazoezi watu tufanye sanaa mazoezi tunatakiwa tufanye mazoezi angalau nusu saa(30) kwa siku na kwa wiki Massa mawili na nusu hapo utakuwa fiti kabisaa na haya magonjwa yasiyo ambukiza utayasikia tuu katika bombs na kupelekea kuishi miaka mingiii.
Ndugu zanguni magonjwa yasiyo ambukiza yanakatisha uhai mapema sanaaa ama husababisha vifo vya mapema Ulimwengu nzima kwa hiyo kula vizuri fany mazoezi uishi sanaaa
Kwa kufuata haya tunaweza kuinusuru bima yetu ya taifa(NHIF) na sisi wenyewe kusalimika na janga hili linalo tumaliza kwa sasa la magonjwa yasiyo ambukiza ambalo yamekuwa kwa sasa ndio yanaua watu wengi balaaa duniani kwa sasa ndio kimekuwa kilio kula pembe ya dunia uzuri wake yamekuwa hayachagui masikini wala tajiri, kiongozi mkubwa au raia wa kawaida yao yanaua tuu.

Kwahiyo wito wangu kwenu tubadilike haya maradhi yanatumaliza.
Nakala nzuri karibu usome yangu pia
 
KIHARUSI(STROKE) CHAWA TISHIO DUNIANI!
Tatizo la kiharusi kwa sasa limekuwa tishio duniani ikiwemo Tanzania ndio limekuwa la pili kwa kusababisha vifo duniani kote.
Kiharusi ni nini? Kiharusi ni ugonjwa unaotokea pale tu ubongo unapokosa damu kwa mda mfupi kitendo hili hupelekea cells zilizopo katika ubongo kufa kwa kukosa hewa ya oxygen ambayo hupatikana katika damu. Kiharusi ni tatizo la zalura linapo tokea magonjwa anatakiwa apelekwe hospital haraka kitendo cha kumchelewesha ndio cells zinapozidi kufa katika ubongo na ndio huongeza uwezekano mkubwa wa magonjwa kufariki,
Kwa hiyo tunashauli mtu anapopatwa kiharusi anatakiwa awaishwe hospital haraka iwezekanavyo ili kunusuru maisha yake.
Kama tulivyotangulia kusema kiharusi kwa sasa ndio kinashika nafasi ya pili kwa kusababisha vifo duniani kote ikiwemo Tanzania ikitanguliwa na maradhi ya moyo yanayoshika nafasi ya kwanza kwa kusababisha vifo duniani.
CHANZO CHA KIHARUSI
Chanzo kikubwa cha kiharusi ni maradhi ya presha kitaalamu hujulikana High blood pressure (hypertension) ndio kinaongoza kusababisha kiharusi duniani kote, kwahiyo tatizo la high blood pressure (hypertension) ndio chanzo kikubwa cha kiharusi duniani kote ikiwemo Tanzania.
Lakini presha(BP) yenyewe pia ndio inayo ongoza kusababisha maradhi ya moyo duniani kote ikiwemo Tanzania kwahiyo jamani blood pressure ama(BP) ina majanga makubwa sanaa katika jamii ikiwemo Tanzania,
Maradhi mengine yanayo sababisha kiharusi ni kama:
Kisukari (Diabetes) unapokuwa na tatizo la kisukari pia unanafasi kubwa ya kupata kiharusi
*High Cholesterol (Mafuta mengi mwilini) ndio chanzo kikubwa cha high blood pressure (Hypertension) hupelekea kuganda katika mishipa ya damu atimae kama ikiganda mshipa wa damu unaopeleka damu katika ubongo na hupelekea kupata kiharusi
*Uvutaji wa sigara; uvutaji wa sigala una madhara mengi Sana'a ikiwemo kiharusi kwa sababu sigala INA kemikali nyingi Sana'a ambayo ni mbaya sanaaa ikiwemo nikotini ambayo huaribu mishipa ya damu.
*Mtindo mbaya wa maisha(Bad lifestyle)
*Uvivu wa kutokufanya mzoei
*Unywaji wa pombe kupita kiasi.
*Kuwa na uzito mkubwa.
*Ulaji wa vitu vyenye mafuta mengi Mara kwa Mara.

Njia za kuepukana na kiharusi ni kuepuka hayo tuliyo yaeleza hapo juu.

Madhara ya kiharusi.

*Huleta ulemavu wa kudumu
*Husababisha vifo vya mapema
*Huleta umaskini Katika familia na taifa kwa ujumla
*Huleta mgogolo wa kiuchumi katika familia na jamii kwa ujumla
*Hufanya maisha kuwa magumu zaidi kutokana na kutokueza yale ambayo ulikuwa ukiya fanya apo mwanzo.

Kwa hiyo ndugu zangu tujitahidi kubadilika kimaisha ili kulinda afya zetu na kujiletea maisha boraaaa na afya boraaaaa

#Kiharusi kinauaaaaaa
#Chúkua atuaaaaaaaa
Andiko zuri karibu upitie langu pia
 
TUNAHITAJI KITAMBULISHO CHA KISASA (SMART CARD) KIMOJA KWA MAENDELEO.

UTANGULIZI,

Kitambulisho, ni cheti ambacho kinakua na taarifa muhimu za mtu fulani. Taarifa hizi zinaweza kuwa za umri, jinsi, majina kamili n.k

Katika nchi yetu ya Tanzania, watanzania wanavyo vitambulisho kulingana na umri na kazi ya mtu, mfano wa vitambulisho hivi ni pamoja na kitambulisho cha mpiga kura, kitambulisho cha taifa cha nida, kitambulisho cha mzanzibar mkaazi, lesseni ya udereva n.k. uwepo wa vitambulisho hivo vyote ni dhahiri kwamba hakuna kitambulisho kimoja kinachojitoshereza.

CHANGAMOTO ZA VITAMBULISHO VINGI.

· Urahisi kupoteza: uwepo wa vitambulisho vingi unafanya watanzania kupoteza kwa urahisi kitambulisho kimojawapo hasa wakati kinaohitajika katika mazingira yasiyo rasmi. Na urahisi wa kupoteza unatokea kwa sababu ya mtu mmoja kuwa na umiriki wa vitambulisho vingi hivyo kufanya utunzaji wake kutokua mzuri hasa kwa kutembea navyo.

· Changamoto za kujua taarifa za vitambulisho vyote: hii inatokea kwasababu ya uwepo wa taarifa tofauti tofauti kati ya kitambulisho kimoja na kingine, mfano kitambulisho cha mpiga kura( kadi ya mpiga kura) na kitambulisho cha nida vina namba tofauti na pia nyingi kwa idadi hivyo inakuwa vigumu kuzikalili pia kuna vitambulisho ambavyo vinakua na majina mawili vingine matatu na kuleta utata wa taarifa kwa mhusika.

· Kuongeza uharifu: kutokana na uwepo wa vitambulisho vingi ambavyo kimsing hata utoaji wake ni wa awamu pia hauzingatii kujirudia kwa watu walk uhakiki wa taarifa kwa usahihi za mhusika mfano kitambulisho cha kura, hii inaweza kuongeza uharifu kwa maana ya kwamba mtu anaweza kumiliku vitambulisha zaidi ya kimoja vya aina moja na kuongeza uharifu kwa kutokufahamika vizuri.

· Kutokuwepo kwa taarifa nyingine muhimu za watu wenye matatizo ya ulemavu ama wanaopata huduma maalumu: mbali na kuwepo vitambulisho vingi bado kuna taarifa za watu ambazo hazijaweza kuainishwa katika vitambulisho kama vile taarifa za ulemavu na magonjwa ya kurithi au sugu na hii kupelekea takwimu za walemavu kukosa ubora wake.

Hivyo uwepo wa vitambulisho vingi una changamoto nyingi kutokana na kila kitambulisho kuwa na taarifa zake na kutumika katika matumizi tofauti tofauti kati ya kitambulisho kimoja na kingine.

UTATUZI.
Utatuzi wa changamoto zote hizi ni kutengeneza kitambulisho cha kisasa cha kielekitronic (SMART CARD) kimoja ambacho kitabeba taarifa zote za mhusika zinazojitoshereza na taarifa nyingine zinaweza kuongezwa katika kitambulisho hicho kutokana na mabadiliko ya kazi au uhitaji kuzingatia na wakati au mazingira. Kitambulisho hiki kinaanza kujazwa mara tu mtoto anapozaliwa akiwa mdogo na hivyo hivyo kadri anavyokua taarifa zinazidi kuongezwa kwenye kitambulisho hicho kama namba zinavyoongezwa kwenye sim-card (update).

TAARIFA KATIKA KITAMBULISHO HIKI CHA KISASA:

Katambulisho huki kitakuwa na uwezo mkubwa wa nafasi ya kuweka taarifa nyingi za mhusika, mfano wa taarifa hizo ni pamoja na:-

· Taarifa za awali za mtu ikiwa ni pamoja na majina yake kamili(matatu), jinsi, umri, hali ya ndoa, mawasiliano n.k

· Taarifa za mahali alipozaliwa na wazazi wake.

· Taarifa za hali ya ulemavu kwa mhusika na kama ulemavu umetokea ukubwani pia taarifa hii itajazwa wakati wa updating ya kitambulisho.

· Taarifa za elimu .

· Taarifa za kazi.

· Taarifa za kuhama makazi.

· Taarifa za kijamii kama vile viongozi katika jamii anapopatikana.

· Taarifa za kibenk kutokana na aina ya benk anayoitumia na hii anaweza kuitumia katika biashara za mtandaoni.

· Taarifa za urai kwa raia wa kitanzania na hata wageni wasio watanzania kama vile macaroni wa nchi nyingine.

· Taarifa za kiuchumi mfano kwa wajasiliamari na wafanyakaz wasio na sehemu maalumu za kufanyia kazi zao.

· Taarifa za umiriki wa ardhi, nyumba, viwanja n.k

NB; Taarifa nyingine yoyote inaweza kuongezwa katika kitambulisho hiki kwasabu ni cha kielekitronic pia kina nafasi ya kutosha na hii inafanyika wakati wa kusasisha kitambulisho ambayo inaweza kufanyika muda wowote kutoka na kukua kidijitali.

Kupitia kitambulisho hiki cha kisasa na cha kidigitali tunaweza kutatua changomoto nyingi zitokanazo na uwepo wa vitambulisho vingi zilivyoainisha na nyingine nyingi.



FAIDA ZA SMART CARD (KITAMBULISHO KIMOJA CHA KISASA)

Faida za kitambulisho kimoja cha kisasa zipo nyingi ikiwa ni pamoja na :-

· Kuwa na taarifa zote zilizokusanywa sehemu moja.

· Kutokomeza uarifu wa matumizi ya vitambulisho fake wa mitandaoni na makazini.

· Kurahisisha uchukuaji wa takwimu za watu na makazi(sensa).

· Kurahisisha masuala ya upigaji kura.

· Kupunguza migogoro ya wafanyakazi hususani katika masuala ya vitambulisho na vyeti.

· Kusaidia katika masuala ya utafiti na uchunguzi wa kupata taarifa za sampling.

· Kurahisisha mipango ya kiutendaji ya serikali kwa wananchi wake.

· Kurahisisha ukusanyaji wa kodi kwa watu.

Hivyo kitambulisho hicho chaa kisasa kitaiwezesha serikali vizuri kuwa na mipango mizuri juu ya nchi na watu wake.

Hivyo nashauri kuwepo na kitambulisho kimoja ambacho kitafanya urahisi wa kupanga mipango ya kimaendelea kuanzia kwa mtu mmoja mmoja mpaka taifa kwa ujumla.

Mwandishi: sadex
Mawasiliano: 0746469315

View attachment smart card.docx
 
MWANGA HALISI WA MAFANIKIO

Kutokana na maendeleo ya dunia ya leo ya sayansi na teknolojia vijana wengi wanatamani kupata mafanikio ya haraka pasipo kufanya kazi kwa bidii hii hupelekea ongezeko kubwa la vijana kutegemea michezo ya kubashiri maarufu kama kubet na wengine kujiingiza katika vitendo vya kihalifu ili kuweza kujipatia fedha kila uchao. Dimbwi kubwa la vijana wamesahau kufanya kazi kwa bidii kuwa ndio msingi wa mafanikio na kugeuzia macho mafanikio yao yategemee bahati. Vijana wanaongojea bahati hupeteza muda mwingi wakibashiri michezo mbalimbali na kusubiri kwa matumaini lakini matumaini yao kamwe huwa ni ya muda mfupi na hawafanikiwi na kama ikitokea kufanikiwa ni mmoja kati ya laki moja. Na hii inadumaza fikra na uwezo wa kujiamini kwa vijana katika kufanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii.

Wapo watu wanaamini katika bahati, wanaamini kwamba kuna wakati mafanikio ni bahati ya mtu. La, hii si kweli. Ukweli ni kwamba jinsi unavyozidi kufanya kazi kwa bidii ndio jinsi unavyosogea kwenye uelekeo wa bahati yako. Kama alivyowahi kusema Colin Powel “ ..ndoto haiweza kuwa kwenye uhalisia kwa miujiza, inahitaji jasho, malengo na kazi kwa bidii". Siku zote mafanikio yanategemea malengo na kazi kwa bidii kwasababu kazi kwa bidii bila malengo ni sawa na jengo bila lango. Ni vipi utaingia katika nyumba uliyoijenga na hali ya kuwa haina mlango? Na ni vipi utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii bila kujiwekea malengo, yaani lango la mafanikio? Hii ni dhahiri kuwa kazi kwa bidii ni malengo tendwa katika wakati sahihi na ni moja ya onyesho la malengo yako uliyojiwekea.

Kazi kwa bidii inahusisha maamuzi sahihi katika wakati sahihi, na tofauti kubwa kati ya kufanikiwa na kutofanikiwa ni uchukuaji maamuzi. Maamuzi yako, mafanikio yako au kufeli kwako. Kwa mfano vijana wawili wenye mtaji sawa wameamua kufanya biashara tofauti na kila mmoja akitarajia faida lakini mwisho wa siku mmoja akafanikiwa na mwingine akashindwa kufanikiwa, hayo ni matokeo ya utofauti wa uchukuaji maamuzi na mawazo sahihi kwa wakati. Aliyefanikiwa alichukua maamuzi sahihi baada ya kuona fursa sahihi lakini kijana asiyefanikiwa alikuwa na lengo la kufanikiwa lakini alishindwa kuamua wazo bora la kuja nalo ili afanikiwe. Hivyo basi kazi kwa bidii ina ambatana na utashi wa uchaguzi wa maamuzi ni kivipi uendee njia yako ya mafanikio.

Vilevile kazi kwa bidii inaambtana sambamba na ufanyaji wa tafiti kabla na baada ya kuendea jambo. Kwa kijana mwenye hamu na kiu ya mafanikio katika dunia hii ya teknolojia anahitaji kujua jambo kabla ya kuwekeza nguvu zake katika haja ya kulikamilisha jambo hilo. Hakika kuna msemo maarufu wa kigeni unaosema “ no research, no right to speak" ikiwa na maana ya kushinikiza watu kufanya uchunguzi wa jambo kwa kina kabla ya kuliongea au kulifanya. Kwa wale vijana ambao wanafanya kazi kwa bidii kwenye mambo ambayo hawajayachunguza vizur hakika mwisho wake ni kupoteza nguvu na muda. Tuamke vijana.

Itakuwa ni vizuri kama mashirika ya umma yatajitolea kwa vijana kuwasaidia kuwapa mchanganuao wa mawazo yao kabla hawajawekeza nguvu zao katika biashara au kazi wanazo tarajia kuzifanya ili wafanikiwe. Hii inaweza kufanyika kwa kutumia watu wenye utashi wa kufanya tafiti katika eneo husika. Kwa mfano kijana akitaka kulima katika eneo fulani atapewa ushauri afanye kilimo eneo la ukubwa gani kutokana na mtaji wake, ataelekezwa apande mazao gani kutoka na eneo na ataambiwa atumie mbegu gani na mbolea gani kutokana na udongo wa shamba lake. Na huduma itolewa bila malipo ili kuwapa vijana ari ya kufanya utafiti kwakuwa ushauri upo na ni bure wakati wowote watakapo hitaji.

Na kwa wale vijana wanaofanya kazi kwa kufuata msafara wa mamba, hakika nawakumbusha kwenye wengi kuna mengi na kwenye msafara wa mamba na kenge wapo na siku zote dunia sio mbaya ila walimwengu kamwa hawana huruma wala chembe ya aibu. Ni mara ngapi vijana wanawekeza pesa walizozipata kwa shida na kuzipoteza kwenye makampuni kama QNET, Muller, SCATEC au IDEA DEBATOR. Hii inaitwa kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata mkumbo na hii ni changamoto inayowakumba dimbwi kubwa la vijana waliopo vyuoni na wale waliomaliza vyuo na hata baadhi ya wafanyakazi wa mashirika mbalimbali.

Ipo haja sasa ya serikali kushirikiana pamoja na mashirika binafsi pamoja na wadau mbalimbali kuweza kutoa elimu kwa wananchi wa kawaida kuhusu uwekezaji wa kimtandao ili kuweza kufichua dhana ovu zinazoletwa ili kudhulumu mali za vijana wanaopenda mafanikio. Vijana wapewe elimu kupitia mitandao ya kijamii, makongamano ya vijana na katika vyombo vya habari ili kuweza kuwapa uwezo vijana wa kufanya uchunguzi sahihi kabla ya kuamini uwekezaji wake katika kampuni yoyote, iwe ya kimtandao au vinginevyo. Na ingekuwa bora zaidi kama serikali ingeweka kozi maalumu vyuoni itakayo fundishwa biashara za mtandaoni ili kuongeza wigo mpana wa fursa kwa vijana wengi waliopo mtaani, hii ni kwasababu dunia ya sasa ni ya teknolojia na biashara za mtandaoni haziepukiki na kama serikali itaziepuka basi wananchi wengi watapoteza mali zao kwa kuwekeza sehemu ambazo si sahihi. Lakini je ni vipi tutazifanya biashara hizo hali yakuwa hatuna elimu nazo? Hivyo basi elimu kuhusu fedha na biashara za mtandao ni muhimu.

Vijana kumbukeni elimu ni muhimu na mwenye elimu hueshimiwa. Hapa sizungumzii elimu ya darsani bail elimu ya kuendea mafanikio na kukufanya uongeze bidii na juhudi katika kazi zako za kila siku. Kama wahenga walivyosema sema ‘kijana anaweza kutembea haraka lakini mzee ndio anajua njia’ hivyo basi kama kijana unatakiwa ukubali kujifunza kutoka kwa waliokuzidi elimu, uzoefu au umri. Kwa hakika biashara au kazi yoyote inaamza na elimu ndogo na uzoefu mdogo na baadae elimu inakuwa kubwa na uzoefu mkubwa na ndio wakati wa kuvuna mafanikio yako yaliyotokana na kufanya kazi kwa bidii.

Taarifa mbaya ni kwmba muda unapaa kwa kasi, na taarifa nzuri ni kwamba wewe kijana ndio rubani. Kila siku weka uso wako jua linapotoka na kivuli kitakuja nyuma yako, kamwe usichelee kufanya maamuzi pale unapoona fursa na maamuzi yako lazima yawe kwaajili ya kupata faida na wala sio kwa ajili ya kufuata mkumbo itakuwa ndio wale msafara wa mamba na kenge wapo. Kumbuka bado upo wakati wa kuweka malengo mapya na kuwa na ndoto mpya. Hujachelewa chukua hatua.

PESA, NYUMBA NA MAGARI NI VITU VYA KUPITA LAKINI NI BORA VIPITIE KWAKO.
Mwandishi: CHALI
0718167997
 
MWANGA HALISI WA MAFANIKIO

Kutokana na maendeleo ya dunia ya leo ya sayansi na teknolojia vijana wengi wanatamani kupata mafanikio ya haraka pasipo kufanya kazi kwa bidii hii hupelekea ongezeko kubwa la vijana kutegemea michezo ya kubashiri maarufu kama kubet na wengine kujiingiza katika vitendo vya kihalifu ili kuweza kujipatia fedha kila uchao. Dimbwi kubwa la vijana wamesahau kufanya kazi kwa bidii kuwa ndio msingi wa mafanikio na kugeuzia macho mafanikio yao yategemee bahati. Vijana wanaongojea bahati hupeteza muda mwingi wakibashiri michezo mbalimbali na kusubiri kwa matumaini lakini matumaini yao kamwe huwa ni ya muda mfupi na hawafanikiwi na kama ikitokea kufanikiwa ni mmoja kati ya laki moja. Na hii inadumaza fikra na uwezo wa kujiamini kwa vijana katika kufanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii.

Wapo watu wanaamini katika bahati, wanaamini kwamba kuna wakati mafanikio ni bahati ya mtu. La, hii si kweli. Ukweli ni kwamba jinsi unavyozidi kufanya kazi kwa bidii ndio jinsi unavyosogea kwenye uelekeo wa bahati yako. Kama alivyowahi kusema Colin Powel “ ..ndoto haiweza kuwa kwenye uhalisia kwa miujiza, inahitaji jasho, malengo na kazi kwa bidii". Siku zote mafanikio yanategemea malengo na kazi kwa bidii kwasababu kazi kwa bidii bila malengo ni sawa na jengo bila lango. Ni vipi utaingia katika nyumba uliyoijenga na hali ya kuwa haina mlango? Na ni vipi utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii bila kujiwekea malengo, yaani lango la mafanikio? Hii ni dhahiri kuwa kazi kwa bidii ni malengo tendwa katika wakati sahihi na ni moja ya onyesho la malengo yako uliyojiwekea.

Kazi kwa bidii inahusisha maamuzi sahihi katika wakati sahihi, na tofauti kubwa kati ya kufanikiwa na kutofanikiwa ni uchukuaji maamuzi. Maamuzi yako, mafanikio yako au kufeli kwako. Kwa mfano vijana wawili wenye mtaji sawa wameamua kufanya biashara tofauti na kila mmoja akitarajia faida lakini mwisho wa siku mmoja akafanikiwa na mwingine akashindwa kufanikiwa, hayo ni matokeo ya utofauti wa uchukuaji maamuzi na mawazo sahihi kwa wakati. Aliyefanikiwa alichukua maamuzi sahihi baada ya kuona fursa sahihi lakini kijana asiyefanikiwa alikuwa na lengo la kufanikiwa lakini alishindwa kuamua wazo bora la kuja nalo ili afanikiwe. Hivyo basi kazi kwa bidii ina ambatana na utashi wa uchaguzi wa maamuzi ni kivipi uendee njia yako ya mafanikio.

Vilevile kazi kwa bidii inaambtana sambamba na ufanyaji wa tafiti kabla na baada ya kuendea jambo. Kwa kijana mwenye hamu na kiu ya mafanikio katika dunia hii ya teknolojia anahitaji kujua jambo kabla ya kuwekeza nguvu zake katika haja ya kulikamilisha jambo hilo. Hakika kuna msemo maarufu wa kigeni unaosema “ no research, no right to speak" ikiwa na maana ya kushinikiza watu kufanya uchunguzi wa jambo kwa kina kabla ya kuliongea au kulifanya. Kwa wale vijana ambao wanafanya kazi kwa bidii kwenye mambo ambayo hawajayachunguza vizur hakika mwisho wake ni kupoteza nguvu na muda. Tuamke vijana.

Itakuwa ni vizuri kama mashirika ya umma yatajitolea kwa vijana kuwasaidia kuwapa mchanganuao wa mawazo yao kabla hawajawekeza nguvu zao katika biashara au kazi wanazo tarajia kuzifanya ili wafanikiwe. Hii inaweza kufanyika kwa kutumia watu wenye utashi wa kufanya tafiti katika eneo husika. Kwa mfano kijana akitaka kulima katika eneo fulani atapewa ushauri afanye kilimo eneo la ukubwa gani kutokana na mtaji wake, ataelekezwa apande mazao gani kutoka na eneo na ataambiwa atumie mbegu gani na mbolea gani kutokana na udongo wa shamba lake. Na huduma itolewa bila malipo ili kuwapa vijana ari ya kufanya utafiti kwakuwa ushauri upo na ni bure wakati wowote watakapo hitaji.

Na kwa wale vijana wanaofanya kazi kwa kufuata msafara wa mamba, hakika nawakumbusha kwenye wengi kuna mengi na kwenye msafara wa mamba na kenge wapo na siku zote dunia sio mbaya ila walimwengu kamwa hawana huruma wala chembe ya aibu. Ni mara ngapi vijana wanawekeza pesa walizozipata kwa shida na kuzipoteza kwenye makampuni kama QNET, Muller, SCATEC au IDEA DEBATOR. Hii inaitwa kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata mkumbo na hii ni changamoto inayowakumba dimbwi kubwa la vijana waliopo vyuoni na wale waliomaliza vyuo na hata baadhi ya wafanyakazi wa mashirika mbalimbali.

Ipo haja sasa ya serikali kushirikiana pamoja na mashirika binafsi pamoja na wadau mbalimbali kuweza kutoa elimu kwa wananchi wa kawaida kuhusu uwekezaji wa kimtandao ili kuweza kufichua dhana ovu zinazoletwa ili kudhulumu mali za vijana wanaopenda mafanikio. Vijana wapewe elimu kupitia mitandao ya kijamii, makongamano ya vijana na katika vyombo vya habari ili kuweza kuwapa uwezo vijana wa kufanya uchunguzi sahihi kabla ya kuamini uwekezaji wake katika kampuni yoyote, iwe ya kimtandao au vinginevyo. Na ingekuwa bora zaidi kama serikali ingeweka kozi maalumu vyuoni itakayo fundishwa biashara za mtandaoni ili kuongeza wigo mpana wa fursa kwa vijana wengi waliopo mtaani, hii ni kwasababu dunia ya sasa ni ya teknolojia na biashara za mtandaoni haziepukiki na kama serikali itaziepuka basi wananchi wengi watapoteza mali zao kwa kuwekeza sehemu ambazo si sahihi. Lakini je ni vipi tutazifanya biashara hizo hali yakuwa hatuna elimu nazo? Hivyo basi elimu kuhusu fedha na biashara za mtandao ni muhimu.

Vijana kumbukeni elimu ni muhimu na mwenye elimu hueshimiwa. Hapa sizungumzii elimu ya darsani bail elimu ya kuendea mafanikio na kukufanya uongeze bidii na juhudi katika kazi zako za kila siku. Kama wahenga walivyosema sema ‘kijana anaweza kutembea haraka lakini mzee ndio anajua njia’ hivyo basi kama kijana unatakiwa ukubali kujifunza kutoka kwa waliokuzidi elimu, uzoefu au umri. Kwa hakika biashara au kazi yoyote inaamza na elimu ndogo na uzoefu mdogo na baadae elimu inakuwa kubwa na uzoefu mkubwa na ndio wakati wa kuvuna mafanikio yako yaliyotokana na kufanya kazi kwa bidii.

Taarifa mbaya ni kwmba muda unapaa kwa kasi, na taarifa nzuri ni kwamba wewe kijana ndio rubani. Kila siku weka uso wako jua linapotoka na kivuli kitakuja nyuma yako, kamwe usichelee kufanya maamuzi pale unapoona fursa na maamuzi yako lazima yawe kwaajili ya kupata faida na wala sio kwa ajili ya kufuata mkumbo itakuwa ndio wale msafara wa mamba na kenge wapo. Kumbuka bado upo wakati wa kuweka malengo mapya na kuwa na ndoto mpya. Hujachelewa chukua hatua.

PESA, NYUMBA NA MAGARI NI VITU VYA KUPITA LAKINI NI BORA VIPITIE KWAKO.

Mwandishi: CHALI
0718167997
 
MWANGA HALISI WA MAFANIKIO

Kutokana na maendeleo ya dunia ya leo ya sayansi na teknolojia vijana wengi wanatamani kupata mafanikio ya haraka pasipo kufanya kazi kwa bidii hii hupelekea ongezeko kubwa la vijana kutegemea michezo ya kubashiri maarufu kama kubet na wengine kujiingiza katika vitendo vya kihalifu ili kuweza kujipatia fedha kila uchao. Dimbwi kubwa la vijana wamesahau kufanya kazi kwa bidii kuwa ndio msingi wa mafanikio na kugeuzia macho mafanikio yao yategemee bahati. Vijana wanaongojea bahati hupeteza muda mwingi wakibashiri michezo mbalimbali na kusubiri kwa matumaini lakini matumaini yao kamwe huwa ni ya muda mfupi na hawafanikiwi na kama ikitokea kufanikiwa ni mmoja kati ya laki moja. Na hii inadumaza fikra na uwezo wa kujiamini kwa vijana katika kufanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii.

Wapo watu wanaamini katika bahati, wanaamini kwamba kuna wakati mafanikio ni bahati ya mtu. La, hii si kweli. Ukweli ni kwamba jinsi unavyozidi kufanya kazi kwa bidii ndio jinsi unavyosogea kwenye uelekeo wa bahati yako. Kama alivyowahi kusema Colin Powel “ ..ndoto haiweza kuwa kwenye uhalisia kwa miujiza, inahitaji jasho, malengo na kazi kwa bidii". Siku zote mafanikio yanategemea malengo na kazi kwa bidii kwasababu kazi kwa bidii bila malengo ni sawa na jengo bila lango. Ni vipi utaingia katika nyumba uliyoijenga na hali ya kuwa haina mlango? Na ni vipi utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii bila kujiwekea malengo, yaani lango la mafanikio? Hii ni dhahiri kuwa kazi kwa bidii ni malengo tendwa katika wakati sahihi na ni moja ya onyesho la malengo yako uliyojiwekea.

Kazi kwa bidii inahusisha maamuzi sahihi katika wakati sahihi, na tofauti kubwa kati ya kufanikiwa na kutofanikiwa ni uchukuaji maamuzi. Maamuzi yako, mafanikio yako au kufeli kwako. Kwa mfano vijana wawili wenye mtaji sawa wameamua kufanya biashara tofauti na kila mmoja akitarajia faida lakini mwisho wa siku mmoja akafanikiwa na mwingine akashindwa kufanikiwa, hayo ni matokeo ya utofauti wa uchukuaji maamuzi na mawazo sahihi kwa wakati. Aliyefanikiwa alichukua maamuzi sahihi baada ya kuona fursa sahihi lakini kijana asiyefanikiwa alikuwa na lengo la kufanikiwa lakini alishindwa kuamua wazo bora la kuja nalo ili afanikiwe. Hivyo basi kazi kwa bidii ina ambatana na utashi wa uchaguzi wa maamuzi ni kivipi uendee njia yako ya mafanikio.

Vilevile kazi kwa bidii inaambtana sambamba na ufanyaji wa tafiti kabla na baada ya kuendea jambo. Kwa kijana mwenye hamu na kiu ya mafanikio katika dunia hii ya teknolojia anahitaji kujua jambo kabla ya kuwekeza nguvu zake katika haja ya kulikamilisha jambo hilo. Hakika kuna msemo maarufu wa kigeni unaosema “ no research, no right to speak" ikiwa na maana ya kushinikiza watu kufanya uchunguzi wa jambo kwa kina kabla ya kuliongea au kulifanya. Kwa wale vijana ambao wanafanya kazi kwa bidii kwenye mambo ambayo hawajayachunguza vizur hakika mwisho wake ni kupoteza nguvu na muda. Tuamke vijana.

Itakuwa ni vizuri kama mashirika ya umma yatajitolea kwa vijana kuwasaidia kuwapa mchanganuao wa mawazo yao kabla hawajawekeza nguvu zao katika biashara au kazi wanazo tarajia kuzifanya ili wafanikiwe. Hii inaweza kufanyika kwa kutumia watu wenye utashi wa kufanya tafiti katika eneo husika. Kwa mfano kijana akitaka kulima katika eneo fulani atapewa ushauri afanye kilimo eneo la ukubwa gani kutokana na mtaji wake, ataelekezwa apande mazao gani kutoka na eneo na ataambiwa atumie mbegu gani na mbolea gani kutokana na udongo wa shamba lake. Na huduma itolewa bila malipo ili kuwapa vijana ari ya kufanya utafiti kwakuwa ushauri upo na ni bure wakati wowote watakapo hitaji.

Na kwa wale vijana wanaofanya kazi kwa kufuata msafara wa mamba, hakika nawakumbusha kwenye wengi kuna mengi na kwenye msafara wa mamba na kenge wapo na siku zote dunia sio mbaya ila walimwengu kamwa hawana huruma wala chembe ya aibu. Ni mara ngapi vijana wanawekeza pesa walizozipata kwa shida na kuzipoteza kwenye makampuni kama QNET, Muller, SCATEC au IDEA DEBATOR. Hii inaitwa kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata mkumbo na hii ni changamoto inayowakumba dimbwi kubwa la vijana waliopo vyuoni na wale waliomaliza vyuo na hata baadhi ya wafanyakazi wa mashirika mbalimbali.

Ipo haja sasa ya serikali kushirikiana pamoja na mashirika binafsi pamoja na wadau mbalimbali kuweza kutoa elimu kwa wananchi wa kawaida kuhusu uwekezaji wa kimtandao ili kuweza kufichua dhana ovu zinazoletwa ili kudhulumu mali za vijana wanaopenda mafanikio. Vijana wapewe elimu kupitia mitandao ya kijamii, makongamano ya vijana na katika vyombo vya habari ili kuweza kuwapa uwezo vijana wa kufanya uchunguzi sahihi kabla ya kuamini uwekezaji wake katika kampuni yoyote, iwe ya kimtandao au vinginevyo. Na ingekuwa bora zaidi kama serikali ingeweka kozi maalumu vyuoni itakayo fundishwa biashara za mtandaoni ili kuongeza wigo mpana wa fursa kwa vijana wengi waliopo mtaani, hii ni kwasababu dunia ya sasa ni ya teknolojia na biashara za mtandaoni haziepukiki na kama serikali itaziepuka basi wananchi wengi watapoteza mali zao kwa kuwekeza sehemu ambazo si sahihi. Lakini je ni vipi tutazifanya biashara hizo hali yakuwa hatuna elimu nazo? Hivyo basi elimu kuhusu fedha na biashara za mtandao ni muhimu.

Vijana kumbukeni elimu ni muhimu na mwenye elimu hueshimiwa. Hapa sizungumzii elimu ya darsani bail elimu ya kuendea mafanikio na kukufanya uongeze bidii na juhudi katika kazi zako za kila siku. Kama wahenga walivyosema sema ‘kijana anaweza kutembea haraka lakini mzee ndio anajua njia’ hivyo basi kama kijana unatakiwa ukubali kujifunza kutoka kwa waliokuzidi elimu, uzoefu au umri. Kwa hakika biashara au kazi yoyote inaamza na elimu ndogo na uzoefu mdogo na baadae elimu inakuwa kubwa na uzoefu mkubwa na ndio wakati wa kuvuna mafanikio yako yaliyotokana na kufanya kazi kwa bidii.

Taarifa mbaya ni kwmba muda unapaa kwa kasi, na taarifa nzuri ni kwamba wewe kijana ndio rubani. Kila siku weka uso wako jua linapotoka na kivuli kitakuja nyuma yako, kamwe usichelee kufanya maamuzi pale unapoona fursa na maamuzi yako lazima yawe kwaajili ya kupata faida na wala sio kwa ajili ya kufuata mkumbo itakuwa ndio wale msafara wa mamba na kenge wapo. Kumbuka bado upo wakati wa kuweka malengo mapya na kuwa na ndoto mpya. Hujachelewa chukua hatua.

PESA, NYUMBA NA MAGARI NI VITU VYA KUPITA LAKINI NI BORA VIPITIE KWAKO.

Mwandishi: CHALI
0718167997
Hongera

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom