Shinyanga: Adaiwa kujinyonga baada ya kujaribu kumuua mwanae wa kike

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.

Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.

Soma pia: Baba ajinyonga baada ya kumuua mwanaye

Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.​

Your browser is not able to display this video.
 
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.

Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.

Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.


Your browser is not able to display this video.
 
Jamaa ana undugu na mzee wa teuzi na karma?

Cc Pascal Mayalla
 
Juzi alisema waziri wa sheria biblia itumike mashuleni halafu sote tuvae misalaba mpka matakoni. Hapo utafurahi nafsi yako
 
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.
PETER MAYALA PETER MAYALA PETER MAYALA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…