Shinyanga: Adaiwa kujinyonga baada ya kujaribu kumuua mwanae wa kike

Shinyanga: Adaiwa kujinyonga baada ya kujaribu kumuua mwanae wa kike

wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa
Ila uandishi wa siku hizi hovyo kabisa,
Mtu amechinja halafu habari inasema amejaribu

Screenshot_20241202_183617_Samsung Internet.jpg
 
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.

Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.

Soma pia: Baba ajinyonga baada ya kumuua mwanaye

Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.​

View attachment 3167413
Ziraili wa kifo
 
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.

Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.

Soma pia: Baba ajinyonga baada ya kumuua mwanaye

Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.​

View attachment 3167413
Manispaa Ina vijiji kumbe?! Nilidhani manispaa inakuwaga na mitaa. Manispaa ya Shinyanga Ina Kijiji cha Mwamagumguli🤣🤣🤣🤣
 
Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.
PETER MAYALA PETER MAYALA PETER MAYAL
Pascal Mayalla nakusalimia braza.
 
Afya ya akili, watu wengi wanaishi na matatizo ya akili
 
Inasikitisha sana matukio ya wanandoa kuuwana yanazidi kushika kasi...Mtoto wa miaka sita anakosa gani hapo hadi kukatishwa ndoto zake...sema huwezi fahamu ya ndani ya ndoa ila ukicheki hapo ni swala la kunyimana unyumba.
 
Back
Top Bottom