Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila uandishi wa siku hizi hovyo kabisa,wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa
Kuoa ni sawa na kuvaa bomu ambako limesetiwa na mtu mwingine na hujui saa ngapi litakulipukia.Point 3 kwa kataa ndoa
Au Mayala alinyimwa cha asubuhi.Uenda aliambiwa kua mtotosi wako
Mayala kachukua uamuzi mgumu sana
Ziraili wa kifoMwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.
Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.
Soma pia: Baba ajinyonga baada ya kumuua mwanaye
Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.
View attachment 3167413
Manispaa Ina vijiji kumbe?! Nilidhani manispaa inakuwaga na mitaa. Manispaa ya Shinyanga Ina Kijiji cha Mwamagumguli🤣🤣🤣🤣Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.
Mashuhuda wa tukio hilo ambalo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia leo, wamesema mke wa marehemu alitoka kwenda kuwaita majirani na kuwaambia mume wake amemfukuza asilale chumbani na aliporudi na baadhi yao wakakuta mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter amechinjwa na kisha mwanaume huyo kujinyonga kwa kamba hadi kufa.
Soma pia: Baba ajinyonga baada ya kumuua mwanaye
Aidha, majirani akiwemo Mwenyekiti wa kijiji hicho wamesema tukio hilo limewasikitisha kwa kuwa kijana huyo, alikuwa hana ugomvi na mtu yeyote mtaani na wala hawajawahi kusikia wana ugomvi ndani ya nyumba yao.
View attachment 3167413
Pascal Mayalla nakusalimia braza.Mwanaume anayejulikana kwa jina Peter Mayala (45) mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli, Manispaa ya Shinyanga, amejiua kwa kujinyonga ndani ya chumba chake cha kulala baada ya kujaribu kumuua mtoto wake wa kike anayeitwa Anna Peter (6) huku chanzo cha tukio kikidaiwa kuwa ni ugomvi wa familia kati yake na mke wake.
PETER MAYALA PETER MAYALA PETER MAYAL
Wewe si ndo upo ulaya unabeba mabox..!!?Hizi lugha za jangwani zenye mrengo wa kigaidi zinatamalaki kwa kasi sana na kumeza lugha zetu za asili. Tusipokuwa makini tunapoelekea ni pabaya. Serikali iliangalie hili jambo kwa jicho la Tatu kwa kuishinikiza bunge itunge sheria kali kudhibiti huu utopolo.
Adiosamigo ielewemitaa Nyonzo bin mvule Jagina Malaria 2 Mufti kuku The Infinity
Nyau de adriz
We pia wacha kutumia kizunguHizi lugha za jangwani zenye mrengo wa kigaidi zinatamalaki kwa kasi sana na kumeza lugha zetu za asili. Tusipokuwa makini tunapoelekea ni pabaya. Serikali iliangalie hili jambo kwa jicho la Tatu kwa kuishinikiza bunge itunge sheria kali kudhibiti huu utopolo.
Adiosamigo ielewemitaa Nyonzo bin mvule Jagina Malaria 2 Mufti kuku The Infinity
Nyau de adriz